Usaili wa PCCB Dodoma umenikutanisha na Ex’s wangu kwa ufupi tu ukiona manyoya jua keshaliwa

Nenda mkabadilishane virusi, ukiona demu mlipotezana na ghafla mnakutana anapanua basi ujue umeumia. Kimbia mpaka nyayo zipate pancha.
 
Mirinda nyeusi itahusika kukutoa marinda wewe endelea kula matunda ya watu na kujisifu hadharani.... Ujue wake za watu wangapi wamekuja kwenye huo usaili na wamo humu JF wewe endelea ujinga hadi kuweka evidence mlipokuwa ....... Yakikuta utakuja na thread NIKIVYOTOLEWA MARINDA NA MME WA MAMA E BAADA YA KUGUNGUA NILIMLA KIPINDA CHA USAILI PCCB.. 😀😀


Over
 
Wanaume wametangaziwa msiba, kama nawaona watakavokuja kujiliza liza hapa 😁😁.....

Heaven Sent Habun amkeni mfariji wafiwa
Nashukuru wangu nilimpaki kwa shangazi yangu na amepokelewa na dogo toka stendi so hawezi fanya uhuni maana ana kiumbe kichanga 😅 kwa hili wamenikosa!

Niwape pole wafiwa wote, alamsiki!
 
Hasa unaenda kuzini na mke wa mtu eti unajitangaza, Kuna mambo ya kujisifia na kuna mengine ya kiboya tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…