Usaili wa Utumishi: Kipi kilikufanya ufaulu au ulikosea wapi?

Usaili wa Utumishi: Kipi kilikufanya ufaulu au ulikosea wapi?

Shukrani kwa kushare experience mkuu. Je ulipata maswali yote?
yalikuwa 6 nakumbuka nilijibu yote vizr ili kuazia swali la tatu kila ninavojibu walikuwa wanacheka i think walikuwa wananipima confidenc but nilikuwa najiamini kwa ninachojibu pia ukienda kwenye oral usiwe na expection kubwa yani ukizani utaulizwa kile ambacho umeambiwa na watu wengi kuwa mara nyingi kina ulizwa chamsingi jiandae vzr
 
Habari

Nini kilikusaidia kufaulu usaili wa ana kwa ana (oral) au ulikosea wapi?

Naomba tushare expirience wakuu.
Nyuzi bora kabisa kwa upande ningekuwa na uwezo ningeipandisha mawinguni.
Now upande wangu.....
Niliingia interview ya oral nikaulizwa maswali matano 5 Nikajibu yote kwa Confidence Kubwa mno ila ukweli swali moja kati ya hayo ndio nilijua jibu lake....Mengine ilikuwa Bla bla in English with 100% Confidence...
Ila Mpk now niko nakula utawala na Per diem every week
 
Nyuzi bora kabisa kwa upande ningekuwa na uwezo ningeipandisha mawinguni.
Now upande wangu.....
Niliingia interview ya oral nikaulizwa maswali matano 5 Nikajibu yote kwa Confidence Kubwa mno ila ukweli swali moja kati ya hayo ndio nilijua jibu lake....Mengine ilikuwa Bla bla in English with 100% Confidence...
Ila Mpk now niko nakula utawala na Per diem every week
Shukrani mkuu kwa appreciation na mchango wako pia, nadhani thread hii itakuwa mwanga na kutoa somo kwa sisi ambao bado tunapambana kupata nafasi katika utumishi wa umma.
 
Binafsi nilibahatika kuhudhuria interviews mbili za utumishi na zote nilifika oral na zote nikipata kazi,

What does employer need from you?
Mwajiri anataka employee afanye majukumu alioyatangaza kwenye tangazo kwa efficiency pia anataka employee mwenye qualifications na strengths kama alivyotangaza kwenye tangazo lake


what are they looking for?
Experience, strengths and opportunities from you.
How perfect you fit into their requirements


What are the common mistakes done by interviewee?
Preconditions:
Tunaamini experience, strengths and opportunities za candidate x will never be the same with candidate y, hivyo huwezi Kuna na the same experience, strengths and opportunities za google (candidate from Europe), the working environment is very different,

Pia tunaamini huwezi kusahau au kukariri your daily responsibilities and duties mfano huwezi muuliza fundi ujenzi how do you build the superstructure? Then akawa amesahau while ndio kazi anafanya Kila siku this will never happen na hapa ndio maaana oral interviews ikawepo kwa ajili ya to validate your working experience, strengths and opportunities
Haiwezekani fundi ujenzi aliyejenga daraja la mfugale from start to finish apanic au atoke jasho jingi au ashingwe kueleza au kujibu swali la how did you build mfugale fly over bridge? Never akishindwa huyo ni muongo he was not there au ajibu the point kama fundi aliyejenga Brooklyn bridge never, narudia never


Mistakes:
Kumeza kama vilivyo google na kutapika kama vilivyo,
kusahau your working experience, strengths and opportunities,
Low capacity to control your emotion and body
Uongo uliotukuka kwenye CV


what must be done to win all oral interview?
Jibu swali kama mfugale akiulizwa swali How did you build mfugale fly over bridge from start to finish?
Challenges Cha kujenga mfugale bridge haziwezi kufanana na challenges za kujenga ruvu bridge au rufiji bridge, fund haiwezi kuwa sawa, architecture diagrams haziwezi kuwa sawa, structural diagrams haziwezi kuwa sawa, human resources haziwezi kuwa sawa, financial resources capacity haziwezi kuwa sawa, financial resources capacity haziwezi kuwa sawa, inawezekana akakuomba umwambie umtajie challenges Tano ulizokutana nazo but wewe ulikutana na challenges mbili hivyo utamwambia in accordance with the project Ile nilikutana na challenges mbili tuuu

Be you, be mfugale who built the bridge and not fundi maiko who is lying

If you know lazima uwe na confidence so improve your confidence tunaamini mfugale hawezi kukosa confidence when asked about mfugale fly over bridge, never never never

Note: kusoma saana au kuwa na gpa nzuri na kuwa genius wa mafanikio ni njia mbili tofauti kabisa, chagua njia sahihi
 
Binafsi nilibahatika kuhudhuria interviews mbili za utumishi na zote nilifika oral na zote nikipata kazi,

What does employer need from you?
Mwajiri anataka employee afanye majukumu alioyatangaza kwenye tangazo kwa efficiency pia anataka employee mwenye qualifications na strengths kama alivyotangaza kwenye tangazo lake


what are they looking for?
Experience, strengths and opportunities from you.
How perfect you fit into their requirements


What are the common mistakes done by interviewee?
Preconditions:
Tunaamini experience, strengths and opportunities za candidate x will never be the same with candidate y, hivyo huwezi Kuna na the same experience, strengths and opportunities za google (candidate from Europe), the working environment is very different,

Pia tunaamini huwezi kusahau au kukariri your daily responsibilities and duties mfano huwezi muuliza fundi ujenzi how do you build the superstructure? Then akawa amesahau while ndio kazi anafanya Kila siku this will never happen na hapa ndio maaana oral interviews ikawepo kwa ajili ya to validate your working experience, strengths and opportunities
Haiwezekani fundi ujenzi aliyejenga daraja la mfugale from start to finish apanic au atoke jasho jingi au ashingwe kueleza au kujibu swali la how did you build mfugale fly over bridge? Never akishindwa huyo ni muongo he was not there au ajibu the point kama fundi aliyejenga Brooklyn bridge never, narudia never


Mistakes:
Kumeza kama vilivyo google na kutapika kama vilivyo,
kusahau your working experience, strengths and opportunities,
Low capacity to control your emotion and body
Uongo uliotukuka kwenye CV


what must be done to win all oral interview?
Jibu swali kama mfugale akiulizwa swali How did you build mfugale fly over bridge from start to finish?
Challenges Cha kujenga mfugale bridge haziwezi kufanana na challenges za kujenga ruvu bridge au rufiji bridge, fund haiwezi kuwa sawa, architecture diagrams haziwezi kuwa sawa, structural diagrams haziwezi kuwa sawa, human resources haziwezi kuwa sawa, financial resources capacity haziwezi kuwa sawa, financial resources capacity haziwezi kuwa sawa, inawezekana akakuomba umwambie umtajie challenges Tano ulizokutana nazo but wewe ulikutana na challenges mbili hivyo utamwambia in accordance with the project Ile nilikutana na challenges mbili tuuu

Be you, be mfugale who built the bridge and not fundi maiko who is lying

If you know lazima uwe na confidence so improve your confidence tunaamini mfugale hawezi kukosa confidence when asked about mfugale fly over bridge, never never never

Note: kusoma saana au kuwa na gpa nzuri na kuwa genius wa mafanikio ni njia mbili tofauti kabisa, chagua njia sahihi
Umetisha mkuu thanks kwa kushare madini.
 
Back
Top Bottom