Usaili wa Utumishi: Kipi kilikufanya ufaulu au ulikosea wapi?

Usaili wa Utumishi: Kipi kilikufanya ufaulu au ulikosea wapi?

Niligoma kujibu maswali mawili ya oral out of five questions.. Niligoma katakataa walinishawishi sana nijibu nikawaambia siwezi kujibu nisichokijua nitakuwa nimeongopa tu kwann niwadanganye Sasa.
halahala watu wasije wakakufanya lolmodo😄😄😄
 
Niliitwa oral ya Tutorial Assistant, nilikuwa na content nzuri na confidence stahiki,
Nilijibu maswali bila shaka yoyote.

Ila makosa nayoyakumbuka;
1) Nilifanya presentation nikiwa nimekaa kwenye kiti (kosa la kwanza),
2) Nilienda kuongea na msailiwa mwingine ambaye bado hajaingia kukandwa wakati mimi nimetoka kusailiwa muda huo (nahisi ni kosa la pili).
Ile kazi sikupata.

Nilipoitwa usaili wa pili, nikasahihisha makosa ya awali, na kisha nikapata kazi ya ukufunzi katika chuo cha elimu ya kati.
Hongera mkuu, huwa tunajifunza kutokana na makosa
 
Ndio, nilirudi pale walipo wenzangu ili nichukue mawasiliano ya mmoja wetu kama ujuavyo harakati za wasaka mirija ya asali.

Yule sekretari anayeita watu kuingia kwenye chumba cha kukandwa aliniona, sasa sijui kama ni kigezo cha kutopata hiyo nafasi au laa.
Sisi tulikuwa tunasindikizwa hadi tuondoke ndipo aitwe mwingine.

Nilikuwa nishatoka kwenye panel nikawa napanga vyeti vyangu na kuviweka kwenye begi, Sekretari akanisubiri akaniambia fanya haraka, na mimi nikamwambia huku nikitabasamu "Ili niwapishe wengine..." hakunijibu, mimi nikaondoka na yeye kaenda kuita mtu mwingine
 
halahala watu wasije wakakufanya lolmodo[emoji1][emoji1][emoji1]
Mkuu nazani kwenye Oral licha ya kuangalia ujibuji wako wanaangalia pia jinsi unavojibu, unakijua unachojibu ama unakamilisha maswali tu. Kuna taaluma hazipaswi mtu kuwa muongo kwenye Oral, mfano watu wa manunuzi na ugavi n.k

Nipo hapa nangoja aliengopa na akapita ?

Mfano: Mimi nimejibu maswali matatu tu ninayoyafahamu kwa ufasaha na mwingine amejibu yote matano lakini mawili ameongopa kukamilisha kujibu.

Kilichobaki ni bahati.
 
nimefatilia muendelezo wa comment zako kuhusu suala hili nimekuelewa sanaa yaan umetishaaa. Message ya mwanzo ilikuwa ngumu.
Ukiisoma peke yake ni kama tango poli ivi😃😃😃
 
Sisi tulikuwa tunasindikizwa hadi tuondoke ndipo aitwe mwingine.

Nilikuwa nishatoka kwenye panel nikawa napanga vyeti vyangu na kuviweka kwenye begi, Sekretari akanisubiri akaniambia fanya haraka, na mimi nikamwambia huku nikitabasamu "Ili niwapishe wengine..." hakunijibu, mimi nikaondoka na yeye kaenda kuita mtu mwingine
Mkuu, hivi bado siku ngapi kufika tarehe ya mrija kwa uzoefu wa taasisi za umma?
Maana vijiwe vyetu vya umachinga vimesimama kwa muda, sasa hivi macho yote kwenye salary tu!!!
 
Mkuu, hivi bado siku ngapi kufika tarehe ya mrija kwa uzoefu wa taasisi za umma?
Maana vijiwe vyetu vya umachinga vimesimama kwa muda, sasa hivi macho yote kwenye salary tu!!!
Mwanzo huwa ni mgumu mkuu, kwahiyo matarajio tuyaweke kwa muda angalau wa Mwezi na nusu au kuendelea tangu ajira kuanza
 
Nakumbuka nilijibu vizuri maswali ma4 kati ya ma5 niliyoulizwa la mwisho lilinichanganya halikuwa direct ni interview ya oral customs assistant TRA. Ila wakati wa mungu utafika saa hii Ulikuwa wakati wa watu wengine kupata mimi nikakosa.
 
Mungu kwangu ndio Kila kitu kwenye kila Hatua namtanguliza Mungu, nilisoma vya kutosha, kujiamini pia.
Nikaingia Written nikapiga freshy.. Just imagine Written zaidi ya watu 700+ Ila nikafanikiwa kuingia top 20.
Oral nilipiga fresh pia,, maswali yote nilijibu kwa kujiamini, ikafikia kipindi nasema hapa nasubiria barua yangu tu ya ajira na leo hii mambo ni safi.
Mungu ni Mwema, Oral yangu ya kwanza na imenipa kazi pia(One touch one goal), Narudia tena Mungu ni Mwema.

Vijana ni Marufuku kushindwa kujaribu, ni Marufuku kukata tamaa pia💪
 
Mungu kwangu ndio Kila kitu kwenye kila Hatua namtanguliza Mungu, nilisoma vya kutosha, kujiamini pia.
Nikaingia Written nikapiga freshy.. Just imagine Written zaidi ya watu 700+ Ila nikafanikiwa kuingia top 20.
Oral nilipiga fresh pia,, maswali yote nilijibu kwa kujiamini, ikafikia kipindi nasema hapa nasubiria barua yangu tu ya ajira na leo hii mambo ni safi.
Mungu ni Mwema wema, Oral yangu ya kwanza na imenipa kazi pia(One touch one goal), Narudia tena Mungu ni Mwema.

Vijana ni Marufuku kushindwa kujaribu, ni Marufuku kukata tamaa pia💪
unafikiri utumishi wanazingatia mambo gani zaidi.

Je kujibu maswali yote kwa usahihi ni guarantee
 
unafikiri utumishi wanazingatia mambo gani zaidi.

Je kujibu maswali yote kwa usahihi ni guarantee
Kupata kazi ni majaaliwa ya mungu unaweza jibu vzuri maswali na kama sio yako bado utakosa ni kuendelea kuomna mungu na wakati wake ni wakat sahihi ukifika ukigusa imoo. Jamaa first katusua af kuna wengne hiyo oral ya tatu bado kakosa. Ukifika oral ni kumuachia mungu hakuna ujanja wako pale zaidi ya mtoa ridhiki.
 
Kupata kazi ni majaaliwa ya mungu unaweza jibu vzuri maswali na kama sio yako bado utakosa ni kuendelea kuomna mungu na wakati wake ni wakat sahihi ukifika ukigusa imoo. Jamaa first katusua af kuna wengne hiyo oral ya tatu bado kakosa. Ukifika oral ni kumuachia mungu hakuna ujanja wako pale zaidi ya mtoa ridhiki.
Jitihada muhimu, ninachokusudia mbinu za kupambana na interview ukisema ivyo tusingekuwa tunaenda dodoma kufanya unterview ili ifike wakati wa mungu au ukipewa pepa usiandike kitu.
Sikukrashi lkn jitihada kwanza alafu tunamuachia mwenyezimungu.
 
[emoji1787]sio lazima uniamini.

me nilikuwa napiga nao story easy tu waliokuwa wananisaili. Na vicheko vilikuwepo pia. Walikuwa Sita kati Yao wanne walipashiriki hii dialogue ya kunishawishi niwajibu , jibu langu lilikuwa lile sijui na siwezi kudanganya. Nilijibu matatu niliyoyajua ipasavyo.
Nami nilipiga nao story nilikuwa very calm.
Swali la mwisho lilikuwa swali la 7
Nikawaambia siwezi kujibu kwa kuwa akili yangu imechoka sana
Manake yalikuwa maswali marefu mno.

Wakanishawishi nijibu
Wakanipa muda wa kupumzika na kufikiria kama dk 3 then nikawajibu lilie swali lilitaka point 5 mimi nikajibu point 3 wakanambia nimalizie point 2 nikawaambia nadhani inatosha.

Alhamdullilah Nilipata ile kazi na ilikuwa ni utumishi 2017.
 
Jitihada muhimu, ninachokusudia mbinu za kupambana na interview ukisema ivyo tusingekuwa tunaenda dodoma kufanya unterview ili ifike wakati wa mungu au ukipewa pepa usiandike kitu.
Sikukrashi lkn jitihada kwanza alafu tunamuachia mwenyezimungu.
Sijasema usifanye maandalizi wewe haujanielewa
 
Nyoya la kuku mweusi, Kitambaa cheusi chukua uzi Mwekundu zungushia ndani ya hicho kitambaa weka mfukoni kisha nenda Interview. Hii ndiyo siri yangu kutoboa
Unazungushiaje!? Awe mweusi kabisa..
Weka hints vizuri mkuu...
 
Tells us about yourself.....swali la mtego[emoji16][emoji23][emoji23]
 
Tells us about yourself.....swali la mtego[emoji16][emoji23][emoji23]

Hapa ndo sehem ambayo itaonesha unataka kazi au hutaki. Hapa ndo unatakiwa kuwa serious yaani unatakiwa uwatongoze kwelikweli.
 
Back
Top Bottom