Usaili wa Utumishi: Kipi kilikufanya ufaulu au ulikosea wapi?

Usaili wa Utumishi: Kipi kilikufanya ufaulu au ulikosea wapi?

Niligoma kujibu maswali mawili ya oral out of five questions.. Niligoma katakataa walinishawishi sana nijibu nikawaambia siwezi kujibu nisichokijua nitakuwa nimeongopa tu kwann niwadanganye Sasa.
Ungewaambia wakuulize màswali rahisi.
 
Niligoma kujibu maswali mawili ya oral out of five questions.. Niligoma katakataa walinishawishi sana nijibu nikawaambia siwezi kujibu nisichokijua nitakuwa nimeongopa tu kwann niwadanganye Sasa.
Chai
 
[emoji1787]sio lazima uniamini.

me nilikuwa napiga nao story easy tu waliokuwa wananisaili. Na vicheko vilikuwepo pia. Walikuwa Sita kati Yao wanne walipashiriki hii dialogue ya kunishawishi niwajibu , jibu langu lilikuwa lile sijui na siwezi kudanganya. Nilijibu matatu niliyoyajua ipasavyo.
 
[emoji1787]sio lazima uniamini.

me nilikuwa napiga nao story easy tu waliokuwa wananisaili. Na vicheko vilikuwepo pia. Walikuwa Sita kati Yao wanne walipashiriki hii dialogue ya kunishawishi niwajibu , jibu langu lilikuwa lile sijui na siwezi kudanganya. Nilijibu matatu niliyoyajua ipasavyo.
Umetisha
 
Matokeo yalikujaje?
Niko KAZINI ndugu yangu kwa usaili ule.

Hakikisha unawafanya wakukumbuke, kivyovyote. Hakikisha waliokutangulia unawapita na wanaokufatia unawapita, usijibakishe ukatoka na wasiwasi wa labda ningefanya hivi ama ningefanya vile, wanaotusaili ni BINADAMU. sema tu ndio anakuwa amekushikia tonge muda ule .


Interview ngumu labda ni written na practical maana muda wa mazungumzo haupo ila oral ni ahueni.
 
Niko KAZINI ndugu yangu kwa usaili ule.

Hakikisha unawafanya wakukumbuke, kivyovyote. Hakikisha waliokutangulia unawapita na wanaokufatia unawapita, usijibakishe ukatoka na wasiwasi wa labda ningefanya hivi ama ningefanya vile, wanaotusaili ni BINADAMU. sema tu ndio anakuwa amekushikia tonge muda ule .


Interview ngumu labda ni written na practical maana muda wa mazungumzo haupo ila oral ni ahueni.
Mungu fundi[emoji119][emoji119][emoji119],hakika akisema YES hakuna binadam anaeza pindua.
Hongera sana boss.
 
Niligoma kujibu maswali mawili ya oral out of five questions.. Niligoma katakataa walinishawishi sana nijibu nikawaambia siwezi kujibu nisichokijua nitakuwa nimeongopa tu kwann niwadanganye Sasa.
Wewe jasiri Sana.... confidence zimekujaa mpaka zinamwagika.
 
Ulichoandika kinafanana na changu..

Hata Mimi nimeingia kwenye Oral za kutosha tu, ila iliyonipa kazi ni Ile niyopata 50 kwenye written, tena tuliopata 50 tulikuwa watatu, Mungu alinitendea muujiza kuitwa Mimi na jamaa aliyekuwa wa nne kwenye written, yanii Huwa sielewi yule jamaa aliyepiga 96% alikosea Nini ( ila Kwa sasa amepata kazi yupo TRC)..
Hongera sana chief....Mungu Ni mwema.
 
Well said mkuu,
Kwanza niseme tu mimi ni mmoja wa niliefanikiwa kupita katika interview na kupata ajira.

Ila frankly speaking sijawahi kukutana na interview mbovu kama ya sekretarieti ya ajira.
1. Hawana muda kukupapasa kujua ulichonacho kichwani kama wafanyavyo private sector.
2. Kama umekariri vema na maswali yakatoka yale uliyopitia basi umetoboa.
3. Hawataki ueleze what u know it’s all abt mention. Nakumbuka nilitaka kueleza kitu in details yule interviewer akaniambia just mention.
4. Nature ya maswali sio yale ya kuadd value to company. Mengi ni direct to your career. Usijisumbue kwenda YouTube kutafuta skills za kujibu interview za sekretarieti ya ajira utapoteza muda wako just komaa na madesa yako.

Sekretarieti ya ajira ni ngumu sana kuja kupata wale smart candidates kwa nature ya interview zao haswa kwenye upande wa mahojiano.

So, I second you mkuu kutoboa kwenye usaili wa sekretarieti ya ajira it’s a game of chance inategemea madesa yako uliyopitia
Hapa umenena vyema.
 
Wengi waliokomenti humu isipokuwa Ahmet watakuwa wanaogelea kwenye Stigla joji ya Asali, ndio maana hawakurudi kuendeleza uzi.

Nimemuona jamaa aliyekuwa anaitwa Shombe la Kisomali, aliwahi kukomenti humu, mwisho wa siku alibadili ID na kutoweka.

Huu uzi ulikuwa mzuri sana ila ulikosa wachangiaji baada ya wahusika wengi kulamba Asali
Tutauchangamsha na huu uzi.
 
Wengi waliokomenti humu isipokuwa Ahmet watakuwa wanaogelea kwenye Stigla joji ya Asali, ndio maana hawakurudi kuendeleza uzi.

Nimemuona jamaa aliyekuwa anaitwa Shombe la Kisomali, aliwahi kukomenti humu, mwisho wa siku alibadili ID na kutoweka.

Huu uzi ulikuwa mzuri sana ila ulikosa wachangiaji baada ya wahusika wengi kulamba Asali
Hata wewe boss Mwifwa ulishalamba asali....njoo utoe nasaha hapa.
 
Back
Top Bottom