Usaili wa Utumishi: Kipi kilikufanya ufaulu au ulikosea wapi?

Usaili wa Utumishi: Kipi kilikufanya ufaulu au ulikosea wapi?

Nilienda usaili BOT, tulikua nyomi sana, watu wakawa wanasema sitatoboa maana ni interview ya kwanza. Huwezi amin nilipita interview zote tatu mpaka oral, siku ya oral tukapokonywa simu saa tatu asubuhi tukafungiwa kwenye moja ya yale maghorofa yao juu kabisa. Ni mwendo wa kula vyuku na kwenda toilet tu, nikaja kuingia kwenye interview saa mbili kasoro usiku toka asubuhi. Mule ndani kiukweli mwanzo nilijikanyaga sana hasa kwa maswali hayahusiani na field yangu. Ila kwa maswali ya field wale jamaa walikiri ndani ya chumba cha panel kuwa nipo vizuri. Niliambiwa kuwa nitapigiwa simu ndani ya wiki mbili ila mpaka Leo sijawahi pigiwa nadhani sababu iloniangusha ni mavazi sikua nimewaka sana kama wengine.

Nashukuru mungu kwa sasa nipo chuo kikuu kimoja nchini kama mkufunzi msaidizi na mrija wa asali ni mrefu kidogo zaidi ya ule wa BOT.

Mungu akikupa akuandikii barua, BOT walinipa funzo la kuvaa, tuliofanya usaili chuo kikuu kimoja na tukafika oral nadhani watakua washafahamu. Umaridadi unaongeza marks za kutoboa
 
Nilienda usaili BOT, tulikua nyomi sana, watu wakawa wanasema sitatoboa maana ni interview ya kwanza. Huwezi amin nilipita interview zote tatu mpaka oral, siku ya oral tukapokonywa simu saa tatu asubuhi tukafungiwa kwenye moja ya yale maghorofa yao juu kabisa. Ni mwendo wa kula vyuku na kwenda toilet tu, nikaja kuingia kwenye interview saa mbili kasoro usiku toka asubuhi. Mule ndani kiukweli mwanzo nilijikanyaga sana hasa kwa maswali hayahusiani na field yangu. Ila kwa maswali ya field wale jamaa walikiri ndani ya chumba cha panel kuwa nipo vizuri. Niliambiwa kuwa nitapigiwa simu ndani ya wiki mbili ila mpaka Leo sijawahi pigiwa nadhani sababu iloniangusha ni mavazi sikua nimewaka sana kama wengine.

Nashukuru mungu kwa sasa nipo chuo kikuu kimoja nchini kama mkufunzi msaidizi na mrija wa asali ni mrefu kidogo zaidi ya ule wa BOT.

Mungu akikupa akuandikii barua, BOT walinipa funzo la kuvaa, tuliofanya usaili chuo kikuu kimoja na tukafika oral nadhani watakua washafahamu. Umaridadi unaongeza marks za kutoboa
Hongera mkuu kwa kupmbana na kutokata tamaa.....na hapo kwenye package ni ndefu kidogo sidhani kama inalingana na hiyo mkufunzi msaidizi wa chuo!
 
Nilienda usaili BOT, tulikua nyomi sana, watu wakawa wanasema sitatoboa maana ni interview ya kwanza. Huwezi amin nilipita interview zote tatu mpaka oral, siku ya oral tukapokonywa simu saa tatu asubuhi tukafungiwa kwenye moja ya yale maghorofa yao juu kabisa. Ni mwendo wa kula vyuku na kwenda toilet tu, nikaja kuingia kwenye interview saa mbili kasoro usiku toka asubuhi. Mule ndani kiukweli mwanzo nilijikanyaga sana hasa kwa maswali hayahusiani na field yangu. Ila kwa maswali ya field wale jamaa walikiri ndani ya chumba cha panel kuwa nipo vizuri. Niliambiwa kuwa nitapigiwa simu ndani ya wiki mbili ila mpaka Leo sijawahi pigiwa nadhani sababu iloniangusha ni mavazi sikua nimewaka sana kama wengine.

Nashukuru mungu kwa sasa nipo chuo kikuu kimoja nchini kama mkufunzi msaidizi na mrija wa asali ni mrefu kidogo zaidi ya ule wa BOT.

Mungu akikupa akuandikii barua, BOT walinipa funzo la kuvaa, tuliofanya usaili chuo kikuu kimoja na tukafika oral nadhani watakua washafahamu. Umaridadi unaongeza marks za kutoboa
Hongera sana mkuu.

Kumbe dressing nayo ina umuhimu wake kwenye interview.
 
Nilienda usaili BOT, tulikua nyomi sana, watu wakawa wanasema sitatoboa maana ni interview ya kwanza. Huwezi amin nilipita interview zote tatu mpaka oral, siku ya oral tukapokonywa simu saa tatu asubuhi tukafungiwa kwenye moja ya yale maghorofa yao juu kabisa. Ni mwendo wa kula vyuku na kwenda toilet tu, nikaja kuingia kwenye interview saa mbili kasoro usiku toka asubuhi. Mule ndani kiukweli mwanzo nilijikanyaga sana hasa kwa maswali hayahusiani na field yangu. Ila kwa maswali ya field wale jamaa walikiri ndani ya chumba cha panel kuwa nipo vizuri. Niliambiwa kuwa nitapigiwa simu ndani ya wiki mbili ila mpaka Leo sijawahi pigiwa nadhani sababu iloniangusha ni mavazi sikua nimewaka sana kama wengine.

Nashukuru mungu kwa sasa nipo chuo kikuu kimoja nchini kama mkufunzi msaidizi na mrija wa asali ni mrefu kidogo zaidi ya ule wa BOT.

Mungu akikupa akuandikii barua, BOT walinipa funzo la kuvaa, tuliofanya usaili chuo kikuu kimoja na tukafika oral nadhani watakua washafahamu. Umaridadi unaongeza marks za kutoboa
Ndio maana wanasheria huwa wanatimba na suti zao zile za dark blue kwenye oral za PSRS
 
Hongera mkuu kwa kupmbana na kutokata tamaa.....na hapo kwenye package ni ndefu kidogo sidhani kama inalingana na hiyo mkufunzi msaidizi wa chuo!
Shukran, kuna jamaa yangu ni wa zanzibar alifanikisha kuingia kwenye huo mjengo uliopo kwenye buku ten, kwa upande wa package kwa degree holder namzidi kwa asilimia tano. Malupulupu yupo juu kwa maana ya safari, though kwa chuo kikuu mambo ya honorarium inakuja kumpiku parefu sana mwisho wa mwaka a achilia other incentives
 
Ndio maana wanasheria huwa wanatimba na suti zao zile za dark blue kwenye oral za PSRS
Mzee wangu nakumbuka alinambia kama utani "jitahidi wakuone mpya", aiseh ilibidi nigharamie laki mbili na nusu ili kupata huo upya. Siku ya mtihani wa maongezi, sikuwa na hofu kabisa. Interview ukijikanyaga kwa mara ya kwanza ni tatizo sana
 
Mzee wangu nakumbuka alinambia kama utani "jitahidi wakuone mpya", aiseh ilibidi nigharamie laki mbili na nusu ili kupata huo upya. Siku ya mtihani wa maongezi, sikuwa na hofu kabisa. Interview ukijikanyaga kwa mara ya kwanza ni tatizo sana
Kwa hyo unaweza Vaa vizr Halaf ukapigwa maswali ,baadhi yakakushinda ,,kisa umevaa vzr ukatoboa ??? Mmmh [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mzee wangu nakumbuka alinambia kama utani "jitahidi wakuone mpya", aiseh ilibidi nigharamie laki mbili na nusu ili kupata huo upya. Siku ya mtihani wa maongezi, sikuwa na hofu kabisa. Interview ukijikanyaga kwa mara ya kwanza ni tatizo sana
Mantiki yako kubwa hapa nn ?? Kati ya uwezo wako na uvaaji wako,. Tueleweshane hapa
 
Mantiki yako kubwa hapa nn ?? Kati ya uwezo wako na uvaaji wako,. Tueleweshane hapa
Anyway, vaa kawaida tu kutokana na uwezo wako. Uwe smart.
Kubwa zaidi, kuwa humble. Usipoelewa swali, uliza hata mara 2 ni haki yako. Onyesha kujiamini kiasi sio kuwa mjuaji.
Pitia tangazo la zile kazi, zielewe kazi husika. Lakini pia uwe na abc ya eneo hitajika.
 
Mzee wangu nakumbuka alinambia kama utani "jitahidi wakuone mpya", aiseh ilibidi nigharamie laki mbili na nusu ili kupata huo upya. Siku ya mtihani wa maongezi, sikuwa na hofu kabisa. Interview ukijikanyaga kwa mara ya kwanza ni tatizo sana
Wengine tunajiweka safi/mpya kwenye matukio tu.

Sahili zimetufanya tuwe safi, kama mimi nikiwa mtaani huwa sivai vitua vya kufunika ila pindi nimeitwa interview na PSRS nilinunua viatu vipya na suruali mpya nikawa naenda nanyo kukandwa.

**** siku nilikandwa written, halafu iliyofuata nikawa na hasira sikuvaa viatu vya kufunika, nilivaa open shoes.

Wakati tunakaguliwa vyeti, mkaguzi akaniuliza kuhusu open shoes mimi nikawa nimechill tu sikusema chochote[emoji3][emoji3], hadi kuanzia hiyo siku akanifahamu moja kwa moja. Hiyo written niliangukia pua.

Ila kwenye oral niliona watu wako smart sana, wengine wapenda tai walizitupia kabisa
 
Kwa hyo unaweza Vaa vizr Halaf ukapigwa maswali ,baadhi yakakushinda ,,kisa umevaa vzr ukatoboa ??? Mmmh [emoji3][emoji3][emoji3]
Hapana, kama kuvaa vizuri ni marks 3(kama kweli lakini) halafu kote ukakandwa unafikiri utatoboa?
 
Sisi wengine huwa tupo kwenye panels. Hizi chumvi mnazitoa wapi
Mkuu msaada wako ni muhimu sana hapa.

Ebu tupe tips sasa mnazozizingatia mnapomsahili jobless ili aweze kupata nafasi ya kazi
 
Anyway, vaa kawaida tu kutokana na uwezo wako. Uwe smart.
Kubwa zaidi, kuwa humble. Usipoelewa swali, uliza hata mara 2 ni haki yako. Onyesha kujiamini kiasi sio kuwa mjuaji.
Pitia tangazo la zile kazi, zielewe kazi husika. Lakini pia uwe na abc ya eneo hitajika.
Ahsante kwa muongozo mkuu
 
Safari ilivyoanza mwaka 2017,
Nakumbuka safari ilianza mwaka 2017 ya kujisajiri na website ya PSRS yaani utumishi na ni baada ya kupata hamasa kutoka kwa rafiki yangu wa karibu baada ya yeye kupiga usaili mmoja tu na kupata kazi yaani (One touch).

Saili nilizohudhuria za Utumishi,

Nilifanikiwa kuomba nafasi 11 za utumishi Hapo ni kuanzia mwaka 2018 hadi 2019 na kati ya hizo nilizofanikiwa kuitwa zote 11 na kati ya hizo nilizofanikiwa kuingia Mahojiano ni 6 tu! kwa muda tofauti tofauti,na kama unavyojua fani za biashara nafasi 1 tulikuwa tunahudhuria mpaka watu 600 vuta taswira hapo na nyingine matokeo nilikuwa nakuwa wakwanza kabisa pale kwenye usaili wa kuandika na nikiingia mahojiano majibu yakija ya kupangiwa kituo MUNGU hakuwa ana bariki.

Nilichojifunza,
Saili ambazo nilifanya vizuri sana zakuandika sikufanikiwa kupata kazi
na Saili ambazo zilinipatia kazi ni mbili chini utaelewa kivipi mbili,yaani ya kwanza kabisa ambayo ilinitoa kwenye Database na hii ya mwisho ambayo nakumbuka kwenye majibu ya written nilishika mkia ila kwenye Oral kwa kuwa nilikuwa nimefika hatua najiamini hadi kupitiliza ile saili nakumbuka nilikuwa kama napiga nao story mpaka kuna comment nilipewa baada ya kumaliza “Thank you Mr. flani for changing our Mood on how you convesant with us in a very confident way” nami nikamaliza kwa mbwembwe ‘’Thanks for fair and good interview dear honorable panelist,I’m just wish all the blessed weekend” wakacheka wakanibariki pia.

Nilivopata kazi,
Mkeka ulitoka hii kazi nilipata moja kwa moja japo usaili wa kuandika nilishika mkia, na baada ya wiki nataka ku ripoti likatoka Tangazo lingine nimepata kazi Taasisi fulani kupitia KANZIDATA na kupitia barua yangu iliainisha aina ya usaili ulonitoa kwenye KANZIDATA basi ulikuwa ni wa kwanza kabisa ambao nilifanya (Mapema mwaka 2018) nikaangalia kwenye maslahi basi nikabaki huko.

Samahani,
kwa uandishi wangu mbovu kama kuna pahala nimemkwaza mtu..😀

ZINGATIO;
Nilifunga sana na kumshirikisha MUNGU kwa imani yangu katika hiko kipindi chote cha utafutaji.

MUHIMU & USHAURI,
Kukata tamaa ni mwiko ilifika muda hata nyumbani sisemi kama naenda kuhudhuria Usaili ili kuepuka yale maneno ya ;-​
  • Watu wangapi mmeitwa?​
  • je utapata?​
  • Mbona watu wengi?​
  • Kazi hakuna sikuhizi!​
  • Bila connection hutoboi!​
Kuna muda unapambana kimya kimya mafanikio ndiyo yatoe majibu kwa watu.

Asante.​
 
Safari ilivyoanza mwaka 2017,
Nakumbuka safari ilianza mwaka 2017 ya kujisajiri na website ya PSRS yaani utumishi na ni baada ya kupata hamasa kutoka kwa rafiki yangu wa karibu baada ya yeye kupiga usaili mmoja tu na kupata kazi yaani (One touch).

Saili nilizohudhuria za Utumishi,

Nilifanikiwa kuomba nafasi 11 za utumishi Hapo ni kuanzia mwaka 2018 hadi 2019 na kati ya hizo nilizofanikiwa kuitwa zote 11 na kati ya hizo nilizofanikiwa kuingia Mahojiano ni 6 tu! kwa muda tofauti tofauti,na kama unavyojua fani za biashara nafasi 1 tulikuwa tunahudhuria mpaka watu 600 vuta taswira hapo na nyingine matokeo nilikuwa nakuwa wakwanza kabisa pale kwenye usaili wa kuandika na nikiingia mahojiano majibu yakija ya kupangiwa kituo MUNGU hakuwa ana bariki.

Nilichojifunza,
Saili ambazo nilifanya vizuri sana zakuandika sikufanikiwa kupata kazi
na Saili ambazo zilinipatia kazi ni mbili chini utaelewa kivipi mbili,yaani ya kwanza kabisa ambayo ilinitoa kwenye Database na hii ya mwisho ambayo nakumbuka kwenye majibu ya written nilishika mkia ila kwenye Oral kwa kuwa nilikuwa nimefika hatua najiamini hadi kupitiliza ile saili nakumbuka nilikuwa kama napiga nao story mpaka kuna comment nilipewa baada ya kumaliza “Thank you Mr. flani for changing our Mood on how you convesant with us in a very confident way” nami nikamaliza kwa mbwembwe ‘’Thanks for fair and good interview dear honorable panelist,I’m just wish all the blessed weekend” wakacheka wakanibariki pia.

Nilivopata kazi,
Mkeka ulitoka hii kazi nilipata moja kwa moja japo usaili wa kuandika nilishika mkia, na baada ya wiki nataka ku ripoti likatoka Tangazo lingine nimepata kazi Taasisi fulani kupitia KANZIDATA na kupitia barua yangu iliainisha aina ya usaili ulonitoa kwenye KANZIDATA basi ulikuwa ni wa kwanza kabisa ambao nilifanya (Mapema mwaka 2018) nikaangalia kwenye maslahi basi nikabaki huko.

Samahani,
kwa uandishi wangu mbovu kama kuna pahala nimemkwaza mtu..[emoji3]

ZINGATIO;
Nilifunga sana na kumshirikisha MUNGU kwa imani yangu katika hiko kipindi chote cha utafutaji.

MUHIMU & USHAURI,
Kukata tamaa ni mwiko ilifika muda hata nyumbani sisemi kama naenda kuhudhuria Usaili ili kuepuka yale maneno ya ;-​
  • Watu wangapi mmeitwa?​
  • je utapata?​
  • Mbona watu wengi?​
  • Kazi hakuna sikuhizi!​
  • Bila connection hutoboi!​
Kuna muda unapambana kimya kimya mafanikio ndiyo yatoe majibu kwa watu.

Asante.​
Ahsante sana kwa kutushirikisha hili.

Usisite pia kuja kwenye nyuzi zetu na kuja kutupa fafanuzi mbalimbali kutokana na uzoefu wako wa sahili za utumishi, utasaidia wengi ambao hawajui mambo yalivyo na itakuwa msaada kwao kufanikisha ndoto zao za kufaulu sahili
 
Ahsante sana kwa kutushirikisha hili.

Usisite pia kuja kwenye nyuzi zetu na kuja kutupa fafanuzi mbalimbali kutokana na uzoefu wako wa sahili za utumishi, utasaidia wengi ambao hawajui mambo yalivyo na itakuwa msaada kwao kufanikisha ndoto zao za kufaulu sahili
Kabisa aje atupe experience yake Maana wengne tunajifunza kweny experience ya mtu alie fanikiwa kutoboa
 
Shukran, kuna jamaa yangu ni wa zanzibar alifanikisha kuingia kwenye huo mjengo uliopo kwenye buku ten, kwa upande wa package kwa degree holder namzidi kwa asilimia tano. Malupulupu yupo juu kwa maana ya safari, though kwa chuo kikuu mambo ya honorarium inakuja kumpiku parefu sana mwisho wa mwaka a achilia other incentives
hpo sina usem sana mana wew upo kwenye hiyo industry unaijua zaid
 
Back
Top Bottom