Hunter621
Senior Member
- Jul 20, 2016
- 161
- 458
mkuu uko vzuri kwenye kila uzi uko active sanaKumbe uliwahi kukomenti hapa na hausemi, huu uzi ungekuwa mbali sana kama tungeuchangamsha maana maudhui yake ndio haya tuliyokuwa tunayataka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu uko vzuri kwenye kila uzi uko active sanaKumbe uliwahi kukomenti hapa na hausemi, huu uzi ungekuwa mbali sana kama tungeuchangamsha maana maudhui yake ndio haya tuliyokuwa tunayataka
hivi kuna uwezekano wowote kama una experience flan na kazi haijahitaji hyo experience hasa hizi za utumishi na ukapewa kipaumbeleCha kwanza ni mavazi, yale niliyopanga kuyavaa yalipata changamoto afu kesho ndio naamkia kwenye interview, cha pili ni kwenye kueleza uzoefu wangu, niliulizwa sasa hivi unafanya nini?
nikajibu nafanya internship bila kutaja historia ya kazi nilizofanya before na nilipo sasa wakati nipo kwenye kampuni kubwa tu.
niligunduaje?
maswali mengi niliyoulizwa nilijibu vizuri tu ukiacha machache ambayo kuna namna nilijibu kawaida ( baada ya kutoka niliteta na watahiniwa wenzangu nikarelate na nilivyojibu nilikuwa sahihi sehemu nyingi nao walikiri) ila kwenye kuelezea uzoefu wa kazi wenzangu walidadavua vizuri sana na majukumu wanayofanya ila mimi hata kampuni sikutaja nikiamini nimeandika kwenye application letter
hapo ndipo nilipoyumba
NB: wale walioelezea experience yao vyema na ujuzi wao kazini watatu walichukuliwa, wawili waliobaki katika nafasi zile 5 zilizotangazwa, hatukuwa kwenye kundi moja so sikujua walijibu nini.
Cha ziada ukiitwa kwenye interview yoyote ukaulizwa skills zako usijivunge elezea na toa na mifano kabisa, sio lazima uwe na uzoefu wa miaka 100 hata kama ni mmoja tu ukifafanua vizuri utazingatiwa tu.
Sidhani kama utazingatiwahivi kuna uwezekano wowote kama una experience flan na kazi haijahitaji hyo experience hasa hizi za utumishi na ukapewa kipaumbele
Kumbe hakuna undugu kwenye pipa la Asali[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahhhhh watu wapo kimya jobless hathaminiki kabisa
Na kila anayelamba Asali anatoweka moja kwa moja[emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha watu tumehangaika sana humu jf
Amebadili ID na hiyo Id siioni mara kwa mara humu jukwaaniShombe la kisomali alikua analilia ajira za kilimo na sheria.
Mpaka nikashindwa kumuelewa kua jamaa alikua kada gani.
Zaidi ya miezi 4 sasa simuoni jamvini,sijui itakua kashalamba asali.
All in all thread nzuri sana hii kwa kuanzia maandalizi ya oral.
Baada ya placement kutoka ulipata nafasi?Mungu tu akiamua mm nilijibu Hadi wakaomba tupige story tu
Huu sikuuona mapema, laiti ningeuona mapema, ungekuwa uzi mama kwenye hizi ishu.mkuu uko vzuri kwenye kila uzi uko active sana
Kabisa, ule uzi wa kwa nin utumishii..... unatembea sanaHuu sikuuona mapema, laiti ningeuona mapema, ungekuwa uzi mama kwenye hizi ishu.
hivi kwa CAG unasubiri matokeo ya post gani?Huu sikuuona mapema, laiti ningeuona mapema, ungekuwa uzi mama kwenye hizi ishu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]asante kwa kuniondoa stress aseeNyoya la kuku mweusi, Kitambaa cheusi chukua uzi Mwekundu zungushia ndani ya hicho kitambaa weka mfukoni kisha nenda Interview. Hii ndiyo siri yangu kutoboa
Yaani hawaonekaniNa kila anayelamba Asali anatoweka moja kwa moja[emoji3][emoji3][emoji3]
Auditor upande wa Afyahivi kwa CAG unasubiri matokeo ya post gani?
Means jamaa yupo busy na kazi.Amebadili ID na hiyo Id siioni mara kwa mara humu jukwaani
Utumishi ni tofauti na private huku wanataka kile kinachosaidia kwenye kazi husikaKvp hawezi kuzingatiwa mwanangu wizy
Hapo kwenye experience nilikuwa naongelea zile zinazohitaji experience hizi junior level wala hawaangaliagi experience mzeeSasa Mbona post nyingi za utumishi hazina kipengele Cha experience hata walitangaza post zao... mwanangu wizy
Okay nmekisoma bro tuendelee kusubria placement na kuangalia status zetu 😂😂Hapo kwenye experience nilikuwa naongelea zile zinazohitaji experience hizi junior level wala hawaangaliagi experience mzee
😂😂😂😂Nisikia wengine wanasema zimebadilika leo au tuwaimbie baba jeni bye byeOkay nmekisoma bro tuendelee kusubria placement na kuangalia status zetu 😂😂