Usaili wa Utumishi: Kipi kilikufanya ufaulu au ulikosea wapi?

Usaili wa Utumishi: Kipi kilikufanya ufaulu au ulikosea wapi?

Wengi humu watakudanganya mara confidence mara kufahamu mambo,mara language,mara kujibu maswali vizuri.
Nakuhakikishia Leo ili ufahamu interview za written na Oral Utumishi,ni game of chance namanisha ni bahati nasibu na hamna chochote,watainiwa ni wengi hamna mtu mwenye muda huo wa kuanza kuangali sijui huyu alijibu vizuri au laa na kama una ndugu Serikali mkubwa utapata kazi mapema sana.

Nipo huku ninafahamu ninachokisema,na kabla ya kufika huku kuna rafiki zangu wengi sana uwezo wao ulikuwa mdogo na walipata ajira na sehemu nyeti.Nimekuja kufahamu haya baada ya kuingia huku.

Anayepinga aje na fact.
 
Kwahiyo cc tuliokuwa huku ni vilaza ?
Wengi humu watakudanganya mara confidence mara kufahamu mambo,mara language,mara kujibu maswali vizuri.
Nakuhakikishia Leo ili ufahamu interview za written na Oral Utumishi,ni game of chance namanisha ni bahati nasibu na hamna chochote,watainiwa ni wengi hamna mtu mwenye muda huo wa kuanza kuangali sijui huyu alijibu vizuri au laa na kama una ndugu Serikali mkubwa utapata kazi mapema sana.

Nipo huku ninafahamu ninachokisema,na kabla ya kufika huku kuna rafiki zangu wengi sana uwezo wao ulikuwa mdogo na walipata ajira na sehemu nyeti.Nimekuja kufahamu haya baada ya kuingia huku.

Anayepinga aje na fact.
 
Wengi humu watakudanganya mara confidence mara kufahamu mambo,mara language,mara kujibu maswali vizuri.
Nakuhakikishia Leo ili ufahamu interview za written na Oral Utumishi,ni game of chance namanisha ni bahati nasibu na hamna chochote,watainiwa ni wengi hamna mtu mwenye muda huo wa kuanza kuangali sijui huyu alijibu vizuri au laa na kama una ndugu Serikali mkubwa utapata kazi mapema sana.

Nipo huku ninafahamu ninachokisema,na kabla ya kufika huku kuna rafiki zangu wengi sana uwezo wao ulikuwa mdogo na walipata ajira na sehemu nyeti.Nimekuja kufahamu haya baada ya kuingia huku.

Anayepinga aje na fact.

Well said mkuu,
Kwanza niseme tu mimi ni mmoja wa niliefanikiwa kupita katika interview na kupata ajira.

Ila frankly speaking sijawahi kukutana na interview mbovu kama ya sekretarieti ya ajira.
1. Hawana muda kukupapasa kujua ulichonacho kichwani kama wafanyavyo private sector.
2. Kama umekariri vema na maswali yakatoka yale uliyopitia basi umetoboa.
3. Hawataki ueleze what u know it’s all abt mention. Nakumbuka nilitaka kueleza kitu in details yule interviewer akaniambia just mention.
4. Nature ya maswali sio yale ya kuadd value to company. Mengi ni direct to your career. Usijisumbue kwenda YouTube kutafuta skills za kujibu interview za sekretarieti ya ajira utapoteza muda wako just komaa na madesa yako.

Sekretarieti ya ajira ni ngumu sana kuja kupata wale smart candidates kwa nature ya interview zao haswa kwenye upande wa mahojiano.

So, I second you mkuu kutoboa kwenye usaili wa sekretarieti ya ajira it’s a game of chance inategemea madesa yako uliyopitia
 
Wengi humu watakudanganya mara confidence mara kufahamu mambo,mara language,mara kujibu maswali vizuri.
Nakuhakikishia Leo ili ufahamu interview za written na Oral Utumishi,ni game of chance namanisha ni bahati nasibu na hamna chochote,watainiwa ni wengi hamna mtu mwenye muda huo wa kuanza kuangali sijui huyu alijibu vizuri au laa na kama una ndugu Serikali mkubwa utapata kazi mapema sana.

Nipo huku ninafahamu ninachokisema,na kabla ya kufika huku kuna rafiki zangu wengi sana uwezo wao ulikuwa mdogo na walipata ajira na sehemu nyeti.Nimekuja kufahamu haya baada ya kuingia huku.

Anayepinga aje na fact.
Uko sawa
1.Bahati au ngekewa
2.Koneksheni
Unaweza jibu written na oral ukapiga hata 95%.
Na usitoboe kama huna koneksheni
 
Well said mkuu,
Kwanza niseme tu mimi ni mmoja wa niliefanikiwa kupita katika interview na kupata ajira.

Ila frankly speaking sijawahi kukutana na interview mbovu kama ya sekretarieti ya ajira.
1. Hawana muda kukupapasa kujua ulichonacho kichwani kama wafanyavyo private sector.
2. Kama umekariri vema na maswali yakatoka yale uliyopitia basi umetoboa.
3. Hawataki ueleze what u know it’s all abt mention. Nakumbuka nilitaka kueleza kitu in details yule interviewer akaniambia just mention.
4. Nature ya maswali sio yale ya kuadd value to company. Mengi ni direct to your career. Usijisumbue kwenda YouTube kutafuta skills za kujibu interview za sekretarieti ya ajira utapoteza muda wako just komaa na madesa yako.

Sekretarieti ya ajira ni ngumu sana kuja kupata wale smart candidates kwa nature ya interview zao haswa kwenye upande wa mahojiano.

So, I second you mkuu kutoboa kwenye usaili wa sekretarieti ya ajira it’s a game of chance inategemea madesa yako uliyopitia
Bora iwe hivyo ili iwe rahisi sisi tusiojua ung'eng'e. Ila sometimes nao wanaangalia muda.. just imagine Kila candidate alete broken zake pale c watakesha jamani..!!!
Me sioni mbaya maana Asiyejua hata akiambiwa kumention factors Fulani hatoweza mkuu
 
Wengi humu watakudanganya mara confidence mara kufahamu mambo,mara language,mara kujibu maswali vizuri.
Nakuhakikishia Leo ili ufahamu interview za written na Oral Utumishi,ni game of chance namanisha ni bahati nasibu na hamna chochote,watainiwa ni wengi hamna mtu mwenye muda huo wa kuanza kuangali sijui huyu alijibu vizuri au laa na kama una ndugu Serikali mkubwa utapata kazi mapema sana.

Nipo huku ninafahamu ninachokisema,na kabla ya kufika huku kuna rafiki zangu wengi sana uwezo wao ulikuwa mdogo na walipata ajira na sehemu nyeti.Nimekuja kufahamu haya baada ya kuingia huku.

Anayepinga aje na fact.
Huu ndio ukweli. Japo NI mchungu
 
Well said mkuu,
Kwanza niseme tu mimi ni mmoja wa niliefanikiwa kupita katika interview na kupata ajira.

Ila frankly speaking sijawahi kukutana na interview mbovu kama ya sekretarieti ya ajira.
1. Hawana muda kukupapasa kujua ulichonacho kichwani kama wafanyavyo private sector.
2. Kama umekariri vema na maswali yakatoka yale uliyopitia basi umetoboa.
3. Hawataki ueleze what u know it’s all abt mention. Nakumbuka nilitaka kueleza kitu in details yule interviewer akaniambia just mention.
4. Nature ya maswali sio yale ya kuadd value to company. Mengi ni direct to your career. Usijisumbue kwenda YouTube kutafuta skills za kujibu interview za sekretarieti ya ajira utapoteza muda wako just komaa na madesa yako.

Sekretarieti ya ajira ni ngumu sana kuja kupata wale smart candidates kwa nature ya interview zao haswa kwenye upande wa mahojiano.

So, I second you mkuu kutoboa kwenye usaili wa sekretarieti ya ajira it’s a game of chance inategemea madesa yako uliyopitia
Umeeleza vzur kabisa mkuu na huu ndio ukweli
 
Nyuzi bora kabisa kwa upande ningekuwa na uwezo ningeipandisha mawinguni.
Now upande wangu.....
Niliingia interview ya oral nikaulizwa maswali matano 5 Nikajibu yote kwa Confidence Kubwa mno ila ukweli swali moja kati ya hayo ndio nilijua jibu lake....Mengine ilikuwa Bla bla in English with 100% Confidence...
Ila Mpk now niko nakula utawala na Per diem every week
@wizy hizi infor zilitupita wapi?
 
Kwenye matokeo ya written interview kwny zile maksi nilikuwa watano au sita aliongoza alipata 90 aliofatia 70 na kitu kabla hatuingia kwenye inteview yeye ndo alikuwa kama kivutuio au talk of the town Cha ajabu hakupita


Jambo lingine nilichoona watu wengi hawana confidence ukiweza kuwa na confidence una pita maana nilishangaa watu wanaulizana utatumia lugha gani


Ukiingia interview na ukaulizwa swali unalifahamu kiundani libute haswa usijibu Kwa point za notes tu toa na mifano hai wewe uwe kama ndo unawafundisha au kuwaelezea jambo ilo.

Niliulizwa maswali sita Kuna swali moja nilikosea point muuliza swali aliona nimechaganya madesa likarudiwa ikabidii niulizwe tena nikalijibu

Na Kila swali ilikuwa litaka point 5 so nilichokuwa nafanya nataja point na mifano hai mitano ya kueendana na izo point. Hii nahisi ilinisaidia kuulizwa swali mara ya pili nilipokosea.


Baada hapo nikambiwa niwahoji nao swali nikawambia wanipe maoni ya jinsi nilivyojibu Kuna jamaa akasema iyo ni part ya interview hawawezi nijibu.

Yule mwenyekiti wao wa panel alikuwa mmama akaniambia "You have a bright future ahead"


Baada ya kutoka nilijaribu kuwahoji wenzangu kama walipewa comment yoyote na panel wakasema hamna nikajua tu nishatoboa
Kwa hiyo kwa sasa unaogelea kwenye pipa la Asali?
 
Back
Top Bottom