Usaili wa Utumishi: Kipi kilikufanya ufaulu au ulikosea wapi?

Usaili wa Utumishi: Kipi kilikufanya ufaulu au ulikosea wapi?

Best advice nlipewa before oral ni fanya mazoezi ya kuzungumza hata mbele ya kioo spent 2 days doing just that niko moja ya taasisi hot through my first trial, confidence ndo kila kitu.
Safi mkuu...je ulipata maswali yote?
 
Nenda youtube search "Commonly asked interview questions" sikiliza namna ya kuyajibu.
Practice wewe mwenyewe mara kwa mara you'll be fine.
Unaweza kuingia chaka kwa ku google be careful.Sikiliza vizuri swali linataka ujieleze vitu gani.Umeambiwa tupe historia ya maisha yako ikiwa ni pamoja na shule na uzoefu wa fani.Unasema mimi ni highly motivated person,organised and I hold bachelors degree.After completed bachelor( broken eng hiyo) am just at home.Thank you.Haa unataka marks hapo?? Hapo umefanya makosa yafuatayo:
1.Nani amekuuliza wewe una caliber zipi?
2.Yaani ulivyozaliwa tu ukaenda kusoma bachelor, huko kwingine ulikopita hakuhusiki na historia ya shule?
3.Hlf uko nyumbani tu umekaa! Hufanyi hata vishughuli vidogo vidogo...umekaa tu?
Hivyo usikariri google sikiliza swali
 
Unaweza kuingia chaka kwa ku google be careful.Sikiliza vizuri swali linataka ujieleze vitu gani.Umeambiwa tupe historia ya maisha yako ikiwa ni pamoja na shule na uzoefu wa fani.Unasema mimi ni highly motivated person,organised and I hold bachelors degree.After completed bachelor( broken eng hiyo) am just at home.Thank you.Haa unataka marks hapo?? Hapo umefanya makosa yafuatayo:
1.Nani amekuuliza wewe una caliber zipi?
2.Yaani ulivyozaliwa tu ukaenda kusoma bachelor, huko kwingine ulikopita hakuhusiki na historia ya shule?
3.Hlf uko nyumbani tu umekaa! Hufanyi hata vishughuli vidogo vidogo...umekaa tu?
Hivyo usikariri google sikiliza swali
Hii ni kwa ajili ya practice ndugu. Kwani youtube ndio wanajua maswali atakayoulizwa. "Commonly asked.......
 
Nyoya la kuku mweusi, Kitambaa cheusi chukua uzi Mwekundu zungushia ndani ya hicho kitambaa weka mfukoni kisha nenda Interview. Hii ndiyo siri yangu kutoboa
😀😂😂😂kumbe kamati ya ufundi muhimu umetisha mkuu next interview ntakuwa fully namimi
 
Kwangu jambo gumu kwenye interview ni kuchoma nauli, nitoke huku umakondeni hadi Dodoma, alaf nafasi ni moja huku wanaofanyiwa interview wanakaribia mia, basi hapo nakata tamaa kabisa hata kuomba kazi yenyewe
 
Kwangu jambo gumu kwenye interview ni kuchoma nauli, nitoke huku umakondeni hadi Dodoma, alaf nafasi ni moja huku wanaofanyiwa interview wanakaribia mia, basi hapo nakata tamaa kabisa hata kuomba kazi yenyewe
Unaijua kanzidata? Ungejua usingeshangaa kwanini nafasi moja wafanya usaili wengi.Wala hutakiwi kuogopa bali kujitosa
 
Sorry,nje ya mada hivi hawa utumishi kwenye web yao ili profile ifike at least 70% kuna siri gani ingine?
Maana unaweza jaza fields zote na bado profile inasoma 60% hivi ... nini cha kuzingatia kingine?
 
Naumia sana Hadi Leo hii sipo kwenye kanzidata, Ila hebu nisubiri sajili zijazo
 
Safi mkuu...je ulipata maswali yote?
Kwani kwenye hiyo oral huwa wanatoa matokeo na kumjuza mtu kuwa amepata maswali mangapi au huwa wanawapangia tu vituo vya kazi wale waliofaulu??

Kujua kuwa umepata maswali yote au la ni ngumu unless wawe wanatoa matokeo na kuweka Alama za kila swali.
 
Back
Top Bottom