Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Zamani written ilikuwa ya nusu saa?Nikifikira 30 minutes maswali 5 kwa written na ukongwe huu, acha niendelee kukomaa na private sector [emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zamani written ilikuwa ya nusu saa?Nikifikira 30 minutes maswali 5 kwa written na ukongwe huu, acha niendelee kukomaa na private sector [emoji16]
Ulipiga interview nyingine na ukafanikiwa?Daah! huu uzi umenifungua sana hope next time nitafanya vizuri
Mnaogelea kwenye pipa la Asali na hamsemi..Best advice nlipewa before oral ni fanya mazoezi ya kuzungumza hata mbele ya kioo spent 2 days doing just that niko moja ya taasisi hot through my first trial, confidence ndo kila kitu.
Jamaa hayupo tena kwenye uzi wetu wa ma jobless huenda yupo kwenye grid ya taifa ya kulamba asali.Ulipiga interview nyingine na ukafanikiwa?
Kumbe uliwahi kukomenti hapa na hausemi, huu uzi ungekuwa mbali sana kama tungeuchangamsha maana maudhui yake ndio haya tuliyokuwa tunayatakaKwangu jambo gumu kwenye interview ni kuchoma nauli, nitoke huku umakondeni hadi Dodoma, alaf nafasi ni moja huku wanaofanyiwa interview wanakaribia mia, basi hapo nakata tamaa kabisa hata kuomba kazi yenyewe
Wengi waliokomenti humu isipokuwa Ahmet watakuwa wanaogelea kwenye Stigla joji ya Asali, ndio maana hawakurudi kuendeleza uzi.Jamaa hayupo tena kwenye uzi wetu wa ma jobless huenda yupo kwenye grid ya taifa ya kulamba asali.
Sina ukongwe hui brother ila ni muda tu umepita toka niingie classZamani written ilikuwa ya nusu saa?
😂😂😂😂Hahhhh watu wana roho ngumu sana huwa nakaa nakumbuka threads zangu humu watu walivyonipopoa daaah sinaga hamu kabisaHalafu umechill tu mkuu, hautupi miongozo ya kufaulu
😂😂😂😂😂infor za maana sana hizi aseeh@wizy hizi infor zilitupita wapi?
😂😂😂😂😂Hahhhhh watu wapo kimya jobless hathaminiki kabisaMnaogelea kwenye pipa la Asali na hamsemi..
Hongera mkuu..
Huu uzi ungesaidia sana watu kama ungeendelezwa aseehWengi waliokomenti humu isipokuwa Ahmet watakuwa wanaogelea kwenye Stigla joji ya Asali, ndio maana hawakurudi kuendeleza uzi.
Nimemuona jamaa aliyekuwa anaitwa Shombe la Kisomali, aliwahi kukomenti humu, mwisho wa siku alibadili ID na kutoweka.
Huu uzi ulikuwa mzuri sana ila ulikosa wachangiaji baada ya wahusika wengi kulamba Asali
😂😂😂😂Acha watu tumehangaika sana humu jfKumbe uliwahi kukomenti hapa na hausemi, huu uzi ungekuwa mbali sana kama tungeuchangamsha maana maudhui yake ndio haya tuliyokuwa tunayataka
Kweli Kaka nawewe ni mmoja wapo😂😂😂Watu wapo wanaogelea tu kwenye simtank la asali
Shombe la kisomali alikua analilia ajira za kilimo na sheria.Wengi waliokomenti humu isipokuwa Ahmet watakuwa wanaogelea kwenye Stigla joji ya Asali, ndio maana hawakurudi kuendeleza uzi.
Nimemuona jamaa aliyekuwa anaitwa Shombe la Kisomali, aliwahi kukomenti humu, mwisho wa siku alibadili ID na kutoweka.
Huu uzi ulikuwa mzuri sana ila ulikosa wachangiaji baada ya wahusika wengi kulamba Asali
Omba MunguDaah! huu uzi umenifungua sana hope next time nitafanya vizuri
Speed is direct proportional to understandingSpeed wakuu, speed.. interview ya juzi TRA nmepata 43 nafkr ndio majib nljb mengne sikumaoza