Usaili wa Utumishi: Kipi kilikufanya ufaulu au ulikosea wapi?

Usaili wa Utumishi: Kipi kilikufanya ufaulu au ulikosea wapi?

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Nisikia wengine wanasema zimebadilika leo au tuwaimbie baba jeni bye bye
Huyo nazani mb zake Zilikuwa zinazingua tu nahisi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ status ya database hii sahv maombi kwa sana tupate NAFASI ya mrija wa asali tu๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Huyo nazani mb zake Zilikuwa zinazingua tu nahisi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ status ya database hii sahv maombi kwa sana tupate NAFASI ya mrija wa asali tu๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Hahhh mzee uhakika
 
Habari

Nini kilikusaidia kufaulu usaili wa ana kwa ana (oral) au ulikosea wapi?

Naomba tushare expirience wakuu.
Ilikua mwez WA9 mwishoni Dar, DUCE asubuhi niliwahi mapemaa kufanya usahili TAASISI YA MOYO YA KIKWETE "JKCI"
Basi tukapewa maelekezo Fulani hivi, me ni mtaalam wa MAABARA so tukaambiwa lab tufanya written mwishoni,
Mda ulipowadia tupanga mstari Kwa ajil ya kukaguliwa vyeti ikiwemo leseni, pamoja na kitambulisho.

Nlipogikiwa akakagua cheti vipo safi kitambulisho Cha mpiga kura nkawa nimesahau hom na nlitoka kwetu KAHAMA,
Baas nkambiwa nikae pembeni kidg wenye sifa kama yangu tulikua weng kama 17 hiv, wengne hawana cheti Cha kizaliwa.
Tukaamdika majina yetu na sababu zilizofanya tusifanye mtihani,
Msimamizi mkuu hakutupa nafasi hata ya kujieleza mm nlibaki Hadi mwisho kusubir kama ntapew nafasi Ile ya kufanya pepa, awaaapi .
Aliniambia kua SI pekeako tu ulotika mbali na mtihani huanzia hatua hzo, nilijieleza sana hakunielewa,
Mhhhh iliniuma saan kuchoma nauli yangu toka KAHAMA had dar alafu nirud niendelee na ishu zangu na ilikua ndo Interview ya kwanza ya Ajira portal.

Kwa sasa Sina mood na hizo Saili mana naona kama ni michongo tu na wanakuja na visababu vdogovdgo Ili kupunguza idadi na hufanya KAZI kwa hisia,
Real example nikwamba msimamizi wakati anatupiga Burn turudi hom, mdada mmoja akamuuliza mbona pindi Pharmacy wanafanya usaili mbona aliwaruhusu watu waliokosa vitambulisho na Card za kupigia kura. Msimamizi akajibu "' Tusimfundishe kazii'"
PORTAL WAWE NA UBINADUMU NA WASIFANYE KAZI KWA HISIA
 
Habari

Nini kilikusaidia kufaulu usaili wa ana kwa ana (oral) au ulikosea wapi?

Naomba tushare expirience wakuu.
Ilikua mwez WA9 mwishoni Dar, DUCE asubuhi niliwahi mapemaa kufanya usahili TAASISI YA MOYO YA KIKWETE "JKCI"
Basi tukapewa maelekezo Fulani hivi, me ni mtaalam wa MAABARA so tukaambiwa lab tufanya written mwishoni,
Mda ulipowadia tupanga mstari Kwa ajil ya kukaguliwa vyeti ikiwemo leseni, pamoja na kitambulisho.

Nlipogikiwa akakagua cheti vipo safi kitambulisho Cha mpiga kura nkawa nimesahau hom na nlitoka kwetu KAHAMA,
Baas nkambiwa nikae pembeni kidg wenye sifa kama yangu tulikua weng kama 17 hiv, wengne hawana cheti Cha kizaliwa.
Tukaamdika majina yetu na sababu zilizofanya tusifanye mtihani,
Msimamizi mkuu hakutupa nafasi hata ya kujieleza mm nlibaki Hadi mwisho kusubir kama ntapew nafasi Ile ya kufanya pepa, awaaapi .
Aliniambia kua SI pekeako tu ulotika mbali na mtihani huanzia hatua hzo, nilijieleza sana hakunielewa,
Mhhhh iliniuma saan kuchoma nauli yangu toka KAHAMA had dar alafu nirud niendelee na ishu zangu na ilikua ndo Interview ya kwanza ya Ajira portal.

Kwa sasa Sina mood na hizo Saili mana naona kama ni michongo tu na wanakuja na visababu vdogovdgo Ili kupunguza idadi na hufanya KAZI kwa hisia,
Real example nikwamba msimamizi wakati anatupiga Burn turudi hom, mdada mmoja akamuuliza mbona pindi Pharmacy wanafanya usaili mbona aliwaruhusu watu waliokosa vitambulisho na Card za kupigia kura. Msimamizi akajibu "' Tusimfundishe kazii'"
PORTAL WAWE NA UBINADUMU NA WASIFANYE KAZI KWA HISIA
 
Sasa akifeli kwenye oral sianaachwa tu?
Hawa ndio majobless ambao kweny oral baada ya kupambana kutoboa ,au angalau ikishindikana aingie kweny kanzidata...ss kweny oral ,ka ulikandwa badala ya kuwakanda anategemea atoboe kizembe ....siku ukikutana na maswali ya wakandaji yamekulenga na unajibu kwa confidence ka yote points zako tano tano ,,,si umetoboa lkn unachengana na maswali mawili au matatu kweny kujibu kutoboa ni asilimia chache sana aisee...
 
Hapo nafikiri anaongelea kwenye written maana oral marks hazijulikani
Kabisa atakuwa anaongelea written results...kumbe oral ipo kivingne kabisa wale waliofaulu kikawaida written Halaf alijiandaa na oral ,, kweny oral akafanikiwa kuchomoa karibia maswali yote lazima atoboe kiulaini
 
Sas
Ilikua mwez WA9 mwishoni Dar, DUCE asubuhi niliwahi mapemaa kufanya usahili TAASISI YA MOYO YA KIKWETE "JKCI"
Basi tukapewa maelekezo Fulani hivi, me ni mtaalam wa MAABARA so tukaambiwa lab tufanya written mwishoni,
Mda ulipowadia tupanga mstari Kwa ajil ya kukaguliwa vyeti ikiwemo leseni, pamoja na kitambulisho.

Nlipogikiwa akakagua cheti vipo safi kitambulisho Cha mpiga kura nkawa nimesahau hom na nlitoka kwetu KAHAMA,
Baas nkambiwa nikae pembeni kidg wenye sifa kama yangu tulikua weng kama 17 hiv, wengne hawana cheti Cha kizaliwa.
Tukaamdika majina yetu na sababu zilizofanya tusifanye mtihani,
Msimamizi mkuu hakutupa nafasi hata ya kujieleza mm nlibaki Hadi mwisho kusubir kama ntapew nafasi Ile ya kufanya pepa, awaaapi .
Aliniambia kua SI pekeako tu ulotika mbali na mtihani huanzia hatua hzo, nilijieleza sana hakunielewa,
Mhhhh iliniuma saan kuchoma nauli yangu toka KAHAMA had dar alafu nirud niendelee na ishu zangu na ilikua ndo Interview ya kwanza ya Ajira portal.

Kwa sasa Sina mood na hizo Saili mana naona kama ni michongo tu na wanakuja na visababu vdogovdgo Ili kupunguza idadi na hufanya KAZI kwa hisia,
Real example nikwamba msimamizi wakati anatupiga Burn turudi hom, mdada mmoja akamuuliza mbona pindi Pharmacy wanafanya usaili mbona aliwaruhusu watu waliokosa vitambulisho na Card za kupigia kura. Msimamizi akajibu "' Tusimfundishe kazii'"
PORTAL WAWE NA UBINADUMU NA WASIFANYE KAZI KWA

Ilikua mwez WA9 mwishoni Dar, DUCE asubuhi niliwahi mapemaa kufanya usahili TAASISI YA MOYO YA KIKWETE "JKCI"
Basi tukapewa maelekezo Fulani hivi, me ni mtaalam wa MAABARA so tukaambiwa lab tufanya written mwishoni,
Mda ulipowadia tupanga mstari Kwa ajil ya kukaguliwa vyeti ikiwemo leseni, pamoja na kitambulisho.

Nlipogikiwa akakagua cheti vipo safi kitambulisho Cha mpiga kura nkawa nimesahau hom na nlitoka kwetu KAHAMA,
Baas nkambiwa nikae pembeni kidg wenye sifa kama yangu tulikua weng kama 17 hiv, wengne hawana cheti Cha kizaliwa.
Tukaamdika majina yetu na sababu zilizofanya tusifanye mtihani,
Msimamizi mkuu hakutupa nafasi hata ya kujieleza mm nlibaki Hadi mwisho kusubir kama ntapew nafasi Ile ya kufanya pepa, awaaapi .
Aliniambia kua SI pekeako tu ulotika mbali na mtihani huanzia hatua hzo, nilijieleza sana hakunielewa,
Mhhhh iliniuma saan kuchoma nauli yangu toka KAHAMA had dar alafu nirud niendelee na ishu zangu na ilikua ndo Interview ya kwanza ya Ajira portal.

Kwa sasa Sina mood na hizo Saili mana naona kama ni michongo tu na wanakuja na visababu vdogovdgo Ili kupunguza idadi na hufanya KAZI kwa hisia,
Real example nikwamba msimamizi wakati anatupiga Burn turudi hom, mdada mmoja akamuuliza mbona pindi Pharmacy wanafanya usaili mbona aliwaruhusu watu waliokosa vitambulisho na Card za kupigia kura. Msimamizi akajibu "' Tusimfundishe kazii'"
PORTAL WAWE NA UBINADUMU NA WASIFANYE KAZI KWA HISIA


Acha aww lawama , uache kitambulisho alafu unasema za mchongo
 
Ilikua mwez WA9 mwishoni Dar, DUCE asubuhi niliwahi mapemaa kufanya usahili TAASISI YA MOYO YA KIKWETE "JKCI"
Basi tukapewa maelekezo Fulani hivi, me ni mtaalam wa MAABARA so tukaambiwa lab tufanya written mwishoni,
Mda ulipowadia tupanga mstari Kwa ajil ya kukaguliwa vyeti ikiwemo leseni, pamoja na kitambulisho.

Nlipogikiwa akakagua cheti vipo safi kitambulisho Cha mpiga kura nkawa nimesahau hom na nlitoka kwetu KAHAMA,
Baas nkambiwa nikae pembeni kidg wenye sifa kama yangu tulikua weng kama 17 hiv, wengne hawana cheti Cha kizaliwa.
Tukaamdika majina yetu na sababu zilizofanya tusifanye mtihani,
Msimamizi mkuu hakutupa nafasi hata ya kujieleza mm nlibaki Hadi mwisho kusubir kama ntapew nafasi Ile ya kufanya pepa, awaaapi .
Aliniambia kua SI pekeako tu ulotika mbali na mtihani huanzia hatua hzo, nilijieleza sana hakunielewa,
Mhhhh iliniuma saan kuchoma nauli yangu toka KAHAMA had dar alafu nirud niendelee na ishu zangu na ilikua ndo Interview ya kwanza ya Ajira portal.

Kwa sasa Sina mood na hizo Saili mana naona kama ni michongo tu na wanakuja na visababu vdogovdgo Ili kupunguza idadi na hufanya KAZI kwa hisia,
Real example nikwamba msimamizi wakati anatupiga Burn turudi hom, mdada mmoja akamuuliza mbona pindi Pharmacy wanafanya usaili mbona aliwaruhusu watu waliokosa vitambulisho na Card za kupigia kura. Msimamizi akajibu "' Tusimfundishe kazii'"
PORTAL WAWE NA UBINADUMU NA WASIFANYE KAZI KWA HISIA
Mkuu pole sana.

Binafsi hapo siwezi kukutetea maana hilo ni kosa mojawapo miongoni mwa makosa ambayo yalikukwamisha.

Tangazo la kuitwa usahili liliweka bayana vitu vinavyohitajika na endapo ungekosa kimojawapo ungedisqualify(kama ilivyokutokea).

Kitambulisho, cheti cha kuzaliwa, vyeti vingine ni lazima majina yako yote yafanane. sasa kama ulisahau kitambulisho wangekuamini vipi kuwa jina lako liko sawa pande zote?
 
Mkuu pole sana.

Binafsi hapo siwezi kukutetea maana hilo ni kosa mojawapo miongoni mwa makosa ambayo yalikukwamisha.

Tangazo la kuitwa usahili liliweka bayana vitu vinavyohitajika na endapo ungekosa kimojawapo ungedisqualify(kama ilivyokutokea).

Kitambulisho, cheti cha kuzaliwa, vyeti vingine ni lazima majina yako yote yafanane. sasa kama ulisahau kitambulisho wangekuamini vipi kuwa jina lako liko sawa pande zote?
Sikulaumu sana ila nacho shauri waache hisia, mana Kuna walio pata nafasi izoo na haliyakua hawakua na vitambulisho Wala cheti Cha kizaliwa, nibora tungenyimwa wote nafasi hio.
 
Sas





Acha aww lawama , uache kitambulisho alafu unasema za mchongo
Umesoma lkn maelezo vzr, sijawahi laumu hatua yyte nayopitia.

Kubali ukatae mifumo ya Ajira bongo imekaa ki kukatisha tamaa hv,

Ila nikwamba hisia kazini hazifai maana wapo walopewa nafasi japokua hawakua na vitambulisho,

Kwangu mm nliichukulia kama Hali kawaida ila iliniboa kuona wapo waliopewa nafasi hio.
 
Upate 95 alafu uje uzingue oral ?? [emoji849][emoji849]
Bro haumini kuzingua oral?? Sasa oral ukikandwa na maswali ambayo ukutegemea kukutananayo hukashindwa kujibu si imekula kwako ,,,kutoboa ni maandalizi na maswali uliyotegemea kukutanayo yakawa karibia hayo hayo ,na ulijiandaa nayo si unatilika mpka wanaisi unajua kweli
 
Back
Top Bottom