tahan96
Member
- Apr 29, 2014
- 86
- 104
Nadhani kujiamini na kujibu kwa ufasaha maswali ndo dhana kuu, na yote haya yanakuja kwa maandalizi bora kabla ya interview.
Mara nyingi maswali ya oral hawaendi nje kabisa ya vitu flani basic vya course yako na vile vya job description kwa hiyo mostly wana try kupima kujiamini kwako, dressing, attitude na body language in general.
So wengi wanao ingia oral kupishana marks ni kidogo sana so kitakacho kupa kazi na kuku tofautisha na mwingine ni vitu kama hivyo nilivyo taja hapo juu.
Did my first interview na nilipata moja kwa moja naamini nili practice vyote nilivyo andika hapo.
Mara nyingi maswali ya oral hawaendi nje kabisa ya vitu flani basic vya course yako na vile vya job description kwa hiyo mostly wana try kupima kujiamini kwako, dressing, attitude na body language in general.
So wengi wanao ingia oral kupishana marks ni kidogo sana so kitakacho kupa kazi na kuku tofautisha na mwingine ni vitu kama hivyo nilivyo taja hapo juu.
Did my first interview na nilipata moja kwa moja naamini nili practice vyote nilivyo andika hapo.