Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amen ahsante mkuuMungu akutangulie
Ulitisha sana mkuu.Kwenye matokeo ya written interview kwny zile maksi nilikuwa watano au sita aliongoza alipata 90 aliofatia 70 na kitu kabla hatuingia kwenye inteview yeye ndo alikuwa kama kivutuio au talk of the town Cha ajabu hakupita
Jambo lingine nilichoona watu wengi hawana confidence ukiweza kuwa na confidence una pita maana nilishangaa watu wanaulizana utatumia lugha gani
Ukiingia interview na ukaulizwa swali unalifahamu kiundani libute haswa usijibu Kwa point za notes tu toa na mifano hai wewe uwe kama ndo unawafundisha au kuwaelezea jambo ilo.
Niliulizwa maswali sita Kuna swali moja nilikosea point muuliza swali aliona nimechaganya madesa likarudiwa ikabidii niulizwe tena nikalijibu
Na Kila swali ilikuwa litaka point 5 so nilichokuwa nafanya nataja point na mifano hai mitano ya kueendana na izo point. Hii nahisi ilinisaidia kuulizwa swali mara ya pili nilipokosea.
Baada hapo nikambiwa niwahoji nao swali nikawambia wanipe maoni ya jinsi nilivyojibu Kuna jamaa akasema iyo ni part ya interview hawawezi nijibu.
Yule mwenyekiti wao wa panel alikuwa mmama akaniambia "You have a bright future ahead"
Baada ya kutoka nilijaribu kuwahoji wenzangu kama walipewa comment yoyote na panel wakasema hamna nikajua tu nishatoboa
Hilo nyoya la kuku ndiyo litakalojibu maswali? 😂😂😂Nyoya la kuku mweusi, Kitambaa cheusi chukua uzi Mwekundu zungushia ndani ya hicho kitambaa weka mfukoni kisha nenda Interview. Hii ndiyo siri yangu kutoboa
Written Interview nilipata 76% na Oral sijajua nilipata maksi ngapi zaidi ya kupata kazi na nilikuwa najibu maswali huku najiamini na nilikuwa siachi swali linipite au nibabaike kujibu hivyo nikawa najibu kweli na interview pannel ilikuwa na watu wa5 na kila mmoja aliuliza maswali mawiliUlipata maswali yote mkuu?
Mkuu umetoa madini sensitive sana Mungu akubariki kwa kutokuwa mchoyo.Kwenye matokeo ya written interview kwny zile maksi nilikuwa watano au sita aliongoza alipata 90 aliofatia 70 na kitu kabla hatuingia kwenye inteview yeye ndo alikuwa kama kivutuio au talk of the town Cha ajabu hakupita
Jambo lingine nilichoona watu wengi hawana confidence ukiweza kuwa na confidence una pita maana nilishangaa watu wanaulizana utatumia lugha gani
Ukiingia interview na ukaulizwa swali unalifahamu kiundani libute haswa usijibu Kwa point za notes tu toa na mifano hai wewe uwe kama ndo unawafundisha au kuwaelezea jambo ilo.
Niliulizwa maswali sita Kuna swali moja nilikosea point muuliza swali aliona nimechaganya madesa likarudiwa ikabidii niulizwe tena nikalijibu
Na Kila swali ilikuwa litaka point 5 so nilichokuwa nafanya nataja point na mifano hai mitano ya kueendana na izo point. Hii nahisi ilinisaidia kuulizwa swali mara ya pili nilipokosea.
Baada hapo nikambiwa niwahoji nao swali nikawambia wanipe maoni ya jinsi nilivyojibu Kuna jamaa akasema iyo ni part ya interview hawawezi nijibu.
Yule mwenyekiti wao wa panel alikuwa mmama akaniambia "You have a bright future ahead"
Baada ya kutoka nilijaribu kuwahoji wenzangu kama walipewa comment yoyote na panel wakasema hamna nikajua tu nishatoboa
Docummrnt gani hii kiongozi? Unaweza ukaiattach hapa kwa faida ya wadau kiujumla naona ina info za msingi sana.
Hahah kabisa hawataki OP nilifanyaga moja kukawa kuna scenario kama hiyo.Nimeshawahi kuhudhuria interview wakikuuliza swali ukienda OP wanakwambia usikilize tna swali yani kwa kifupi hawataki uendelee kujibu utumbo ukishindwa kabisa wanaskip
Hii hapa mkuuView attachment 20211905480700GN 326 Kanuni za Uendeshaji Shughuli za Sekretarieti ya Ajira,2021.pdfDocummrnt gani hii kiongozi? Unaweza ukaiattach hapa kwa faida ya wadau kiujumla naona ina info za msingi sana.
Shukrani mkuu.Hii hapa mkuuView attachment 2165143
Ww mzee wa Mambo ya asiliNyoya la kuku mweusi, Kitambaa cheusi chukua uzi Mwekundu zungushia ndani ya hicho kitambaa weka mfukoni kisha nenda Interview. Hii ndiyo siri yangu kutoboa
Point yako nitaithamini na kuifanyia kaziYaani bora ata utunge jibu kuliko kutokujibu kabisaaa...
Ukishindwa yaani ile kabisaaa... umeshindwa kabisa jiongeza, waombe ulijibu baadae.
Kuna mtu aliitwa kazini kasema yeye aliambiwa kabisa kua alichuana marks na mwingine. Sema kilichomfanya yule mwingine wamuache kuna swali hakujibu kabisa akabaki tu anawaangalia panel.Point yako nitaithamini na kuifanyia kazi