Naomba sample ya maswaliUlikua poa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba sample ya maswaliUlikua poa
Ww kada gani?Naomba sample ya maswali
Accounts officer kesho niko kikaangoniWw kada gani?
Tell us bwt yoselfAccounts officer kesho niko kikaangoni
Asantee sanaTell us bwt yoself
Challenges of account officer
Yaliyobaki ya darasan
All the bestAsantee sana
Na vipi ni just unamention au ni deep explanationTell us bwt yoself
Challenges of account officer
Yaliyobaki ya darasan
Thank you so much!!All the best
MentionNa vipi ni just unamention au ni deep explanation
Ouh! Sawa sawaMention
Inabidi uzi uchangamke huuTutauchangamsha na huu uzi.
Mzee wewe ulisoma vema kanuni zile, hivi wameelezea kweli composition ya panel inavyokua katika oral?Inabidi uzi uchangamke huu
Sijui mkuuMzee wewe ulisoma vema kanuni zile, hivi wameelezea kweli composition ya panel inavyokua katika oral?
Kuna tukio nilikutana nalo katika oral, nimepata shauku ya kufaham composition ya panel hawa watu.Sijui mkuu
Ina maana ulirudi tena kwa wasailiwa wenzio.. Na unaamini kweli walikuona wakati unaongea nae huyo mwenzio .?Niliitwa oral ya Tutorial Assistant, nilikuwa na content nzuri na confidence stahiki,
Nilijibu maswali bila shaka yoyote.
Ila makosa nayoyakumbuka;
1) Nilifanya presentation nikiwa nimekaa kwenye kiti (kosa la kwanza),
2) Nilienda kuongea na msailiwa mwingine ambaye bado hajaingia kukandwa wakati mimi nimetoka kusailiwa muda huo (nahisi ni kosa la pili).
Ile kazi sikupata.
Nilipoitwa usaili wa pili, nikasahihisha makosa ya awali, na kisha nikapata kazi ya ukufunzi katika chuo cha elimu ya kati.
ukichangamka huu utawapa watu madini mengi sanaa.Inabidi uzi uchangamke huu
big up kwa kuappriciate jamaa katoa madini kuntu sana hongera kwakeMkuu umetoa madini sensitive sana Mungu akubariki kwa kutokuwa mchoyo.
Ndio, nilirudi pale walipo wenzangu ili nichukue mawasiliano ya mmoja wetu kama ujuavyo harakati za wasaka mirija ya asali.Ina maana ulirudi tena kwa wasailiwa wenzio.. Na unaamini kweli walikuona wakati unaongea nae huyo mwenzio .?