mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Simba ni timu bora Sana afrika hii, inawachezaji wengi wazuri sana linapokuja swala la usaji tunajiuliza aje nani na aondoke nani?
Wa kimataifa wapo 11 ukiachana na Kahata, je nani ataondoka kati yao?
1. Medie kagere
2. Mugalu
3. Bwalya
4. Chama
5. Miquesone
6. Morrison
7. Tadeo Lwanga
8. Fraga veira
9. Wawa
10. Onyango
11. Chikwende
Je, ungependa nani aondoke kati yao?
Wazawa waliopo hatarini
1. Ally Salim
2. Ajib
3. Miraji
4. Gardiel
5. Mkude
6. Ndemla
7. Duchu
8. Kakolanya
9. Rashid juma
Nani aondoke nani aje
Wa kimataifa wapo 11 ukiachana na Kahata, je nani ataondoka kati yao?
1. Medie kagere
2. Mugalu
3. Bwalya
4. Chama
5. Miquesone
6. Morrison
7. Tadeo Lwanga
8. Fraga veira
9. Wawa
10. Onyango
11. Chikwende
Je, ungependa nani aondoke kati yao?
Wazawa waliopo hatarini
1. Ally Salim
2. Ajib
3. Miraji
4. Gardiel
5. Mkude
6. Ndemla
7. Duchu
8. Kakolanya
9. Rashid juma
Nani aondoke nani aje