Usajili Simba kuelekea 2021/2022 nani aondoke na nani aje?

Usajili Simba kuelekea 2021/2022 nani aondoke na nani aje?

Mleta uzi kwanza rekebisha listi yako ya wachezaji wa kigeni kwa kumuondoa Fraga hapo. Huyo alishamalizana na Simba kwa makubaliano kuwa aende kwao kujitibu goti na kama mambo yataenda vizuri watakaa mezani upya kwani waliachana kwa upendo mkubwa sana. Kwa hiyo mpaka sasa wachezaji wa kigeni waliopo Simba ni 10 tu na si vinginevyo.

Kwa mtizamo wangu ningekuwa nimepewa nafasi ya kuishauri Simba kwenye usajili wa wachezaji wa kigeni ningemuondoa Chikwende na Kagere. Nafasi ya Chikwende ningempa Moses Bwalya na ya Kagere achukue Walter Bwalya kama Simba watakuwa na mpunga wa kuwalipa Al Haly. Ikishindikana basi wamtafute mwamba mmoja anaitwa Idris Mbombo ila pia wajiandae kulipa pesa ndefu. Kwa mabeki wa kati wamuondoe Wawa kwa masharti tu iwapo watapata beki zaidi yake.

Kwa wachezaji wa ndani ningeshauri Cleophas Mukandala achukue nafasi ya Ajibu na ya Mkude ijazwe na kiungo mmoja hivi (jina nimemsahau) yupo Kagera Sugar. Kwa mabeki wa pembeni baada ya kumkosa Manyama (kwa uzembe tu kwani wangeweza msainisha tangu mwezi mei) ningeshauri tu Gadiel Michael ampishe David Luhende.
David Luhende huyu anamalizia career yake?
 
Dickson ambundo ni bora kuliko Miraji na Ajibu both combined

Juma nyangi mpambanaji anauwezo kuzidi mzamiru . Na ndemla kwa pamoja


Deogratus judika Backup ya chama ni bora kuliko Dilunga.

Islael patrick mwenda atakuja kucheza kapombe hana mda mrefu Duchu ni midiocore player



Striker wauze kagere na Mugaru waaangalie mshambuliaji mzuri sio kwa mwonekano kwa uchwzaji
 
David Luhende huyu anamalizia career yake?
Kwa upande wangu naona Luhende ndiye beki pekee wa pembeni kwenye ligi yetu ukimuacha Manyama ambaye anaweza kumpa changamoto Mohamed Husein. Isitoshe Simba wanaweza kumpa mkataba mfupi wa mwaka mmoja wakati wanaendele kutafuta mtu wa kusaidiana na Mohamed Hussein. Vinginevyo wamsamjili beki wa kati wa Biashara United Mangalo halafu wambadilishe acheze mbavu zote mbili kushoto na kulia kusaidiana na Mohamed Husein na Kapombe.
 
Simba ni timu bora Sana afrika hii, inawachezaji wengi wazuri sana linapokuja swala la usaji tunajiuliza aje nani na aondoke nani?

Wa kimataifa wapo 11 ukiachana na Kahata, je nani ataondoka kati yao?

1. Medie kagere
2. Mugalu
3. Bwalya
4. Chama
5. Miquesone
6. Morrison
7. Tadeo Lwanga
8. Fraga veira
9. Wawa
10. Onyango
11. Chikwende
Je, ungependa nani aondoke kati yao?

Wazawa waliopo hatarini
1. Ally Salim
2. Ajib
3. Miraji
4. Gardiel
5. Mkude
6. Ndemla
7. Duchu
8. Kakolanya
9. Rashid juma

Nani aondoke nani aje
Nani aondoke Simba na nani Abaki.

1. Kwenye goalkeeping hatuna sababu ya kumuondoa golikipa yoyote kwa sababu wote wanaonekana kufanya vizuri sana ukilinganisha na magolikipa waliopo ligi kuu.

2. Kwenye fullbacks sioni kama kuna hitaji la kufanya mabadiliko upande wa kulia kwani Kapombe na Duchu viwango vyao bado viko vizuri hasa ukizingatia Duchu bado ana muda mrefu zaidi wa kuwepo kikosini ndiyo kwanza ana 20 years.

Upande wa kushoto Gadiel Michael must go ameshindwa kumpa ushindi Mohamed Hussein na anapopewa nafasi hana maajabu yoyote lakini ndani ya Ligi tena sioni beki mzuri wa kufanya replacement ya Gadiel baada ya Manyama kwenda Azam.

Kwenye Central Defence tunawachezaji wazawa watatu na wa kigeni wawili kwangu mimi nafikri tunapaswa kujiandaa na maisha yetu bila Wawa na pendekezo langu ni
1. Adrian Chama wa Zesco

2. Mohamed Quattara wa Al Hilal Omdurman

3. Captain Salomon Emilie Bindjeme Banga wa Cotton Sports ya Cameroon.

Wazawa tuendelee kuwa nao kwani Kennedy anafanya vizuri back up plan Ibrahim yuko vizuri pia Nyoni muda unaelekea ukingoni hivyo hata akipewa contract kwajili ya kuretain uzoefu kikosini sioni shida.

Kwenye Midfield hapa ndiyo tunapaswa kufanya mabadiliko kadhaa.
Tuachane na Said Ndemla, tumsajili Cleophace Mukandala, tunapaswa kuandaa backbone mpya ya Defence midfield yetu ya muda mrefu hatuwezi kumtegemea Lwanga au Nyoni kwa muda mrefu kwani hawa umri umeenda na Lwanga ni mchezaji wa kigeni muda wowote anaondoka tunapaswa kumsajili Kelvin Nahashoni Naftal wa JKT Tanzania kama maandalizi ya backbone yetu huyo mtoto ana potential ya kufika mbali akipata good coaching na kuwa kwenye kikosi Chenye motisha kama Simba huyu ndiyo anafaa kuwa perfect replacement ya kesho kwa Mkude.
Lakini pia wachezaji wetu wengi kwenye midfield ukiondoa Bwalya ni defensive Midfielders tutafute namba nane mzuri atakayekuwa ana uwezo mzuri wa kukaba na kupandisha timu ili Bwalya anapofeli plan B iwepo na huyo kwangu namuona Morlaye Sylla wa Horoya ya Guinea anamaliza mkataba wake msimu huu na ana miaka 21 tu.

Kwenye Safu ya ushambuliaji tuachane na Kagere, Morisson, na probably Chikwende. mbadala wa Kagere tutafute Mshambuliaji anayeweza kucheza kama wing type ya Okwi ili tuwe tunaswitch formation uwanjani kutokana na mahitaji ya mechi.

Kuna wachezaji wazawa ambao kuwaacha haina shida mojawapo ni Miraji Adam.
 
Dickson ambundo ni bora kuliko Miraji na Ajibu both combined

Juma nyangi mpambanaji anauwezo kuzidi mzamiru . Na ndemla kwa pamoja


Deogratus judika Backup ya chama ni bora kuliko Dilunga.

Islael patrick mwenda atakuja kucheza kapombe hana mda mrefu Duchu ni midiocore player



Striker wauze kagere na Mugaru waaangalie mshambuliaji mzuri sio kwa mwonekano kwa uchwzaji
Unataka tusambaratishe kikosi kizima ?
 
Kwa upande wangu naona Luhende ndiye beki pekee wa pembeni kwenye ligi yetu ukimuacha Manyama ambaye anaweza kumpa changamoto Mohamed Husein. Isitoshe Simba wanaweza kumpa mkataba mfupi wa mwaka mmoja wakati wanaendele kutafuta mtu wa kusaidiana na Mohamed Hussein. Vinginevyo wamsamjili beki wa kati wa Biashara United Mangalo halafu wambadilishe acheze mbavu zote mbili kushoto na kulia kusaidiana na Mohamed Husein na Kapombe.
Mangalo ni beki mzuri sana lakini kwenye eneo lake tayari tunawazawa ambao wako vizuri.

Upande wa kushoto katika ligi hakuna beki aliyefanya vizuri sana zaidi ya Manyama hivyo ni bora tuendelee kubuy time kutafuta mchezaji sahihi.
 
Simba ni timu bora Sana afrika hii, inawachezaji wengi wazuri sana linapokuja swala la usaji tunajiuliza aje nani na aondoke nani?

Wa kimataifa wapo 11 ukiachana na Kahata, je nani ataondoka kati yao?

1. Medie kagere
2. Mugalu
3. Bwalya
4. Chama
5. Miquesone
6. Morrison
7. Tadeo Lwanga
8. Fraga veira
9. Wawa
10. Onyango
11. Chikwende
Je, ungependa nani aondoke kati yao?

Wazawa waliopo hatarini
1. Ally Salim
2. Ajib
3. Miraji
4. Gardiel
5. Mkude
6. Ndemla
7. Duchu
8. Kakolanya
9. Rashid juma

Nani aondoke nani aje
Ndemla na miraji juzi juzi tu kocha kawasifia, hawa hawaondoki...shughuli ipobkwa wanaobaki ukitoa duchu na kakolanya...kakolanya alisaini extension nafikiri hivyo unabaki mwaka mmoja. Duchu ni yosso hatuachi yosso kama duchu..
 
Mangalo ni beki mzuri sana lakini kwenye eneo lake tayari tunawazawa ambao wako vizuri.

Upande wa kushoto katika ligi hakuna beki aliyefanya vizuri sana zaidi ya Manyama hivyo ni bora tuendelee kubuy time kutafuta mchezaji sahihi.
Kataa ukubali Mangalo anaweza cheza mbavu zote ya kulia na kushoto bila wasiwasi. Sio vizuri kwa timu kubwa kama Simba ambayo itashiriki mashindano mengi yakiwapo ya kimataifa kwa msimu wote ujao icheze bila kuwa na "back up" ya Kapombe na Mohamed Huseein kwani kuna kadi na majeruhi na Duchu kwanza anaanza "kuclick". Simba washukuru Mungu tu mwaka huu kuwa Kapombe na Mohamed Husein hawakuwa na adhabu wala majeraha ya muda mrefu vinginevyo ingekuwa aibu.
 
Kataa ukubali Mangalo anaweza cheza mbavu zote ya kulia na kushoto bila wasiwasi. Sio vizuri kwa timu kubwa kama Simba ambayo itashiriki mashindano mengi yakiwapo ya kimataifa kwa msimu wote ujao icheze bila kuwa na "back up" ya Kapombe na Mohamed Huseein kwani kuna kadi na majeruhi na Duchu kwanza anaanza "kuclick". Simba washukuru Mungu tu mwaka huu kuwa Kapombe na Mohamed Husein hawakuwa na adhabu wala majeraha ya muda mrefu vinginevyo ingekuwa aibu.
Duchu alifanya vizuri sana mechi za Simba Super Cup anahitaji uzoefu tu ila ni beki mzuri sana.
 
Hii naona wengi mnamponda MK14 ila pengo la kagere ni kubwa sana.Kocha ameweka matumaini kwa Mugalu lakini Mugalu amna kitu pale TUMEPIGWA ni mzuri wa muonekano ila uwanjani amna kitu makosa ni mengi kayafanya icpokua cc bidadam tunasahau na ivyo magoli yake mawili ya juzi Na KMC yamefanya tusahau makosa mengi aliyoyafanya nyuma ata kwa idadi ya magoli japo kagere kwasasa hapewi nafasi kama mugalu lakini wanatofautiana goli 1 tu 12 kwa 11

My take ni kwamba kagere/kifaru apewe nafasi kuna ile combination ya Bocco na kagere aisee msimu 2019/2020 walikiwasha sana[emoji91]
 
Mleta uzi kwanza rekebisha listi yako ya wachezaji wa kigeni kwa kumuondoa Fraga hapo. Huyo alishamalizana na Simba kwa makubaliano kuwa aende kwao kujitibu goti na kama mambo yataenda vizuri watakaa mezani upya kwani waliachana kwa upendo mkubwa sana. Kwa hiyo mpaka sasa wachezaji wa kigeni waliopo Simba ni 10 tu na si vinginevyo.

Kwa mtizamo wangu ningekuwa nimepewa nafasi ya kuishauri Simba kwenye usajili wa wachezaji wa kigeni ningemuondoa Chikwende na Kagere. Nafasi ya Chikwende ningempa Moses Bwalya na ya Kagere achukue Walter Bwalya kama Simba watakuwa na mpunga wa kuwalipa Al Haly. Ikishindikana basi wamtafute mwamba mmoja anaitwa Idris Mbombo ila pia wajiandae kulipa pesa ndefu. Kwa mabeki wa kati wamuondoe Wawa kwa masharti tu iwapo watapata beki zaidi yake.

Kwa wachezaji wa ndani ningeshauri Cleophas Mukandala achukue nafasi ya Ajibu na ya Mkude ijazwe na kiungo mmoja hivi (jina nimemsahau) yupo Kagera Sugar. Kwa mabeki wa pembeni baada ya kumkosa Manyama (kwa uzembe tu kwani wangeweza msainisha tangu mwezi mei) ningeshauri tu Gadiel Michael ampishe David Luhende.
Luhende ni mzee Sana

Kiungo wa kagera unayemsema ni ufuduu?
 
Back
Top Bottom