Usajili wa Aziz Ki umeleta hasara kuliko faida?

Mechi yenu na Mtibwa uliangalia?

Ukiona lile goli lilisababishwa na uzembe wa beki?
Nilitizama zote ya Mtimbwa ,Azam, Tunisia nk, magoli yote yalifungwa kwa mtindo na style moja.

Sasa wakati anapiga mabeki walikuwepo wapi,halafu kwani kipa anacheza peke yake.
 
nimekuelewa sana aisee.
 
Aziz Ki pekee ndio kafunga magoli ya uzembe wa makipa ila wengine wote wamefunga kwa ubora wao?
Nimeonesha hapa hafi screenshot ya Manula akifungwa magoli ya uzembe sijui una uelewa wa namna gani?
 
Nimeonesha hapa hafi screenshot ya Manula akifungwa magoli ya uzembe sijui una uelewa wa namna gani?
Sija ongelea Manula nasema so far amemfunga goli moja tu nmekuuliza wachezaji wengine hawafungi kwa uzembe wa makipa isipokua Aziz Ki tu?
 
Sija ongelea Manula nasema so far amemfunga goli moja tu nmekuuliza wachezaji wengine hawafungi kwa uzembe wa makipa isipokua Aziz Ki tu?
Kwani niliposema Manula ulishindwa kuelewa kuwa mfungaji wa hilo bao alifunga kutokana na uzembe wa kipa?
 
Mabingwa wa afya ya uke wa mama yako mzazi?
 
Watasema ulikuwa na faida kwa sababu alimfunga Manula goli moja tu mwaka jana
 
uSemayo ni kwel kabisa,yaan wachezaj wamepanda thamani ambayo hawana,mimi naona ni bora waachane nao kuna wachezaj wazur tu wenye gharama nafuu
 
mpira wa aziz k si unauona?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…