Usajili wa Aziz Ki umeleta hasara kuliko faida?

Pole sana mkuu
 
Wewe unalijua boli na sasa ndio wanaona rangi halisi ya ki Aziz mfumo wa master Gamond unampa uhuru mwamba acheze nyuma ya mshambuliaji wa kati na anachokifanya tunaona wote ndio anaongoza Kwa magoli mpaka sasa NBC..
 
Hivi mfano akija Simba bado mtaendelea?
Why not kama atakuja 5imba kwa trañsaction ile ile aliyofanya GSM.
Maana yake hapo itakua amebadili timu tu.
Ila ikiwa ni mauziano mapya hawataendelea maana kinachojadiliwa kitakua kimeshafika ukomo wake.
 
nafikiri kwa sasa kakufunga mdomo
 
Sasa kwanini una sema Aziz Ki hawezi ku improve wakati ndio msimu wake wa kwanza, pili twakimu za Aziz Ki unaionaje mbovu kamaliza na goli 9 assist 3 ukitoa Saido nani ana hizo number kwa hio position kwenye ligi ya NBC? Wewe ni mnafiki
kwa sasa kuna mtu atafunua mdomo kumsema aziz ki?
 

We jamaa sasa umejua nan alikua anamtegemea mwenzie mayele ama ki [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Ni kweli aziz k ni mbovu na ihefu wanamtaka
 
Bwana mjuaji kwenye one and two
 
Uliona mbali sana
 
Eeeh. ..hahahahahaha kumbe na wewe uliingia ktk huu umbumbumbu aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…