Usajili wa ‘Kanisa la Neema’ uchunguzwe

Kwani biblia inasemaje kuhusu ili?.
Relax, kuna makubwa yanakuja zaidi ya haya.
 
Na makaburi wanazikwa eneo moja
 
Yuko sahihi, biblia ni kitabu tu
 
ndiomaana Kagame anataka watu wenye elimu sio makanjanja hawa wakuagiza mavu.. na kucha zipelekwe kanisani
 
Nimeshawahi kumsikiliza huyo Jamaa, aliumiza sana kichwa changu kujaribu kumwelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…