Usajili wa ‘Kanisa la Neema’ uchunguzwe

Usajili wa ‘Kanisa la Neema’ uchunguzwe

Yani jamaa anaburudisha. Siku akitoka kwake kagombana na mkewe anaanza kumchana madhabahuni sema mkewe na watoto wake kasoro mmoja ndiye nliwahi mwona pale. Wengine sikuwahi kuwaona hata mara 1 wanakuja kusali pale.
Na alikuwa anamkubali lowassa hadi anamkandia magu kwenye ibada. Magu akaona usinitanie siku moja akatimba pale ghafla jpili, na akasema wamchongee barabara ya kwenda kansani kwake.
Tangu siku hiyo mzee akabadili gia angani
Hahahah haha Magu alimjengea kweli?
 
Sipendi viongozi wa makanisa wanavyorushiana maneno, Ila sometimes inafurahisha!!!huwa nikimuona mzee wa upako anapohubiri anaminyaminya macho Kama mlevi kamulikwa na taa machoni, huwa nacheka sana.

Sijui Kama ana board of trustees maana toka kakobe alipopata matatizo ya kutaka kupinduliwa na waumini wake, mzee wa upako haamini mtu, hata wanakwaya, anahisi watampindua.
 
imagine leo mtu anasimama anaasema, BIBLIA NI KITABU TU kama vitabu vingine. anachukua kil akilicho kwenye Biblia, anageuza kuongea kinyume chake na anasambaza kwa tv. haya mambo yanakwaza sana Wakristo, kupita kiasi. hadi wamemtungia jina kuwa anaitwa MPINGA KRISTO. lakini serikali bado tu inamwangalia mtu aliyejifanya anamhubiri Kristo lakini anahubiri upinga Kristo.
Yes biblia ni kitabu kama vingine
 
KWANZA TARATIBU ZA KUSAJILI KANISA NAZO ZIPITIWE UPYA. NA IKIWEZEKANA ZIFUTWE, KAMA MTU ANATAKA KUFANYA KAZI YA KUMTUMIKIA MUNGU APITIE KWENYE MADHEHEBU AMBAYO TAYARI YAPO. KAMA HAWEZI KUPITIA HUKO, HUYO ANATAKA KUANZISHA DINI YAKE, NALO LA KUWEPO DINI MPYA LITUNGIWE SHERIA NA KANUNI.
 
wengi tunaomlalamikia huyu antichrist sio waislam, ni wakristo kabisa, hakuna muislam atamlalamikia huyu jamaa wa neema, kwasababu yeye kwanza kanisa lake hata halina watu wengi, popularity yake kubwa ni kwa njia ya tv ile ambayo yeye na mkewe wanatangaza bidhaa za grace zoazoa. majority ya wakristo wanaumia na mahubiri ya huyu jamaa. pia, hakuna maana kuwa na wakristo waliopotea, unajifanya mchungaji, nabii au apostle uwapeleke watu motoni. kuna maana gani kutetea ukristo wa mtu anayesema BIBLIA NI KITABU CHA KAWAID AKABISA. wewe upo tayari utetee dini kuliko kutetea biblia. ni walewale.
Kama kasema biblia ni kitabu cha kawaida kwa muono wake na hakuna sheria aliyovunja hana kosa! biblia haikuandikwa na mungu bali wanadamu ndio maana kuna biblia ya wasabato wameichakata wanavyojua wao,ipo ya mashahidi wa yehova na wakatoliki ,zipo za kipale kinyakyusa na kikinga wamezichakata wanavyojua wao! kwa hiyo hoja ya huyo mchungaji ijibuni kwa maandiko
 
Kama kasema biblia ni kitabu cha kawaida kwa muono wake na hakuna sheria aliyovunja hana kosa! biblia haikuandikwa na mungu bali wanadamu ndio maana kuna biblia ya wasabato wameichakata wanavyojua wao,ipo ya mashahidi wa yehova na wakatoliki ,zipo za kipale kinyakyusa na kikinga wamezichakata wanavyojua wao! kwa hiyo hoja ya huyo mchungaji ijibuni kwa maandiko
Amevunja sheria,penal code,kwani maneno hayo yanakwaza wengine to the extent of disrupring peace.
 
Siandiki ili kupinga uanzishwaji wa makanisa, naandika jambo ambalo kama halitashughulikiwa mapema, kuna siku litaleta matatizo, tena yawezekana yakawa matatizo makubwa sana.

KANISA LA NEEMA la mume wake na grace zoazoa vipodozi, limekuwa kero, linatukana na kupotosha Biblia na amekuwa akigombana na wachungaji wote Tanzania, sema tu kwasababu hawaji hewani kuongea, ila kuna kitu kinafukuta ndani kwa ndani ambacho kinatakiwa kupewa dawa urgently.

Tanzania kuna uhuru wa kuabudu, as long as umefuata sheria na miongozo iliyowekwa. Jambo hili limekuwa limechukuliwa kama uchochoro kwa matapeli wengi kukusanya watu ili aidha kujipatia utajiri kutoka kwao, au kwa malengo yao yoyote wayajuayo kwa kigezo kwamba Serikali haitakiwi kuingilia kati.

Majority ya victims, ni wanawake na watu masikini na wasiosoma...those people who have been stricken with problems na wanaenda kwao kama njia ya kutafuta msaada, badala yake wao wanatake advatage kuwafanya kitega uchumi.

USHAURI WANGU KWA SERIKALI
1. Kanisa la Kibwetele lilianza hivihivi, mwisho wa siku aliua watu zaidi ya 100 Uganda

2. Tuhakikishe Makanisa yanafunguliwa kwa kufuata utaratibu uliowekwa na sheria. asiyefuata huo utaratibu, ashughulikiwe.

3. hata yale makanisa ambayo tayari yameshapewa vibali, yachunguzwe kuona kama wanacomply.

4. Viongozi wengine wa dini kwenye kamati zao wahusishwe katika kila kada. mfn. Wapentecost wanao umoja wao, waprotestant wengine wanao umoja wao, katholic etc, kama mtu hayupo kwenye aina hizo zote za Makanisa, basi aeleze yeye kanisa lake ni la aina gani ili asije kuleta migogoro isiyo ya lazima.

5. Kuna uzembe na rushwa nyingi sana zinafanyika kwenye ofisi ya usajili wa haya makanisa. mfn. haiji kichwani Nabii Suguye, amekuwa na kanisa miaka kadhaa yote hiyo, hadi ameanza kuomba nywele za utosini, kucha kidole kidogo n.k ilikuwa bado kidogo aagize walete nywele za sehemu za siri manake alishaanza kufundisha namna ya kufanya ngono madhabahuni. hapo ndio wakashtuka, muda wote huo kumbe kanisa lake halikuwa na usajili. INAKUWAJE MIAKA YOTE HIYO MTU ANAOPERATE KANISA BILA USAJILI?

6. kuna kanisa moja linaitwa KANISA LA NEEMA, ni la mzee wa Neema. huyu ni mme wake yule grace zoazoa anayetengeneza sabuni na vipodozi bila kuwa na elimu yeyote ya kemikali. Wakristo karibia wote Tanzania wamekuwa wakimlalamikia huyu mtu kwasababu mahubiri yake yote, ni kupindua Biblia hadi haijulikani kama yeye ni Mkristo au wa dini gani. amefungua pia tv, na anayo night club kama kanisa. ni wazi yeye anasema sio mpentecost, sio mkatoliki, sio wa dhehemu lolote, SASA HATUJUI AMEJISAJILI KWENU KAMA NANI. mtu huyu anakwaza ukristo, ana potosha mengi ambayo tunaogopa kuna siku isijetokea watu wasio na Mungu moyoni wakamdhuru, na pia anakosesha sana amani katikati ya watu kwasababu ya mafundisho yake. tunaomba chunguzwe ili kuona kama ana elimu yeyote ya dini, ametumwa na nani manake hadi anamiliki television ya TOP PLUS anagarimia vipi n.k. ni ushauri tu.

7. Tunaomba Serikali pamoja na kuwapa vibali/usajili, iwaangalie kwa jicho la karibu hao mitume na manabii wa kisasa, hao wanaouza mafuta, maji nk. wanafanya biashara kama biashara zingine tu kwa Jina la dini. iangalie usajili wao, hao kina mwamposa, ngurumo ya upako wanaogawa pesa hata hazijulikani zinatoka wapi, mzee wa upako na wengine wengi. HIVI KWELI HAWA WAMESAJILIWA?

8. kama Nabii Suguye, mzee wa ibada za nywele na kucha, amefungiwa kanisa hadi arekebishe usajili wake, ni kwali kwamba hao mitume wengine ambao ni contraversual wamesajili makanisa yao? au kwasababu wana pesa kama kina mwamposa?.

9. kama suguye aliexist miaka yote hiyo, tunajuaje kama hawapo wengine ambao anaamka tu asubuhi anaanzisha kanisa na kukusanya hela kwa maskini? bila hata kupitia serikalini.

Mambo haya nimeandika wengine wanaweza kufikiri nina bifu nao, sina, ila ni alart tu kwa serikali, isijekuja kushtuka shuka kukiwa kumekucha.

Wasalaam!
Hilo si kanisa bali duka la kuchuuza roho za watu na kuuza neno la Mungu linalotumia roho mtakakitu
 
imagine leo mtu anasimama anaasema, BIBLIA NI KITABU TU kama vitabu vingine. anachukua kil akilicho kwenye Biblia, anageuza kuongea kinyume chake na anasambaza kwa tv. haya mambo yanakwaza sana Wakristo, kupita kiasi. hadi wamemtungia jina kuwa anaitwa MPINGA KRISTO. lakini serikali bado tu inamwangalia mtu aliyejifanya anamhubiri Kristo lakini anahubiri upinga Kristo.
Mungu huwa hapiganiwi anajipigania
 
imagine leo mtu anasimama anaasema, BIBLIA NI KITABU TU kama vitabu vingine. anachukua kil akilicho kwenye Biblia, anageuza kuongea kinyume chake na anasambaza kwa tv. haya mambo yanakwaza sana Wakristo, kupita kiasi. hadi wamemtungia jina kuwa anaitwa MPINGA KRISTO. lakini serikali bado tu inamwangalia mtu aliyejifanya anamhubiri Kristo lakini anahubiri upinga Kristo.
Tunaomba mifano mkuu ya namna anavyopindua biblia na iliwezekana weka clip yake hapa. Siyo wote tunamfuatilia mpinga kristo huyu
 
Kumuelewa siza masisi inahitaji uwe matured sana
hajui chochote, hana elimu ya theolojia, hana elimu ya Biblia tu, pia ni mlevi wa kupindukia, ukimwangalia hata mdomo wake tu ni wa kilevi, anaongea kilevi na anahamasisha kunywa pombe. serikali isipoangalia hili kanisa kuna siku atakuja kuchinja watu, na makondoo ya siku hizi yalivyo, yanapelekeshwa tu hata na mlevi.
 
Mtoa mada katika kila maumivu kanisa inayopitia Neno limekwisha toa suruhisho lake haina haja ya kuisumbua mamlaka ya kidunia isiyo na uhalali wa kuingilia imani ya Ukristo. Kwani jambo hili ni jipya kimaandiko?. Akina Mtume Paul hawakukabiliana na hili pia?. Je walikwenda kushtaki kwenye mamlaka za Kirumi?.

Iwe kwa hila au kwa kweli Kristo anahubiriwa. Waachwe wala asizuiliwe serikali iingilie kati pale tu amani ya nchi inapo hatarini. Sio jukumu letu Wakristo kuwashambulia wapinga Kristo kwa kuwadhuru cha kufanya tui hubiri kweli na ikibidi tuhojiane nao kama walivyofanya Mitume.

Kumbuka Serikali ikiingilia kati hata haya ya zamani yanamapungufu mengi tu hayatabaki salama kabisa. Ona Rwanda kanisa halikui kabisa na ukumbuke kanisa na kutaniko linaanza na watu wawili au watatu yaani Kibiblia mkiwa watatu mkakutana kwa jina la Kristo hilo ni kanisa tayari maana Kristo anakuwepo.
 
Mtoa mada katika kila maumivu kanisa inayopitia Neno limekwisha toa suruhisho lake haina haja ya kuisumbua mamlaka ya kidunia isiyo na uhalali wa kuingilia imani ya Ukristo. Kwani jambo hili ni jipya kimaandiko?. Akina Mtume Paul hawakukabiliana na hili pia?. Je walikwenda kushtaki kwenye mamlaka za Kirumi?.

Iwe kwa hila au kwa kweli Kristo anahubiriwa. Waachwe wala asizuiliwe serikali iingilie kati pale tu amani ya nchi inapo hatarini. Sio jukumu letu Wakristo kuwashambulia wapinga Kristo kwa kuwadhuru cha kufanya tui hubiri kweli na ikibidi tuhojiane nao kama walivyofanya Mitume.

Kumbuka Serikali ikiingilia kati hata haya ya zamani yanamapungufu mengi tu hayatabaki salama kabisa. Ona Rwanda kanisa halikui kabisa na ukumbuke kanisa na kutaniko linaanza na watu wawili au watatu yaani Kibiblia mkiwa watatu mkakutana kwa jina la Kristo hilo ni kanisa tayari maana Kristo anakuwepo.
Pole sana mtoa mada. Nimekufuatilia na kuona kweli unapata maumivu makali unavyoona mafundisho yanayoonekana ni tofauti na tunavyotarajia. Naomba watu wa goggle Jonestown masaccre ilivyotokea kule Guyana mwaka 1978 kutokana na cult, na waathirika wengi katika hali anayosema Chapwa24 wanakuwa ni watu wa hali za chini ambao ni rahisi kuwa manipulated kutokana na shida zao za kimwili.
 
Pole sana mtoa mada. Nimekufuatilia na kuona kweli unapata maumivu makali unavyoona mafundisho yanayoonekana ni tofauti na tunavyotarajia. Naomba watu wa goggle Jonestown masaccre ilivyotokea kule Guyana mwaka 1978 kutokana na cult, na waathirika wengi katika hali anayosema Chapwa24 wanakuwa ni watu wa hali za chini ambao ni rahisi kuwa manipulated kutokana na shida zao za kimwili.
of course, Mungu ameshaanza kumshughulikia. Grace na mume wake wamedanganya watanzania kwa muda mrefu sana na bidhaa zao za sabuni, mafuta na losheni ambazo hazitengenezwi kiwandani, wanazitengenezea nyumbani. sijui waliingia mkataba gani na shetani ambaye amewapa condition ya kuyafanya hayo wanayoyafanya ili wapate pesa, na pesa wanazo za kufund kitelevisheni chao na sabuni anazoziuza. nawapa tu pole wateja wa bidhaa zake za sabuni, shetani amewapiga sumu nyingi sana ombeni Mungu msijepata caner baadaye kwasababu kila kitu wanachokifanya inaonekana kinatokana na cult, ni kakikundi ka shetani na shetani hatoagi vitu bure, lazima ameangamiza wengi kwa kutumia bidhaa zake, na ni kwa maombi ya watu wa Mungu wao wenyewe wameajianika bila kujijua, hadi serikali ikawafungia usajili.

kwa makanisa ya aina hii, unasubiri hadi Yesu ashuke mzima mzima kimwili aje akuambie kuwa hiyo ni cult? na watu wanaotengeneza bidhaa zinazotumiwa na watu kama ndio hawa, watashindwa kuingia mkataba wowote na shetani wapate pesa za mauzo ila miili ya watanzania waharibikiwe kwenye sabuni na mafuta wanayoyatengeneza? how can you trust a man such as this to make a soap for you? watu walevi, wajinga na wanaotukana kazi za Mungu. Mungu awaumbue na kuwashughulikia hadi watakapogeuka na kumrudia.
 
Back
Top Bottom