Kilimbatz
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 4,331
- 5,865
AahaaaaaHii bi Kabla hajajiunga Inter N NIs baada ya kujiunga
View attachment 2790178View attachment 2790179
Pessi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AahaaaaaHii bi Kabla hajajiunga Inter N NIs baada ya kujiunga
View attachment 2790178View attachment 2790179
Huwa mnafikiri Messi anacheza peke yake?Hii bi Kabla hajajiunga Inter N NIs baada ya kujiunga
View attachment 2790178View attachment 2790179
Umeongea pumba tupu.Pale Argentina wc 2022 Messi alisaidiwa kwa kiwango kikubwa na di Maria , Alexis mc callister , de Paul , Enzo Fernandez na Juan Alvarez .
Ndiyo maana Argentina ya wc 2018 iliishia robo fainali na kutolewa na France .
Kule Barcelona msaada wake mkubwa ulikuwa Andreas iniesta na xavi Hernandez
Umeandika ukiwa na akili timamu kabisa ? Yan mtu anaenda kuchukua balondor ya 8 unambeza ? AiseePale Argentina wc 2022 Messi alisaidiwa kwa kiwango kikubwa na di Maria , Alexis mc callister , de Paul , Enzo Fernandez na Juan Alvarez .
Ndiyo maana Argentina ya wc 2018 iliishia robo fainali na kutolewa na France .
Kule Barcelona msaada wake mkubwa ulikuwa Andreas iniesta na xavi Hernandez
Hawa sio watu wa mpira kaka ni wachimba chumvi wa uvinza, kuna mtu wakumbeza Mess kwenye mpira ?Huwa mnafikiri Messi anacheza peke yake?
Mpira huwa ni rahisi sana wa mdomoni.
Wakikusajili wewe utaisadia timu ya Miami kuliko Messi?
Aeleze kwanzaUmeongea pumba tupu.
ndo naniJuan Alvarez .