Usajili wa Morison aibu kwa mpira wa Tanzania

Usajili wa Morison aibu kwa mpira wa Tanzania

Fighter101

Member
Joined
Jan 8, 2022
Posts
46
Reaction score
64
Kwa tunavyofahamu mpira ni kazi kama zilivyo kazi zingine na mtu ili apewe kazi tabia na mwenendo ni kitu muhimu sana.

sasa record za Morrison hazirizishi hata kidogo na kundelea kubaki kucheza Tanzania akilipwa ni dhararu ndio kitu kinampa jeuri, hii itawapa nafasi hata wachezaji wengine kuamini Tanzania tabia ya mchezaji siyo kipaumbele.

Nawakubali sana South hawakutaka ushenzi huu, hawatataki hata kuwmwona akicheza na timu zao sema tu zikiwa away hawana namna.

Bongo kama ilivyo bongo ni bongo lala kwa kila kitu ndo maana hata mpira wetu ni tia maji tia maji, yanga mmeshindwa kumchukua hata mpole mkaenda kwa muhuni huyu. hata simba lilikuwa kosa kumchukua wakiwa wakijua kule alifanya ujinga

Watanzania tunatawaliwa kwa hisia na nguvu za macho kwa kelele za akina Manara,redio na waqchambuzi uchwara , mbona hakuna kelele taifa stars ifanye vizuri. Tuna penda kuweka ukweli pembeni acha tuendelee kuwa kichwa cha mwenda wazimu.
 
Uko sahihi kabisa. Ila kwa bahati mbaya sana, it is too late. Mvumilie tu maumivu ya kukerwa na huyo mvuta bangi.

Hata sisi Wananchi tulipitia wakati mgumu sana wakati wa ujio wa Haji Manara. Hivyo hakuna jipya hata kama huyu mabangi atasajiliwa tena msimu ujao wa ligi.
 
Uko sahihi kabisa. Ila kwa bahati mbaya sana, it is too late. Mvumilie tu maumivu ya kukerwa na huyo mvuta bangi.

Hata sisi Wananchi tulipitia wakati mgumu sana wakati wa ujio wa Haji Manara. Hivyo hakuna jipya hata kama huyu mabangi atasajiliwa tena msimu ujao wa ligi.
Mmemsajili official au ni tetesi?
 
Kwa tunavyofahamu mpira ni kazi kama zilivyo kazi zingine na mtu ili apewe kazi tabia na mwenendo ni kitu muhimu sana.

sasa record za Morrison hazirizishi hata kidogo na kundelea kubaki kucheza Tanzania akilipwa ni dhararu ndio kitu kinampa jeuri, hii itawapa nafasi hata wachezaji wengine kuamini Tanzania tabia ya mchezaji siyo kipaumbele.

Nawakubali sana South hawakutaka ushenzi huu, hawatataki hata kuwmwona akicheza na timu zao sema tu zikiwa away hawana namna.

Bongo kama ilivyo bongo ni bongo lala kwa kila kitu ndo maana hata mpira wetu ni tia maji tia maji, yanga mmeshindwa kumchukua hata mpole mkaenda kwa muhuni huyu. hata simba lilikuwa kosa kumchukua wakiwa wakijua kule alifanya ujinga

Watanzania tunatawaliwa kwa hisia na nguvu za macho kwa kelele za akina Manara,redio na waqchambuzi uchwara , mbona hakuna kelele taifa stars ifanye vizuri. Tuna penda kuweka ukweli pembeni acha tuendelee kuwa kichwa cha mwenda wazimu.
hebu taja makisa ya huyo morrison
 
Alishakula mkataba kitambo. Bado tu kuja kupiga picha ya kuuza sura kwenye magazeti ya Mwanaspoti na Champion.
Atawasaidia ila mjiandae kisaikolojia maana kitabia mnamjua kuliko hata sisi
 
Kwa tunavyofahamu mpira ni kazi kama zilivyo kazi zingine na mtu ili apewe kazi tabia na mwenendo ni kitu muhimu sana.

sasa record za Morrison hazirizishi hata kidogo na kundelea kubaki kucheza Tanzania akilipwa ni dhararu ndio kitu kinampa jeuri, hii itawapa nafasi hata wachezaji wengine kuamini Tanzania tabia ya mchezaji siyo kipaumbele.

Nawakubali sana South hawakutaka ushenzi huu, hawatataki hata kuwmwona akicheza na timu zao sema tu zikiwa away hawana namna.

Bongo kama ilivyo bongo ni bongo lala kwa kila kitu ndo maana hata mpira wetu ni tia maji tia maji, yanga mmeshindwa kumchukua hata mpole mkaenda kwa muhuni huyu. hata simba lilikuwa kosa kumchukua wakiwa wakijua kule alifanya ujinga

Watanzania tunatawaliwa kwa hisia na nguvu za macho kwa kelele za akina Manara,redio na waqchambuzi uchwara , mbona hakuna kelele taifa stars ifanye vizuri. Tuna penda kuweka ukweli pembeni acha tuendelee kuwa kichwa cha mwenda wazimu.
MORISSON kaja kutafuta pesa bongo na ameshasoma siasa za mpira wetu zilivyo,acha akapige pesa huko.Mpira anajua yule mwamba basi tu anajichetua sometimes
 
Atawasaidia ila mjiandae kisaikolojia maana kitabia mnamjua kuliko hata sisi
Sahihi kabisa. Morrison ni mchezaji mwenye kipaji kikubwa. Na akiamua, anafanya kweli. Hata msimu huu aliwasaidia sana kwenye mechi zenu za Kimataifa, ukilinganisha na wachezaji wengine.

Tatizo lake kubwa ni nidhamu yake ndani na nje ya uwanja! Yaani hana tofauti na Mario Balotelli! Utoto mwingiii!
 
Mi naona ni sawa tu acha achukue pesa huku na huku. Hata Okwi na Ajibu nao nawasifu walikuwa wanachukua huku na huku kwa zamu
 
Kolo unaumiia...huku Morrison huku msuva,pale ki..kazi mnay
Mi naongelea kitu kingine we unaongelea ushabiki. tuweni serious kidogo kipaji huku ukiwa na tabia mbovu haIkupi garantee ya kucheza je walioko nyuma watajifunza nini?

TFF wanawajibu wa kutoa mwongozo kulinda hehima ya league yetu.
 
•Winga-Msuva,winga-BM3
•Number 10-Aziz Ki
•Striker-Mayele
•Mid double pivot-Aucho na Feisal
•Ubavu-Djuma Shaban,Ubavu-Lomalisa Mutambala
•Yanick Bangala na Mwamnyeto-hawa wanazima mali pale nyuma katikati
•Golini-Djugui Diarra

Kwenye ubao mrefu:Kambole,Adriano Yano,Yacouba,Moloko,Mauya,JOB,Sure Boy,Kibwana,Farid,Ibrahim Bacca

kuna timu itaogopa kuingia uwanjani

Mark my words
 
Umemsahau kambole
•Winga-Msuva,winga-BM3
•Number 10-Aziz Ki
•Striker-Mayele
•Mid double pivot-Aucho na Feisal
•Ubavu-Djuma Shaban,Ubavu-Lomalisa Mutambala
•Yanick Bangala na Mwamnyeto-hawa wanazima mali pale nyuma katikati
•Golini-Djugui Diarra

kuna timu itaogopa kuingia uwanjani

Mark my words
 
Back
Top Bottom