Usajili wa Okrah: Simba SC leo wamepiga kwenye mshono haswa

Mimi Nakwambia Hivi Sisi Tukifungwa Na Nyie Kwenye Mechi Yoyote ile Msimu Ujao Popote Utakapoona Comment Au Post Yangu Hapa JF Niite Mbwaa *****.
Halafu siku ikifika ukiitwa uanze kulia kwa mods!
 
Mpira Sio tako kama lako!!
Mnasajili Kambale mwenye magoli 2 kwenye mechi 40, wenzenu tuna Okrah mwenye magoli kibao ya kideoni.

Huyo Kambale wenu kamtupieni majini ndio uwanja wake wa kujidai!.
 
Co pimbi tu huyu ni nguchiro pia
 
Ni watu wa mpira tu ndiyo wataelewa wale shabiki oyaoya hawaoni ndani
 
Muaka 28 anajiandaa kwend
Miaka 28 anajiandaa kwenda wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…