Usajili wa Okrah: Simba SC leo wamepiga kwenye mshono haswa

Usajili wa Okrah: Simba SC leo wamepiga kwenye mshono haswa

Ghana na Nigeria bila kuhonga uitwi timu ya Taifa. Ata Azam ilikua na wachezaji wanaitwa timu ya Taifa kwakua walikua wakijiongeza.
Wachezaji wa utopolo wao hawataki kuhonga?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Muaka 28 anajiandaa kwend

Miaka 28 anajiandaa kwenda wapi?
Unaijua miaka ya "peak" ya mpira kwa mchezaji?

Hapo Okrah ndio yupo on fire, ndio maana ukicheki magoli yake anafunga kila style!.
 
Wachezaji wa utopolo wao hawataki kuhonga?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wana hali mbaya sana, nimewaombea siku tatu za mapumziko, lile teke la kitovuni walilopigwa jana linawauma sana...
 
Namaanisha kwenye mshono kweli.

Hii ni baada ya kutangaza usajili wa winga/kiungo mshambuliaji Augustine Okrah.

Huyu jamaa nilijua yupo kwenye timu ya taifa ya Ghana, lakini sikujua kumbe kutoka kwenye ligi ya ndani [ligi kuu ya Ghana], jamaa ametoboa kwenye kikosi na mwenzie mmoja pekee.

Hivi uto mnanielewa?

Namaanisha, kutoka ligi kuu ya Ghana, wachezaji waliofanikiwa kuitwa kwenye kikosi cha timu yao ya taifa ni Okrah na mwenzie mmoja, wengine wote wametoka nje ya nchi.

Sasa hapa utamlinganisha Okrah na nani? yule mvuta mabange anayelilia kuitwa timu ya taifa ya kwao lakini haitwi? au wale wazee waliokuwa rejected Congo, Angola, na Ulaya ambao tunapigiwa kelele kila siku za kuwasifia na nyie msiojielewa?!

Kwa hili teke la chini ya mkanda walilopiga Simba SC leo kwenye usajili, nawashauri watoe siku tatu za mapumziko kwa utopolo mpaka watakapopata nafuu ndio watangaze kifaa kingine, uto wasije kutoka damu buree..
Ligi ikianza tuanze kumshtumu Karia ati Yanga anabebwa
 
Back
Top Bottom