Usajili wa Simba ni bora kabisa, kama ni ukweli

Usajili wa Simba ni bora kabisa, kama ni ukweli

sitoi mtu aondoke chikwende aje moses phiri then kiungo mkabaji nitatafuta wa kibongo mwenye liumbo kama la protas wa namungo ila awe na akili ya mpira siyo kama protas,umbo kubwa la kimpira ila akili sifuri
Naomba nikuulize swali kivingine.

Ligi ya ndani inaruhusu wageni kumi tu, swali langu kwako ni je, kati ya HAO WAGENI 11 hapo juu unamuondoa nani ili kubakisha WAGENI 10 (kwa ajili ya ligi ya ndani)

NB: Hatujui kama kanuni za ligi ya mabingwa mwakani zitaruhusu ongezeko la wachezaji kama ilivyokuwa msimu huu kutokana na Covid 19.
 
Manyama ni mmojawapo wa wachezaji wazuri sana kwa mtu anayeutazama mpira kwa makini. Ni aina ya mabeki wanaokupa vitu vingi kwa wakati mmoja. Urefu, ana mashuti makali, anapiga vichwa vizuri vya kuokoa na kufunga, anapanda vizuri kusaidia mashambulizi na wakati mwingine anafunga mwenyewe ana uwezo wa kukokota mpira kwa umbali mrefu. Ana udhaifu kidogo sana kwenye ukabaji lakini anarekebishika iwapo atapata kocha mzuri au kama atacheza na wachezaji wazoefu zaidi yake. Kikubwa kwake ni kujiamini tu maana hizi timu kubwa ukishakosa kujiamini kwenye mechi mbili tatu za mwanzo basi kuanzia hapo ni benchi halafu kinachofuata ni safari na muziki. Kwa timu yoyote iliyompata iwe Yanga, Simba(tetesi) ama Azam itakuwa imelamba dume. Kama kaenda Simba basi haiihitaji kutumia akili nyingi kuweza kujua kuwa Gadiel Michael safari imemkuta.

Kama kuna timu ina wakati mgumu kwenye kusajili wachezaji wa kigeni kwenye dirisha hili lijalo la usajili basi ni Simba kwa sababu sasa hivi kichwa kinawauma wamsajili nani wamuache nani. Yanga wao hawana tatizo sana kwani wameshajua nani wa kuwapiga chini.
 
Naomba nikuulize swali kivingine.

Ligi ya ndani inaruhusu wageni kumi tu, swali langu kwako ni je, kati ya HAO WAGENI 11 hapo juu unamuondoa nani ili kubakisha WAGENI 10 (kwa ajili ya ligi ya ndani)

NB: Hatujui kama kanuni za ligi ya mabingwa mwakani zitaruhusu ongezeko la wachezaji kama ilivyokuwa msimu huu kutokana na Covid 19.
hapana kwa maoni yangu hapo fraga viera asubiri tu wa kuachwa ni chikwende ili attacking midfilder anayejua kufunga aje...maana kuongeza strikler wa 4 ni kuchoshana tu....chikwende anatoka so watakuwa wageni kumi
nikasema kuhusu kiungo mkabaji atafutwe jitu lenye mwili kama Protas wa namungo na awe na akili ya mpira maana protas mwili anao ila akili kisoda so kiungo mkabaji atafutwe wa kibongo
 
Manyama ni mmojawapo wa wachezaji wazuri sana kwa mtu anayeutazama mpira kwa makini. Ni aina ya mabeki wanaokupa vitu vingi kwa wakati mmoja. Urefu, ana mashuti makali, anapiga vichwa vizuri vya kuokoa na kufunga, anapanda vizuri kusaidia mashambulizi na wakati mwingine anafunga mwenyewe ana uwezo wa kukokota mpira kwa umbali mrefu. Ana udhaifu kidogo sana kwenye ukabaji lakini anarekebishika iwapo atapata kocha mzuri au kama atacheza na wachezaji wazoefu zaidi yake. Kikubwa kwake ni kujiamini tu maana hizi timu kubwa ukishakosa kujiamini kwenye mechi mbili tatu za mwanzo basi kuanzia hapo ni benchi halafu kinachofuata ni safari na muziki. Kwa timu yoyote iliyompata iwe Yanga, Simba(tetesi) ama Azam itakuwa imelamba dume. Kama kaenda Simba basi haiihitaji kutumia akili nyingi kuweza kujua kuwa Gadiel Michael safari imemkuta.

Kama kuna timu ina wakati mgumu kwenye kusajili wachezaji wa kigeni kwenye dirisha hili lijalo la usajili basi ni Simba kwa sababu sasa hivi kichwa kinawauma wamsajili nani wamuache nani. Yanga wao hawana tatizo sana kwani wameshajua nani wa kuwapiga chini.
Mimi nadhani Simba ndio timu ambayo haina presha kabisa kwenye kusajili wachezaji wa kigeni.
Wanatakiwa kumrejesha Fraga (kama yuko fit) ili aje kuchukua nafasi ya Chikwende na Kahata (ili ku restore idadi ya wachezaji 10 wa kigeni).

Kama wanaweza kupata better option ya beki wa kati kuliko Wawa basi wafanye replacement. Japokua sio muhimu sana kwenye nafasi hii.

Kama wanaweza kupata better option ya mshambuliaji mmoja wa kum replace Mugalu au Kagere basi wafanye hivyo. Japokua sio muhimu sana kwa aina ya nafasi na aina za magoli ambayo Simba wanafunga (Viungo wanachangia magoli mengi sana)

Uwepo wa Morrison na Miquissone unamfanya Chikwende akose namba automatically kwenye kikosi cha kwanza. Wachezaji wa kutokea benchi kwenye nafasi hizi hata wa ndani akina Dilunga wanatosha.

1 Onyango
2 Wawa (au mgeni mwingine bora zaidi yake)
3 Fraga
4 Lwanga
5 Bwalya
6 Chama
7 Morrison
8 Miquessone
9 Kagere
10 Mugalu

Kati ya Kagere na Mugalu Simba wanaweza kuweka mshambuliaji mgeni mmoja bora zaidi.

Kwa maoni yangu hao jamaa wataisaidia sana Simba, na kwa minajili hiyo Simba inahitaji mgeni mmoja wa lazima (FRAGA or any of the like).
Ikiamua inaweza kuongeza wawili nafasi ya Wawa na Medie/Mugalu.

Kwa maoni yangu pressure ni ndogo.
 
hapana kwa maoni yangu hapo fraga viera asubiri tu wa kuachwa ni chikwende ili attacking midfilder anayejua kufunga aje...maana kuongeza strikler wa 4 ni kuchoshana tu....chikwende anatoka so watakuwa wageni kumi
nikasema kuhusu kiungo mkabaji atafutwe jitu lenye mwili kama Protas wa namungo na awe na akili ya mpira maana protas mwili anao ila akili kisoda so kiungo mkabaji atafutwe wa kibongo
Pendekeza mchezaji gani wa kibongo anayeweza kuchukua hiyo nafasi ili Fraga asirudi Simba. Huyo Protus umeeleza kwamba hatafaa (licha ya kuwa na mwili mkubwa). Wewe unaijua ligi ya nyumbani, ni mchezaji gani wa ndani atafaa katika nafasi hiyo (kimsingi awe bora zaidi ya Mzamiru, Mkude na Nyoni)
 
Kwa maoni yako ni kwamba kwenye nafasi ya ushambuliaji tusibadili chochote ?

Kama itafanyika kama ulivyopendekeza bado idadi ya wageni itazidi 10, kama ifuatavyo:
1. Onyango
2. Wawa
3. Lwanga
4. Bwalya
5. Chama
6. Morriston
7. Milestone
8. Kaveri
9. Mugalu
10. Fraga
11. Michael Phiri

Itakuaje hapo ?
Kuna watakaoachwa hapo.
 
swali gumu ngoja nifikirie kidoogo..
Pendekeza mchezaji gani wa kibongo anayeweza kuchukua hiyo nafasi ili Fraga asirudi Simba. Huyo Protus umeeleza kwamba hatafaa (licha ya kuwa na mwili mkubwa). Wewe unaijua ligi ya nyumbani, ni mchezaji gani wa ndani atafaa katika nafasi hiyo (kimsingi awe bora zaidi ya Mzamiru, Mkude na Nyoni)
 
Mimi nahisi kuna jamaa mmoja yupo polisi Tanzania, ana rasta hivi, anacheza kiungo ya ukabaji na uchezeshaji, nahisi akipikwa anaweza kuwa vizuri, japo daah wachezaji qa kitanzania hawana muendelezo mzuri
 
Kwa maoni yako ni kwamba kwenye nafasi ya ushambuliaji tusibadili chochote ?

Kama itafanyika kama ulivyopendekeza bado idadi ya wageni itazidi 10, kama ifuatavyo:
1. Onyango
2. Wawa
3. Lwanga
4. Bwalya
5. Chama
6. Morriston
7. Milestone
8. Kaveri
9. Mugalu
10. Fraga
11. Michael Phiri

Itakuaje hapo ?
Kumbe Lwanga sio mbongo duu
 
Kwa maoni yako ni kwamba kwenye nafasi ya ushambuliaji tusibadili chochote ?

Kama itafanyika kama ulivyopendekeza bado idadi ya wageni itazidi 10, kama ifuatavyo:
1. Onyango
2. Wawa
3. Lwanga
4. Bwalya
5. Chama
6. Morriston
7. Milestone
8. Kaveri
9. Mugalu
10. Fraga
11. Michael Phiri

Itakuaje hapo ?
Kwani Chikwenda hayupo? Sijamuona muda mrefu sana
 
Kwani Chikwenda hayupo? Sijamuona muda mrefu sana
Yupo, bado ni mchezaji wa Simba. Ila katika mjadala wetu tunaumulika usajili wa msimu ujao huku tukitazamia kwamba huenda akaachwa kutokana na kukosa nafasi ya kucheza na ushindani wa namba katika nafasi yake.
 
sitoi mtu aondoke chikwende aje moses phiri then kiungo mkabaji nitatafuta wa kibongo mwenye liumbo kama la protas wa namungo ila awe na akili ya mpira siyo kama protas,umbo kubwa la kimpira ila akili sifuri
Nassor kapama
Khamis khalifa
Zubery daby
Shaban msalla

Hao ndio mido six ninaowaelewa wakizawa na wenye miili mikubwa achana na jumanne elfadhil wa prison footwork yake si nzur sana
 
Back
Top Bottom