Usajili wa Simba ni bora kabisa, kama ni ukweli

Usajili wa Simba ni bora kabisa, kama ni ukweli

Jaribu kumfatilia Moses Phiri wa Zanaco ya Zambia anaweza kufaa au wavunje benki wamchukue Prince Dube,ingawa Dube itakuwa ngumu kwa kuwa ameongeza muda kwenye mkataba wake.
Sikumbuki ni lini simba tulivunja mkataba.
 
Yes sema yeye anacheza namba nane na kumi anaweza pia kucheza wing ya kushoto kifupi ni midfielder bora sana kwa level ya Simba anamaliza mkataba wake soon.
Sasa hyo kumaliza mkataba alafu watu wengine wasimuone?
 
Sasa hyo kumaliza mkataba alafu watu wengine wasimuone?
Tusubiri baada ya june ataelekea wapi huenda miaka michache ijayo atatimukia Ufaransa.
Mwezi January baada ya mashindano ya CHAN nilimpendekeza Loic Asomo wa Cameroon sasa hivi yuko majuu akisakata kabumbu.

Best option ambaye tunaweza kumpata kwa urahisi zaidi Simba ni Sylla kwanza ni kijana mdogo hata akipanda kiwango itakuwa faida kwa club kumuuza pesa nyingi tu.
 
Hawa ndio mbumbumbu bhana
Walimchukua gadiel halafu wamemuua kipaji na namba anacheza zimbwe... Halafu wameongeza tena beki mashoto mwengine.

Muhaho umewashika
 
Hawa ndio mbumbumbu bhana
Walimchukua gadiel halafu wamemuua kipaji na namba anacheza zimbwe... Halafu wameongeza tena beki mashoto mwengine.

Muhaho umewashika
Wewe Mayai Viza FC na Utopolo wenzako acheni kubwabwaja... Mpira una Propaganda na Intelejensia zaidi ya Siasa na Vita! Chukua hiii...
Wakati mwingine Adui yako anasajili mchezaji wako si kwa lengo la kumtumia, Bali kwa lengo la kukudhoofisha ushindwe kufurukuta. Kubali au kataaa iko hivyo! Over
 
Kocha kishingo kipindi yuko simba alitamani sana kupata beki mrefu wa kati anayetumia mguu wa kushoto kama ilivyokuwa kwa Ally Sonso ambaye shida yake ni mistakes nyingi, mwingine ni Abdi Banda ambaye kwa kweli sidhani kama kuna mtu anataka kuiona sura yake pale Msimbazi.

Sasa leo nasikia Edward Manyama kasaini miaka miwili, kama ni kweli HONGERENI SANA KAMATI YA USAJILI huyu abadilishwe awe anacheza nne au tano na sababu naturally ni namba 3 atakuwa ana mpa back up kubwa sana gadiel michael na zimbwe jr.

Hapo sasa kabaki Michael Phiri attacking midfielder wa zanaco kazi kweisha kabisa, na kiungo mkabaji mrudisheni fraga, wachukue nafasi za chikwende na kahata. Issue za shabi juma achana nazo namba mbili hata onyango na nyoni wanacheza hata ame Ibrahim aanze kuzoeshwa hiyo namba.
Tumepigwa
IMG_20210610_215029.jpg
 
Hawa ndio mbumbumbu bhana
Walimchukua gadiel halafu wamemuua kipaji na namba anacheza zimbwe... Halafu wameongeza tena beki mashoto mwengine.

Muhaho umewashika
Manara kawashika masikio hawa jamaa ona sasa hata huyo manyama kamwaga wino Azam wao wamebaki na story za wauza kahawa.

Kweli mbumbumbu watabaki kuwa mbumbumbu fc.
 
Morlaye Sylla anamaliza mkataba wake this June.

Pili Bwalya anashindwa kucheza mechi physical ndiyo maana mechi zinazohitaji nguvu hupoteana.

Kamuangalie Morlaye Sylla kijana mwenye 22 years uje ulinganishe na Bwallya.
Mkuu, msingi wa hoja yangu haukuwa kwenye ubora wa Bwalya dhidi ya ule wa huyo Sylla. Hoja yangu ililenga kujua ya kwamba tunasajili kutokana na mahitaji ya sasa ya kikosi au tunasajili mchezaji yeyote aliye bora kuliko yule tuliyenaye kikosini ?

Je, ni kweli Simba ina mapungufu katika nafasi anayocheza Bwalya ?
Hili ndilo swali langu na ndio maana nikauliza kwamba na mimi nikitaka asajiliwe El Shenawy kwenye nafasi ya Manula nitakua sahihi ?

Kwa maneno mengine nakua nauliza kwamba kama El Shenawy ni bora zaidi ya Manula, ni sahihi Simba kumasjili mtu huyo hata kama mahitaji ya msingi ya Simba sio golikipa ?
 
Yes sema yeye anacheza namba nane na kumi anaweza pia kucheza wing ya kushoto kifupi ni midfielder bora sana kwa level ya Simba anamaliza mkataba wake soon.
Nikiri wazi kutokumfahamu huyo mchezaji, ila kwa sifa ulizozitaja na umri wake kuwa bado ni mdogo, nini kinasababisha yeye kumaliza mkataba mwezi huu (bila kuongezwa) ?

Maana kwa maneno mengine unaikumbusha au kuisihi Simba kumsajili mchezaji mwenye sifa kemkem, akiwa bado kinda kabisa, KWA USAJILI HURU.

What is going on at Horoya?
 
Simba wanachofanya ni kuilazimisha Yanga kuachana au kumfuata mchezaji
 
Nikiri wazi kutokumfahamu huyo mchezaji, ila kwa sifa ulizozitaja na umri wake kuwa bado ni mdogo, nini kinasababisha yeye kumaliza mkataba mwezi huu (bila kuongezwa) ?

Maana kwa maneno mengine unaikumbusha au kuisihi Simba kumsajili mchezaji mwenye sifa kemkem, akiwa bado kinda kabisa, KWA USAJILI HURU.

What is going on at Horoya?
Nikiri wazi hii comment imenishangaza sana.

Kwani mchezaji akiwa mdogo anakuwa na mkataba wa maisha kwenye timu yake ?

Au wachezaji wadogo mikataba yao huwa inajiongeza automatic ?

Mbona hata hapo Simba sports kuna wachezaji wengi tu mikataba yao inamalizika mwisho wa msimu?
 
Nikiri wazi hii comment imenishangaza sana.

Kwani mchezaji akiwa mdogo anakuwa na mkataba wa maisha kwenye timu yake ?

Au wachezaji wadogo mikataba yao huwa inajiongeza automatic ?

Mbona hata hapo Simba sports kuna wachezaji wengi tu mikataba yao inamalizika mwisho wa msimu?
Swali langu ni je, mchezaji potential namna hiyo uliyomuelezea (kwa umri na kiwango chake) anawezaje kufikia ukomo wa mkataba wake bila timu inayomtegemea kumuongezea ?
Je, amekataa mwenyewe kuongeza mkataba ?
Najaribu kujiuliza maswali hayo, sio kwa ubaya ndugu yangu.
Kama maswali hayo si ya msingi, basi acha mimi na wewe tuendelee kushangaana kwa zamu.
 
Swali langu ni je, mchezaji potential namna hiyo uliyomuelezea (kwa umri na kiwango chake) anawezaje kufikia ukomo wa mkataba wake bila timu inayomtegemea kumuongezea ?
Je, amekataa mwenyewe kuongeza mkataba ?
Najaribu kujiuliza maswali hayo, sio kwa ubaya ndugu yangu.
Kama maswali hayo si ya msingi, basi acha mimi na wewe tuendelee kushangaana kwa zamu.
Bado naendelea kukushangaa tu.

Mchezaji kuelekea ukingoni mwa mkataba wake haimanishi kwamba hakuna mazungumzo na klabu yake who knows kama ana malengo ya kuelekea kwenye malisho mazuri zaidi ?

Aisee
 
Bado naendelea kukushangaa tu.

Mchezaji kuelekea ukingoni mwa mkataba wake haimanishi kwamba hakuna mazungumzo na klabu yake who knows kama ana malengo ya kuelekea kwenye malisho mazuri zaidi ?

Aisee
Sawa, asante kwa maelezo. Kushangaa kuendelee
 
Back
Top Bottom