Usajili wa wasanii Fiesta 2016

Hivi wale mahasimu wakubwa wawili watakuwepo kwa list?
Nawaza tu.....
 
Hayo ni mawazo yako lakini.
 
Hiyo mikataba wanayosainishwa wanaisoma lakini.?
 
Hili tamashama na zama hizi za muheshimiwa mmmh mambo yatakuwa magumu
 
Hiyo mikataba wanayosainishwa wanaisoma lakini.?
Wanaangalia Kiasi cha Mpunga tu alafu Wanasaini. Labda huenda walipewa hiyo mikataba waisome kwanza siku zilizopita kabla hawajasainishwa.
 
Wanaangalia Kiasi cha Mpunga tu alafu Wanasaini. Labda huenda walipewa hiyo mikataba waisome kwanza siku zilizopita kabla hawajasainishwa.
Halafu mtu baadae mtu anaanza kulalamika eti Mawingu Fm wanyonyaji.... wakati yeye anasoma $ tu bila kuangalia mengineyo.
 
Ndo msanii wapi huyo?
Huyo si Msanii,ni Presenter wa Radio ya Clouds FM kwenye kipindi maarufu XXL kinachoruka hewani Jumatatu mpaka Ijumaa kuanzia saa Saba mchana mpaka saa kumi.

Ni maarufu sana kwa majina ya B-12,B Dozen au B-Twangala,B Twizzy lakini jina lake halisi ni Hamis Mandi. Pia ni mjasiriamali,anamiliki duka la pamba maarufu kama "BORN 2 SHINE."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…