Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe hujui serikali baki humu humu kwenye keyboard ndio maana hata mwenyekiti Mbowe aliwekwa huko miezi na hakuna hata mtu aliyethubutu kushika bango tu. ushujaa wetu humuhumu JF kama kuna mwanamme kweli atoke barabarani. Hao unawaona wanatukana lakini hawafanywi kitu usidhani wenzako hao wanatumwa kama chambo sasa katukane wewe utaona shughuli yake. usijidanganye hata siku mmoja ukaona mbona A anatukana na anajukalina lakini hashikwi ngona na mimi nitukane ndio utaita meeeeSiwajui hao,sababu hawakujitokeza hadharani!
Tunawajua hawa wa Bashiru sababu wamejitokeza hadharani wenyewe!
Na hata kule #Iran walikuwa hivyohivyo hadi majuzi ndio wameelewa maana halisi ya Nguvu ya UMMA!Wewe hujui serikali baki humu humu kwenye keyboard ndio maana hata mwenyekiti Mbowe aliwekwa huko miezi na hakuna hata mtu aliyethubutu kushika bango tu. ushujaa wetu humuhumu JF kama kuna mwanamme kweli atoke barabarani. Hao unawaona wanatukana lakini hawafanywi kitu usidhani wenzako hao wanatumwa kama chambo sasa katukane wewe utaona shughuli yake. usijidanganye hata siku mmoja ukaona mbona A anatukana na anajukalina lakini hashikwi ngona na mimi nitukane ndio utaita meeee
Iran ni issue nyingine haya hayajaanza leo kinachotokea Iran ni jambo dogo sana lakini kwa media za kimataifa utasikia kelele sana tu media wakitaka jambo lao hata dogo watalifanya kubwa leo hii unasikia corona? lakini wakitaka tena tuimbe corona wanaweza mara moja. sio kila jambo unalosikia huko CNN sijui BBC ukadhani ukweli. Haya ya Iran wala sio issue ni kwa sababu wako katika majadiliano kila mtu anataka kushika mpini ili apate nguvu kupata anachotaka. walisema N. korea yako wapi kimyaaNa hata kule #Iran walikuwa hivyohivyo hadi majuzi ndio wameelewa maana halisi ya Nguvu ya UMMA!
Nguvu ya UMMA ni nguvu ya UMASKINI inapoamua hata Sanamu ingawa haziongei,lakini huwa zinaonja Joto!
Wewe huelewi alama za Nyakati,kama ilivyo kwa wana CCM wenzako mliorundikiwa ujinga 100%View attachment 2423696
Tena ikibidi auliwe haraka sn ameua watu wengi sn ni mshenzi snMalipo ni hapa hapa. Leo Dr Bashiru anaishi kwa hofu?
Vipi wale waliotengenezewa kesi za mauaji na ubakaji wakaozea jela kwa sababu tu alitaka majimbo na kata ziwe wazi ili ccm ishinde?
Dhambi ni mbaya sana hasa Mungu akiamua kusikiliza vilio vya watu wake.
Wamuue haraka sn hafaiKama alivyokuwa anawawinda wenzake kama ngedere na yeye pia anawindwa kama ngedere leo. Karma
Unajua kilichomkuta Kinana chini ya Ccm ya bashiru?
Kwahiyo ni viroba vya Tanga vya wale watimbaji wa madini vya mwaka huu Bashiru ni kiongozi mkubwa??.Na hoa viongozi wako wakubwa wa sasa wamefanya nini cha zaidi??😂😂😂Chawa Bashiru alikuwa mtu mkubwa sana katika uongozi wa nchi wakati utekaji na viroba vimepamba moto, alikaa kimya na hakuwahi kusema chochote, tuondolee ujinga
Na wale wakibiti ambao mzee Magu aliwakomesha watakuwa hawajarudi kweli??.Wale ndo wanatisha balaa.Siasa za kutekana, kutesana, kuuana na kufunguliwa makesi yasiyonna dhamana kama utakatishaji pesa ziliondoka na yule mungu wa Chato Machi 17, 2021.
Bashiru asiwe na wasiwasi kwa kuwa ametoa maoni yake na Samia anawheshimu maoni ya watanzania kwa vile ni haki ya kikatiba.