Usalama wa nyumba zilizozungushiwa nyaya za umeme za ulinzi au electric fence

Usalama wa nyumba zilizozungushiwa nyaya za umeme za ulinzi au electric fence

Mkuu,
Kwa manufaa ya jukwaa. Umeme unaotumika ni wa majumbani. Tofauti umeme wake ni DC yani direct current na umeme wa majumbani ni AC yani alternate current.

Kinachofanyika ni kuwa controller yake ina AC to DC converter ambayo ubadili umeme wa kawaida AC kuwa wa DC.

Uwepo wa DC power ndio inafanya zile nyaya kuwa hatari zaidi.

Pia controller yake ina inbuilt betri inayokaa masaa manne iwapo umeme ukikatika.

No need of backup generator...
DC inapigaje shoti?? Maana ndo umeme tunaotumia kuchomea magrill hapa Kazulamimba
 
Nyumba zilizozungushiwa nyaya za umeme za ulinzi au electric fence zinaonyesha ziko salama sana maana zinadili na njia kuu ya wizi au ujambazi kufanyika.

Mara nyingi huduma hii inaambatana na uwepo wa cameras ili kuongeza zaidi ulinzi.

Umewahi kusikia uvamizi umefanyika katika nyumba zenye electric fence?

Je, ukiweka hizo nyaya za ulinzi za umeme bila kuweka cameras, wahalifu wanaweza kata hizo nyaya na kuingia ndani kirahisi?

Nauliza haya maswali kwa sababu nataka kuweka ulinzi wa aina hii katika eneo la heka moja bila kutegemea sana cameras ingawa zitakuwepo chache.
Kama watu huwa wanaingia na kuiba kwenye mabenki hizo electrical fence, alarms na CCTV cameras zinasaidia usiibiwe na vibaka wa kawaida lakini professionals hivyo ni vitu vidogo sana labda uongeze na security guards wenye silaha.
 
Hiyo ni mashine ndogo sana. Mimi nimefunga Wizard 2 NEMTEK inapiga siku 3 bila umeme. Usifanye ubahili
Safi sana! Kuna siku isiyo na jina TANESCO watakuja kutukalisha wiki nzima bila umeme
 
Mfumo wake ni separate kabisa na umeme wa nyumba ila umeme ni huuhuu kwenye kuunga ndio wanatenganisha ila kwa wenye pesa nyingi unaungwa na standby generator ile ya hapo kwa hapo isiyopiga makelele niliikuta sehemu moja tu umeme ukizima generator linawaka fasta hapo hapo na ukirudi linasubiri dakika kadhaa linajizima lenyewe huwezi jua km kuna generator maana halipigi kelele, nazungumzia wenye pesa
Kumbe na mimi nina pesa man, security system yangu ni zaidi ya yote mliyoongelea hapa, nilifikiri ni uoga wangu tu, kumbe na pesa pia!!
 
Kumbe na mimi nina pesa man, security system yangu ni zaidi ya yote mliyoongelea hapa, nilifikiri ni uoga wangu tu, kumbe na pesa pia!!
Pesa kivipi mkuu? Nilichozungumza ni kingine huwezi kuta masikini kafunga electric fence hata iweje maana hana cha kupoteza isipokua roho yake
 
Mbeya hata uweke umeme wa H.E.P, Ufunge Sportlight au Camera za 4k, Wahuni wakisoma Gepu la dusko wanasalua tu.
 
Hizo waya zikiwashwa zina umeme na umeme wake ni wa kutosha kukubabua vizuri tu, namaanisha jinsi zinavyoungwa umeme wake unajitegemea na mtambo wake unajitegemea sasa wewe jisogeze kwenye high voltage uone kitakacho kupata utababuka
Kuna mtu alipipigwa shock, akaruka kama mita 10 hivi 🤣🤣🤣 wazazi wake wakaja kulalama mbona umeweka umeme mkubwa hivyo 😂😂😂
 
mkuu iyo kitu inasaidia sana, mimi mwaka wa tatu huu mwizi nimemsahau.walikuwa wananipa shida sana kabla
 
Watu wakikuhitaji mkuu ni balaa.

Sasa jamaa anaamini electronics tu qnasahu mbina za kimedqni za kujilinda.

Mbeya hata uweke umeme wa H.E.P, Ufunge Sportlight au Camera za 4k, Wahuni wakisoma Gepu la dusko wanasalua tu.
Ndiyo lengo la uzi huu kuelimishana kuwa ni kwa kiasi gani hizo nyaya zinasaidia na kama kuna mbinu ambazo wahuni wanaweza kuzitumia kuzifanya zisifanye kazi.
 
Back
Top Bottom