Usalama wa taifa chunguzeni hili,

Status
Not open for further replies.
Waislamu wakikaa vibarazani wakinywa gahwa na kashata noma! Wakifanya mazoezi ya viungo kuimarisha afya zao noma!
Hivi chokochoko hizi dhidi ya Waislamu hamtawacha? mlipuko wa bomu Kanisani Arusha mlisema ni Waislamu! lakini wahusika ni Wakristo! Waislamu ni wastaarabu sana na amani ya nchi hii iko ktk mikono yao!
Ole wenu Waislamu waanze kupoteza uvumilivu!
 

Wasisahau kufuatilia kwenye makanisa na kutaifisha silaha zote zilizofichwa. Vinginevyo wakina Ambrose wataendelea kuzitumia na madhara yake bila shaka tumeyaona ama kuyasikia. Na hii ndio mbinu kuu muitumiayo,kwa bahati nzuri ufitini wenu sasa umebainika...poleni sana!
 

Ndugu acha kuzusha vitu ambavyo havipo katika uislam ndani ya misitiki haiwezekani kukawa na vyumba kama hivyo kwa hali halisi ya tabia na mafundisho na kuheshimika kwa nyumba za ibada(Misikiti) kitu kama hicho hakiwezi kuwepo, wewe uliyeandika utakuwa Mkristo au Mpagani ambye hauelewa misingi na miongozo ya dini ya Kiislam. Mambo hayo unayoyataja yanafanywa na vikundi vya kigaidi na hayafanyiwi katika nyumba za Ibada.
 
hapa jukwaani pia kuna mafirauni na mashetani....kwa hiyo unataka padre mzinifu mvunja ndoa za watu akainajisi ikulu?

Thubuuuutu!!!...padri na ikulu wapi na wapi? arudi kutafuta kondoo wake na hiyo dhambi ya uzinzi kwa babu mzima bila shaka imemuharibia sana.
 
Kuna taarifa za uhakika wa jambo hili. Na nilikuwa Bukoba nikatembelea Kijiji kimoja katika wilaya ya Misenyi nikapewa taarifa na uongozi wa Kijiji kuhusu kuwepo kwa mafunzo haya na vijana walikuwa wakisajiliwa katika vyuo hivi bubu. haikujulikana bado malengo hasa ni nini. Bahati mbaya sana Usalama wa taifa nao umegawanyika, hili si jambo la aja bu au la kupingwa. Ni utawala peke yake utakaoamua kama mambo haya ambayo yanaweza kuchukuliwa kisiasa, lakini yakaleta madhara, kwani katika umri mdogo, na kutokuwa na taarifa za uhakika kama ni karate tu au kuna itikadi nyingine mfano za "extremism na fanatic" zikiendelezwa, na pale ambapo vita ya dunia ya sasa inayotia hofu ni ile ya kushawishi baadhi ya waislamu kuwa wanaonewa, na njia peke yake ni kulipiza kisasi na kujitoa muhanga kufa kwa ajili ya dini, badala ya kuwapa nafasi zaidi za kielimu na kiuchumi na ujuzi ili washindane katika soko la ulimwengu linalozingatia ujuzi zaidi badala ya ushabiki na mtizamo. Si waislamu wote wanaoamini hayo, ila vijana wakiandaliwa kuamini hili basi kizazi kinachokuja cha vijana wa kiislamu kinaweza kuwa na idadi kubwa ya watu wanaokuwa na itikadi ya kufikirika kuonewa na jamii au kundi lingine na ajira yao ikawa ni udhalimu, ugaidi na kuharibu katika jina la kupigania haki ya kuonewa. Bila shaka wengi mtakubaliana na mimi, waislamu wa kweli wa sasa ni wale ambao wanaongeza juhudi katika misikiti kuwapa vijana wao fursa za kujiinuaa kielimu dunia, ujuzi mbalimbali na kuunganisha imani ya Kiislamu ambayo nguzo yake ni upendo na amani na wote, kama Mtume Muhamad (SAW) alivyokuwa akifanya. Bahati mbaya aya zinazozungumzia matendomema ya Mtume (SAW) ambaye aliweza hata kupatanisha makundi hasimu kipindi fulani katika jamii yake miaka hiyo, makundi ambayo hakuna mtu yeyote aliwahi kufanikiwa kuyapatanisha, hazizungumziwi, kwani hazikidhi maslahi dhalimu ya baadhi ya makundi ya watu wasiokuwa na nia njema. Asiposimama kiongozi na kuzungumza hili na kulipuuzia, basi tuna hatari kubwa ya huko baadae.
 
Tuangalie tunapoleta hoja kwanza tuwe tumezifanyia utafiti wa kutosha. Nafikiri wanaohusika hawatadharau hoja hizi.
 

Kwa nini kwa kujificha? Unataka tuone ni mafunzo ya kawaida...
 
Ukiangalia Hapa wale wafuasi wa CHADEMA ndio wanapayuka kuhusu uislamu...
Mkiambiwa chama chenu cha Kikatoliki na Kichaga Mnabisha....

Mkatazeni kwanza Padri wenu Kuchukua wake za watu Kabla Hamjawakataza waislamu Kufanya Mazoezi ...
 
Narudia tena nyumba za ibada kazi yake halali inayotambulika kihalali ni ibada tu kinyume na hapo ni kuvunja sheria otherwise mafunzo ya kujihami ni sehemu ya ibada!
Narudia tena Nigeria jana wametangaza hali ya hatari (state of emergency) maana yake sasa ni vita haswa kati ya jeshi na boko haram.
Huu ujinga utatugharimu tusipojirudi kuilinda nchi yetu ipo siku wewe unayeweka siasa kwenye mambo haya utajikuta umekimbia na paka ukizani ulibeba mtoto huku hujui mkeo alipo!
hata kama hizo judo zingekuwa zinafanyika parokiani kwangu zikiendeshwa na mapadre ningelaani kwa nguvu zote.
 
Ingekuwa vyema kama hzo nguvu na muda wanoutumia kuwafundisha judo na karate wangeelekezea KTK kilimo cha umwagiliaji
 
Usalama wa taifa mwende pale kiwalani kuna msikiti ndani kuna magodauni wamezungusha ukuta na wapo waislamu wenye itikadi kali na vitoto vidogo wanavifundisha kareti jiulize dini na kareti vinahusiana nini?...na kuna waarabu hufika pale na kuondoka gafla hawajulikani wanatokea wapi wao hugawa pesa na misaada ya vyakula tu,hao waliomo ndani humo huwa hawafanyi kazi yoyote zaidi kareti na kusali,usalama wa taifa hii nchi hauna umekaa bize na sinema za kina lwakatale waende kule sisi tunawapa habari nyie mpo kimya tu nyambafuuu zenu
 

Mkuu acha kukariri kwani Uislam unahimiza mazoezi na ni ibada pia,,unaweza kupgana Judo kwa Bunduki kweli? nina wasiwasi kama wewe ni Great Thinker kweli au unaandika ukiwa na Hang Over au kwa kutumia Masaburi.
NB:
Wakuu thread kama hizi ni unaangalia na kuicha tu kwani inazidi kuleta chuki na sijui kwa nini Wakuu hamuifuti? Kiukweli mwaka huu ukiisha Jamii Forums inaweza ikapoteza uhalisia wake kwa thread za kipuuzi kama hizi mtu anajisikia tu kuandika tu chochote kama Twitter vile tena bila uchunguzi wowote.
 
Siku zote busara za binadamu huweza kipimwa kwa kauli na matendo yake humu jf kunawatu kwa kauli zao tu utajua wazi kuwa busara zimewakaa kushoto kwa kuendekeza kauli za kejel;uzushi na hata uchochezi؛
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…