Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi naona si busara kuitaja hiyo misikiti kwani wahusika aliowaomba wafuatilie wakifanya hivyo wataifahamu tu. Kuitaja ni kuleta ugomvi na marumbano yasiyokua na msingi waswahili walisema lisemwalo lipo hivyo ni vema wanausalama wakafuatilia bila kua biased. Unajua machafuko yatokeapo hayatajali imani ya mtu ndugu yangu wote tutawekwa kundi moja haina maana kua walio na imani fulani watapata mahitaji yote muhimu kama maji ,madawa ,na chakula nyakati hizo la hasha huduma zote zitasimama . Tumuombe mola atupe kheri
Baadhi ya Misikiti ina vyumba vya siri vinavyotumika kufundishia kareti na judo. Mafunzo hutolewa kwa vijana wa kiume angali wakiwa wadogo. watoto hufundishwa ili hali wakijengwa kisaikolojia kuwa ipo siku watakwenda kumpiga khafiri. Mifano mizuri iko Kigoma Ujiji. Misikiti ya ujiji ina maeneo maalum ya kufundishia judo na kareti na mafunzo hayo yanatolewa kwa vijana wa kiislam tu ndani ya vyunba hivyo. Pia baadhi ya misikiti Manispaa ya iringa inayo maeneo hayo. Na milangoni wanaandika, "Si ruhusa kuingia kama si mhusika"
Kutokana na hili vyombo vya usalama fanyeni uchunguzi kwani kumjenga mtoto kisaikolojia ili awe tayari kupanbana na khafiri ni hatari na inaweza kuwa sehemu ya kuandaa watu hatari kwa taifa la baadae.
hapa jukwaani pia kuna mafirauni na mashetani....kwa hiyo unataka padre mzinifu mvunja ndoa za watu akainajisi ikulu?
hicho kikao mwenyekiti alikuwa nani kilikaa tarehe ngapi tujuze mkuu.
Usiangaike kutafuta ikiwa Kiwalani au wapi, ni vile hawana uwezo wa waalimu na vifaaa vinginevyo ilitakiwa kila panapo madrasa pia panatakiwa pawepo na eneo kwa ajili ya michezo yote; Karate, mpira wa miguu, riadha nk. Hii karate inapewa msistizo kutokana na ukweli kwamba karate ni mchezo unaotumia akili nyingi na vigumu kuucheza majumbani kwa watoto tofauti na michezo mingine kama soka. Tuacheni kufikiria ujinga, tatizo la Tanzania ni umaskini na huduma mbovu za kijamii zinazoletwa na mafisadi wanaolindwa na ccm, so shime tuitoe ccm tu madarakani haya mengine ni repercussions za uduni wa hali za watanzania ndio unaona matukio ya ajabu ajabu yanayotoke!
Baadhi ya Misikiti ina vyumba vya siri vinavyotumika kufundishia kareti na judo. Mafunzo hutolewa kwa vijana wa kiume angali wakiwa wadogo. watoto hufundishwa ili hali wakijengwa kisaikolojia kuwa ipo siku watakwenda kumpiga khafiri. Mifano mizuri iko Kigoma Ujiji. Misikiti ya ujiji ina maeneo maalum ya kufundishia judo na kareti na mafunzo hayo yanatolewa kwa vijana wa kiislam tu ndani ya vyunba hivyo. Pia baadhi ya misikiti Manispaa ya iringa inayo maeneo hayo. Na milangoni wanaandika, "Si ruhusa kuingia kama si mhusika"
Kutokana na hili vyombo vya usalama fanyeni uchunguzi kwani kumjenga mtoto kisaikolojia ili awe tayari kupanbana na khafiri ni hatari na inaweza kuwa sehemu ya kuandaa watu hatari kwa taifa la baadae.