FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Ni kwanini hadi leo tunasumbuliwa na Panya road? Kazi ya Usalama wa taifa ni nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kwanini hadi leo hawajatupa namba za NIDA za panya road wote Tz? Why?!Usalama wa Taifa ni Idara iliyo chini ya Ofisi ya Rais, Utawala Bora.
Usalama wa Taifa siyo Mamlaka (Authority), kwa hiyo haina mamlaka ya kutoa taarifa wala kufanyia kazi taarifa, bali kazi yao ni kukusanya taarifa na kuzipeleka taasisi husika ili zifanyiwe kazi kulingana na majukumu ya taasisi iliyopelekewa taarifa hizo
DuhUsalama wa Taifa ni Idara iliyo chini ya Ofisi ya Rais, Utawala Bora.
Usalama wa Taifa siyo Mamlaka (Authority), kwa hiyo haina mamlaka ya kutoa taarifa wala kufanyia kazi taarifa, bali kazi yao ni kukusanya taarifa na kuzipeleka taasisi husika ili zifanyiwe kazi kulingana na majukumu ya taasisi iliyopelekewa taarifa hizo
Sheria ya TISS ni kwamba hawahusiki na Law Enforcement.Hio ni kazi ya PoliceNi kwanini hadi leo tunasumbuliwa na Panya road? Kazi ya Usalama wa taifa ni nini?
Good idea, hili lifanyikeSo simple tu
Waambieni wananchi HUKO MITAANI WAPIGE KURA ZA SIRI
30 min mnao panya road KIGANJANI
Wakisikia KURA ZA SIRI ZINAPIGWA...Mitaani watakimbia hiyo mitaandao yao
Watupe taarifa za namba za NIDA za panya road wote Tz, au hiyo nayo si kazi yao? Kazi yao ni ipi?Sheria ya TISS ni kwamba hawahusiki na Law Enforcement.Hio ni kazi ya Police
Kazi za usalama wa taifa ni kulinda usalama wa rais na viongozi wa juu wa nchi. Kazi nyingine ni kufuatilia nyendo za watu mbalimbali wanaoweza kuathiri uelekeo wa nchi, mfano viongozi wa majeshi, wabunge, baadhi ya watumishi wa umma, mawaziri, wakuu wa vitengo serikalini, wakuu wa mashirika, waasiasa, viongozi wa vyama vya siasa, viongozi wa makanisa, watu wenye utajiri mkubwa, watu maarufu nk.Ni kwanini hadi leo tunasumbuliwa na Panya road? Kazi ya Usalama wa taifa ni nini?
Hahahahh, u r not seriousKazi za usalama wa taifa ni kulinda usalama wa rais na viongozi wa juu wa nchi. Kazi nyingine ni kufuatilia nyendo za watu mbalimbali wanaoweza kuathiri uelekeo wa nchi, mfano wabunge, baadhi ya watumishi wa umma, mawaziri, wakuu wa vitengo serikalini, wakuu wa mashirika, waasiasa, viongozi wa vyama vya siasa, viongozi wa makanisa, watu maarufu nk.
Bila kusahau kudhibiti hali ya mambo pale ambpo nchi inaingia kwenye uchaguzi mkuu. Kufanya udukuzi na kuingilia harakati za vyama, vya siasa, kufanya hujuma kwa maelekezo ya waliopo madarakani, mpaka kuiba uchaguzi pale inapobidi.
Hao panya road hawana uwezo wa kubadili uelekeo wa nchi. Mpambane nao tu nyie wananchi mkisaidiwa na polisi wachache tu. Mnawaweza.
That is the truth. Meza tu hivyo hivyo.Hahahahh, u r not serious
Rpc na Ocd wa maeneo husika wanapaswa kupewa ushirikino na raia wema ili kuwakabili hao panya.Ni kwanini hadi leo tunasumbuliwa na Panya road? Kazi ya Usalama wa taifa ni nini?
Kuna wakati fulani kulikuwa na watoto wa kihuni ilala,wanaitwa cha ukuchaGood idea, hili lifanyike
Ni kwanini hadi leo tunasumbuliwa na Panya road? Kazi ya Usalama wa taifa ni nini?
Usalama wa Taifa ni Idara iliyo chini ya Ofisi ya Rais, Utawala Bora.
Usalama wa Taifa siyo Mamlaka (Authority), kwa hiyo haina mamlaka ya kutoa taarifa wala kufanyia kazi taarifa, bali kazi yao ni kukusanya taarifa na kuzipeleka taasisi husika ili zifanyiwe kazi kulingana na majukumu ya taasisi iliyopelekewa taarifa hizo