Usalama wa taifa kazi yao nini? Watuambie Panya road ni akina nani?

Usalama wa taifa kazi yao nini? Watuambie Panya road ni akina nani?

Ni kwanini hadi leo tunasumbuliwa na Panya road? Kazi ya Usalama wa taifa ni nini?
mbona panyaroad wameishakamatwa mkuu polisi wanafanya kazi nzuri sana polisi wanamfumo wa upelelezi kama wa tiss tu ndio mana wale panyaroad wa chanika na kunduchi wako central pale wanapata chai yao saizi
 
Sawa lakini Hawa huripoti kila kitu hata mvua ikinyesha wanaripoti,kwanini hawajaripoti suala la panya road?
polisi wana mfumo wao wa kupata taarifa ndio mana wameweza kuwapata panyaroad wote kwa urahisi kuna jamaa yangu yuko kwenye iyo operation wamevidaka kama kuku wamekandwa vizuri wakaongea kila kitu
 
Usalama wa Taifa ni Idara iliyo chini ya Ofisi ya Rais, Utawala Bora.

Usalama wa Taifa siyo Mamlaka (Authority), kwa hiyo haina mamlaka ya kutoa taarifa wala kufanyia kazi taarifa, bali kazi yao ni kukusanya taarifa na kuzipeleka taasisi husika ili zifanyiwe kazi kulingana na majukumu ya taasisi iliyopelekewa taarifa hizo
Sasa huoni kwamba hili pia ni kazi yao..nilitegemea kabla halijatokea waweweshalijua na weshatoa taarifa...pia hata baada ya kutokea wao ndio wangetoa taarifa hili kundi likoje linajiendeshaje naeeting point ni wapi..mambo kama hayo..sasa kama kikundi kidogo kama hicho kinasumbua hivo taifa je wakija wajuzi tutajua kweli.
 
Sasa huoni kwamba hili pia ni kazi yao..nilitegemea kabla halijatokea waweweshalijua na weshatoa taarifa...pia hata baada ya kutokea wao ndio wangetoa taarifa hili kundi likoje linajiendeshaje naeeting point ni wapi..mambo kama hayo..sasa kama kikundi kidogo kama hicho kinasumbua hivo taifa je wakija wajuzi tutajua kweli.
Unaweza ukawa na taarifa ukampa mtu ili azifanyie kazi. Mtu husika akapuuzia.

Hapo huwezi kujua pengine walitoa taarifa ila hazikufanyiwa kazi ipasavyo
 
Kazi za usalama wa taifa ni kulinda usalama wa rais na viongozi wa juu wa nchi. Kazi nyingine ni kufuatilia nyendo za watu mbalimbali wanaoweza kuathiri uelekeo wa nchi, mfano viongozi wa majeshi, wabunge, baadhi ya watumishi wa umma, mawaziri, wakuu wa vitengo serikalini, wakuu wa mashirika, waasiasa, viongozi wa vyama vya siasa, viongozi wa makanisa, watu wenye utajiri mkubwa, watu maarufu nk.

Kazi nyingine ni kudhibiti hali ya mambo pale ambpo nchi inaingia kwenye uchaguzi mkuu. Kufanya udukuzi na kuingilia harakati za vyama vya siasa, kufanya hujuma kwa maelekezo ya waliopo madarakani, kufuatilia na kuvuruga mikakati ya wapinzani, kushawishi baadhi ya sera, mpaka kuiba uchaguzi pale inapobidi ili kutimiza malengo maalum yaliyoamuliwa na baadhi ya watu waliojipa jina la deep state.

Hao panya road hawana uwezo wowote wa kubadili uelekeo wa nchi. Panya road wanawaibia wananchi wanaoishi maeneo ya kimaskini tu. Panya road ni sehemu ya uholela wa makazi duni. Wengi wamekulia huko huko wanakotamba. Huko hata polisi hawahangaiki kuweka ulinzi. Panya road hawawezi kwenda maeneo ya wenye kipato cha juu kamwe.

Mpambane nao tu nyie wananchi wanyonge mkisaidiwa na polisi wachache. Hao ni watoto wenu mliokua nao huko uswazi, mkawapa malezi duni, elimu duni na maadili duni. Msilazimishe usalama wa taifa waje waangalie familia za watu wasio na maadili. Siyo kazi yao.
Huenda we sio Mtanzania
Ama wewe ni wale mnaobana pua na kujiona mnamaisha mazuri.
Okay
 
Watanzania muamke. System na TISS wameibua suala la panya road ili muache kujadili ripoti ya CAG
 
Ni kwanini hadi leo tunasumbuliwa na Panya road? Kazi ya Usalama wa taifa ni nini?
Hata kama sijuwi ila usalama wa taifa hayo si ajukumu yaohaya ni majukumu ya jeshi la polisi.Rejea ktk swali lako na uache uvivu kufikiri vema.Umesma usalama wa taifa hilo neno jibu tosha labda ungeomba ufafanuzi kiundani.Hawa usemao panya road wanahatarisha usalama wa raia na mali zao.
 
Huwa najiuliza nikiona apple [emoji519] za nje zinauzwa Tz ,vitunguu na matikiti majinya Tz yanaozwa Kenya Kwa wingi tena nasikia Kenya Wana export hayo mazao Yani vitunguu,matikiti,na machungwa Kwa wingi kutoka Tanga to Nairobi then Europe kinachonifanya nijiulize ni hiki!!
1) kwann tiss isitunguze apple pendwa ijulikane zinatoka wapi na zinakua Katika Hali Gani ili zipandwe hapa kwetu !??namaanisha Yani mtu wa tiss aende zinapotoka aje na info kuwa udongo ukoje,Hali ya hewa ikoje,uchavushaji mbegu ukoje na mbegu zinapatikanaje Kisha hapa Tz wapi zaweza ota!?
2) vitunguu ,machungwa ,matikiti yanayushwa na malori Kwa wingi hasa namanga na holili,kwann tiss wasifatilie wajue Kila kitu kuwa after Kenya mzingo unauzwa wapi ili na sisi tuuze nje badala ya wakenya kudhulimu wakulima wetu Kwa bei za hovyo!?
 
Huwa najiuliza nikiona apple [emoji519] za nje zinauzwa Tz ,vitunguu na matikiti majinya Tz yanaozwa Kenya Kwa wingi tena nasikia Kenya Wana export hayo mazao Yani vitunguu,matikiti,na machungwa Kwa wingi kutoka Tanga to Nairobi then Europe kinachonifanya nijiulize ni hiki!!
1) kwann tiss isitunguze apple pendwa ijulikane zinatoka wapi na zinakua Katika Hali Gani ili zipandwe hapa kwetu !??namaanisha Yani mtu wa tiss aende zinapotoka aje na info kuwa udongo ukoje,Hali ya hewa ikoje,uchavushaji mbegu ukoje na mbegu zinapatikanaje Kisha hapa Tz wapi zaweza ota!?
2) vitunguu ,machungwa ,matikiti yanayushwa na malori Kwa wingi hasa namanga na holili,kwann tiss wasifatilie wajue Kila kitu kuwa after Kenya mzingo unauzwa wapi ili na sisi tuuze nje badala ya wakenya kudhulimu wakulima wetu Kwa bei za hovyo!?
Tiss wengi ni weupe
 
Panya road ni watoto wa mtaani, yaani street children na ni watoto wenu kuho huko mtaani.
 
Usalama wa Taifa ni Idara iliyo chini ya Ofisi ya Rais, Utawala Bora.

Usalama wa Taifa siyo Mamlaka (Authority), kwa hiyo haina mamlaka ya kutoa taarifa wala kufanyia kazi taarifa, bali kazi yao ni kukusanya taarifa na kuzipeleka taasisi husika ili zifanyiwe kazi kulingana na majukumu ya taasisi iliyopelekewa taarifa hizo
Kiufupi Hao watu sio Law enforcers, There are there to Collect, analyse and advice authorities zenye mandate ya kui enforce law kama Police
 
Back
Top Bottom