Usalama wa Taifa: Mpo likizo?

Usalama wa Taifa: Mpo likizo?

Status
Not open for further replies.
Mwafrika wa Kike:
I am absolutely flabbagasted by this male chauvenist ZalendoHalisi.

Kwa nini wewe MwK you have time with such a sick mind? Huoni anatafuta njia za kukusitisha kwa kukupaka matope?
Anaacha kuongelea mambo yanayohusika, yeye anaongelea MwK!

Usikatishwe tamaa na watu kama hawa, kwani unagusa maslahi yao hawa.

Bwana Kalamu

Nadhani siyo vizuri kuitana majina ya jumla jumla. Nisengependa kukuita jina ambalo wewe hustahili kuitwa hasa kama sijasoma vizuri posting yako. As far as I am concerned I don't have a sick mind and I am not a male chauvinist, I don't think of you either; so by whose authority do you have the guts to label me one?.

Sitachambua maandishi yako kwa kina ila his statement yako "I am absolutely flabbagasted by this male chauvenist ZalendoHalisi" (sic) hijakaa vizuri. Just read it again halafu ujiulize je una haki kuandika maneno kama hayo kutokana na posting yangu au kwa vile una uhuru wa kuandika chochote? Sawa baba mshindi wewe! I really pity your pathetic ignorant conclusion.

Lakini kwa vile Mwafrika wa Kike ameelewa nilichokuwa namaanisha, wewe msomaji usiyehusika kutokuelewa kwako .. ruhksa! Kwa vile akili ni nywele na kila mtu ana zake. Pia una haki ya kunielewa upendavyo na nitaheshimu perspective yako lakini sikubali matusi yako, samahani sana, I am not amused.

Mwanamke wa Kike is a woman enough to defend herself need it be so, and she does not need your help for that matter and she did not ask for help as there was no need for it..

Anyway, let us move on as one of us could be really sick mentally as purported.
 
Hilo la TRA ni jingine tutalivalia njuga, nakuomba MH uanzishe Thread yake wenye nondo, mawe na moto wa Gas Songosongo wapo hapa wamejaa tele.

Lakini kwa kipande ya Muda huu tuongelee BOT Kihenge Chetu.

Acknowledged na hayo mawe na gesi zinaandaliwa Mkuu!!
 
TISS TISS TISS TISS.

Hii ni Money Laundring.

Kwa kawaida ML ni kitendo cha kuchukua Fedha Chafu ilotokana na Biashara haramu na kuiingiza kwenye System ya Kibenki ili itumike kama Fedha ya kawaida.
Viongozi wakiiba Fedha za serikali hutumia ML kuiingiza fedha kwenye mfumo wa kawaida na kuendelea kutesa nayo.'
Wauza Unga nao hufanya hivyo ili kuwezesha fedha yao itumike kwa shughuli za kawaida.

Katika EA nchi zilizo kuwa msatari wa mbele katika Biashara hii ni Rwanda Burundi,Somalia na Kenya.
Rwanda Burundi na Somalia wameonja joto ya jiwe kwa kukumbatia biashara hii chafu ambayo wakati mwingine huhusisha hata biashara ya kuuza watu viungo vya watu na hata roho zao.
SISIEMU na serikali yake wamefanya ML kwa kuchota fedha za BOT na kuzigeuza fedha za Haramu za kuibia ushindi wa 80% mwaka 2005.

SISIEMU na serikali yake wametenda kosa la Jinai na wanastahili adhabu kuu.

Ninawapa Ole, wasijidanganye kwamba mwaka 2010 watafanya huu mchezo halafu wapone. wakati wa Kunguru wa Zanziba kula nyama zao kwenye viunga vya nyumba zao umefika.

Kilichofanyika hapa ni kuchukua Fedha halali katika mzunguko halali na (kuiFua) Money Laundring na kuiingiza kwenye mfumo Haramu ili itumike kuhonga na kununu kura wapate kuendelea kukalia viti vya serikali.

Hii ni Money Laundring ya kawaida kabisa isipokuwa hii ni Local wala mtu asituambie ingekuwa ML kama fedha zingevuka nchi.

Uharamia huu wa KuFua fedha ndo Dalili moja kwamba Viongozi wa SISIEMU ni MAFIA na watu wakuogopwa kama kuogopa kula vitu(SEX) na mshikaji mwenye UKIMWI.

Tangu lini wanatumia Kampuni hewa kupitishia fedha za usalama wa Taifa ?

Kwa kumwogopa nani?

SISIEMU endeleeni kubweteka na na hilo genge la wenye vibuduki na majigambo ya kijivuni.

Uhakika nilio nao ni wa aina moja tu.
Hii so ya Wizi wa Fedha ya umma mtaizima kwa damu zenu wenyewe wala hakuna namna nyingine iwe ni miezi 6 ijayo au ni miaka 10. Tena mtaizima soo hii Mkiwa hai kabla hamjarudisha namba zenu, ni lazima sehemu ya damu yenu itumike kuzima soo hili linalo lipeleka Taifa kwenye umasikini wa kujitakia wenye kuua Roho nyingi za Watanzania wasio na Hatia.

Sisi tumeanzisha Kitalu cha MIBIGILI(miiba) ikikua tunaipandikiza nyuani mwenu, vitandani kwa wake zenu na mahawala zenu na juu ya viti mkaliavyo huko ofisini, tuone maumivu yakiwadata na vilio vya mbwa mwizi vikianza;hivyo vibunduki vyenu vya mfukoni mtamwelekezea nani, au mtaishia kujitwanga Risasi za miguuni.

Hakuna TISS kuna MONEY LAUNDRING na SISIEMU is to blame.
 
Katika vitu ambavyo viliondoa credibility ya Slaa na mafisadi wa ngono wenzake kwenye donor community, kwa wasomi na wafanyabiashara ni kutangaza kwenye hiyo dossier kwamba neno TISS kwenye transactions walizoona maana yake ni Tanzania Intelligence and Security Service. Hata teller pale Mwanga Community Bank atakwamba TISS kwenye banking jargon manake ni Tanzania Inter-bank Services System. Usalama wa taifa is so incompetent lakini sio kwenye kiwango cha kuandika TISS kwenye transactions, labda wataandika Kagoda Agriculture.

Halafu mpenzi, unajikuza sana kutangaza vita na usalama wa taifa kwasababu they are incompetent as to know kwamba upo Ohio. Na pili who the f are you to deserve their attention?

Kaka elimu muhimusana then wanataka tuwape kazi BOT
 
Duh...UFISADI kila Department ya Serikali....

Mkapa alipokuwa anashambuliwa na Magazeti ya Ulimwengu (Kabla hayajauzwa) juu ya RUSHWA na UFISADi..alisema haya wakati yupo ZIARANI Tabora..."WAO wanatusema sie, na wao watueleze walipata wapi pesa za kuanzisha Magazeti yao" Kimsingi Mr Clean anajua kuwa kila alieanzisha MRADI MKUBWA pesa KAIPATAJE...
 
Bwana Kalamu

Sitachambua maandishi yako kwa kina ila his statement yako "I am absolutely flabbagasted by this male chauvenist ZalendoHalisi" (sic) hijakaa vizuri. Just read it again halafu ujiulize je una haki kuandika maneno kama hayo kutokana na posting yangu au kwa vile una uhuru wa kuandika chochote? Sawa baba mshindi wewe! I really pity your pathetic ignorant conclusion.

Zalendohalisi,

Kalamu alisema kile ambacho hata mimi nilifikiria immediately nilivyosoma hiyo statement yako kuhusu mimi na ndugu yako. Kwa sasa nadhani Kalamu amefanya vyema kusema kile ambacho mimi nilisita kusema na afadhali na wewe umekuja back na kuelezea what you real maanisha.

Lets move on, watu wengi sana wanapata shule kutoka kwa post zenu hapa so far na sioni kama ni vyema zipotee kwenye wording ya postings!

Asante.
 
Niambie ndugu yangu maana kila mtu kulingana na alichosomea shuleni ana tafsiri yake tofauti ya neno system. Wanauchumi wana tafsiri tofauti ya system na ile ya madakitari.

Tafsiri yako ni ipi?

Zomba sounds more like a Zombi.Do you really expect him to be able to tell you his definition of " system ".
They are the inventors of corruption,and the perpertrators of UFISADI in TZ
 
Duh...UFISADI kila Department ya Serikali....

Mkapa alipokuwa anashambuliwa na Magazeti ya Ulimwengu (Kabla hayajauzwa) juu ya RUSHWA na UFISADi..alisema haya wakati yupo ZIARANI Tabora..."WAO wanatusema sie, na wao watueleze walipata wapi pesa za kuanzisha Magazeti yao" Kimsingi Mr Clean anajua kuwa kila alieanzisha MRADI MKUBWA pesa KAIPATAJE...

Behind every great fortune lies a great crime.
Honore de Balzac
 
Wana JF,

Tanzania 1 ametamka neno lisilotamkika ambalo naamini lina mkono mkubwa tu katika masoo yote. Wahenga walisema "mafahali wawili hakai zizi moja". Hilo ni kweli, lakini hata kama kuna zaidi ya fahali moja, basi mmoja wao ndio atakuwa Fahali Mkuu.

Binafsi naona kuwa kiinimacho kinachoendelea kila siku ni danganya toto ya kuficha ukweli mkubwa. Usiri ni jambo ambalo limemtawala Fahali Mkubwa na huwa ni mwerevu na katili kupindukia pale inapobidi kulinda usiri. Wakati mwingine usiri huo haufichwi kwani mazingaombwe yake yanakufanya usione kitu kilicho hadharani.

Kitu kikubwa cha kujua kuhusu Fahali Mkubwa ni kwamba, size does not matter. Kama mafahali wadogo wamenona na kuwa na nguvu mbalimbali (nguvu za mwili, pembe ndefu, mbio,etc)bado atakuwa anamheshimu na kumsikiliza Fahali Mkuu. Wakati mwingine Fahali Mkuu anaweza kuruhusu mafahali wengine "waendeshe boma" huku yeye akiwa pembeni lakini wote wanajua nani zaidi.

Unaweza kujiuliza kwa nini nazungumzia mambo ya mafahali na Fahali Mkuu. Kwa jinsi mambo yanavyoendelea, ninapata nadharia kuwa ufisadi wote unaoendelea ni kazi ya mafahali chini ya Fahali wao Mkuu. Mtandao wa mafisadi ni mkubwa sana na wakutisha. Fisadi mmoja, JP, anasemekana ameshawahi kuua (yeye binafsi) watu kadhaa waliopita kwenye anga zake. Katika boma hili la ufisadi, kumtosa kafahali kamoja ili kulinda mafahali wengine hususan Fahali Mkuu ni jambo dogo sana. Chukua mfano wa gavana mtenguliwa, Ballali. Ninahisi alikuwa katika kundi la mafahali bila kujijua kuwa anatumiwa. Aliletwa na BWM ambaye nafikiri ni fahali ingawa si mkuu. Lakini gavana mtenguliwa kwa sasa anatambua jinsi alivyochezewa na mafahali wengine (wamo hata kwenye TISS ya usalama...hawa wako kila kona, mahakamani, polisi, you name it)na sasa anacheza karata. Siamini kweli gavana mtenguliwa anakaa chini akifurahia shutuma za ufisadi zinazoletwa kwake kila kukicha na kukaa bila kujitetea. Pia kitendo cha kujiuzulu kwake kukanwa na Ikulu kumempa picha mpya. Naamini huyu bwana anataka kuwa makini ili kwamba akijitetea, ajitee kwa kutoa ukweli wote na watu wote wasikie. Pia, anataka ajiandae kwa kile kinachoweza kumpata pale atakapotoboa siri. Mafahali hawapendi siri zao zitoke kama nilivyosema awali na watafanya chochote wawezacho chini ya anga kuzitunza siri hizo.

Basi, na sisi tufanyeje? Tuendelee kuufichua ufisadi na hawa mafahali watapunguza makali kidogo. Cha msingi tusiogope kujitoa mhanga. Namuonea huruma gavana mtenguliwa kwani ametegwa na ni vigumu kujinasua. Kwa upande mwingine mafahali wataendelea kuwa matawi ya juu huko mitaa ya kati ya Ocean na Moringe wakitanua na Road Runners zao.
 
Msisahau kuwa Mafisadi hawaishii kuwania kutawala milele bali pia kurithi mbinu za kujikinga kwa sheria na jadi. Nafiki ni vema nitaabaishe kuwa Kikwete mdogo baada ya kuhitimu UDSM alikwenda IMMA kujifunza hizo kinga za kisheria kutoka kwa Ishengoma. Na baada ya Uchaguzi Ishengoma alifanya pati ya kufa mtu pale Mbezi Beach kwake kusherekea manunuzi ya gari mpya toka Japan. Kwa maneno yake Ishengoma hakuwahi kununua gari mpya toka azaliwe. Na wajua wahaya kwa mambo kama haya....
 
TISS wanamiradi mbali mbali waliyofunguliwa tangu enzi wa mwalimu ndani na nje ya nchi...tena kipindi kile ujasusi ulikuwa muhimu ukiangalia hali ya ukombozi ..sio hawa wa sasa hivi hawana kazi wanayofanya zaidi ya misafara na kunyonya wanyonge,,,,..

mahotelli yao yaliyopo ulaya[ujerumani,uingereza],nyumba ,mahoteli kama ile pale iliyokuwa biashaara consumer ....

miradi yao yote wanaiba ???
 
jk mdogo bado yupo imma...nafikiri ni partner kiaina...kuna kazi zinakuja pale kupitia yeye..anavuta pesa nzuri....
 
Mimi wala sisumbuki na Mkapa maana najua hakuna la zaidi litatendeka kwake.

Ila moja tu, kama rais wa nchi mstaafu, madudu yanapoanikwa kwa wananchi ni fedheha na aibu kubwa sana kwako.

Hamfahamu tu lakini adhabu hiyo haina tofauti na wale walioko gereza la Keko!!!

Adhabu zina machungu mbalimbali na tofauti kwa watu!!!!

Mfano adhabu kubwa kwa Mzee Mwanakijiji, ni Kulipua kijiji chake na Kushinda kuaccess JF kwa wiki moja!!!

Adhabu kubwa ya MWK ni CCM inapotekeleza ahadi yake at least moja!

Adhabu kubwa kwa JK, ni neno Mafisadi linapotamkwa!!!

Adhabu kubwa kwa Spika ni anaposikia jina la Mh. Zitto Kabwe.
 
aidi ya kusema thanx mwafrika wa kike sidhani kama nina mijineno mingi

nimechimba mhogo wangu naugegeda na juisi ya miwa hapa huku nikiikomboa fikra yangu ktk thread hii.

mwafrika ujue nakuzimia sana kama ningekuwa sijaoa walwah ningekusaka popote pale maana ninausoma uzalendo wako ktk hoja zako.

Hawa usalama wa taifa ambao wanajitetea hapa ni kuwa wamefundishwa kuwa wazalendo kwa nchi yao na ninashangaa pale wanapokuwa wazalendo kwa mafisadi. Wenye nchi ni sisi wananchi hivyo wakifanya anything against sisi wajue wanasaliti viapo vyao...
 
FISADIST sawa sawa wapashe hao wanaa ambao wanafikiri TISS ni usalama wa Taifa. Wanoko wakubwa hao
 
FISADIST sawa sawa wapashe hao wanaa ambao wanafikiri TISS ni usalama wa Taifa. Wanoko wakubwa hao

Kwi kwi kwi,

Hili limewakalia pabaya no wonder walianza kutafuta viskendo kibao dhidi ya Dr Slaa na kusambaza email chafu dhidi yake. Both ways ya benki na maelezo yaliyotolewa baadaye na Balali na wadosi wa BoT walisema kuwa pesa za Tangold zimehamishiwa usalama wa taifa (TISS) na kuwa biashara nzima ya pesa za Tangold na DeepGreen ni ya mambo ya kiusalama.

Sasa kazi kwao sasa. Wakiamua kuiita hii TISS kuwa ni ile system ya kibenki ya pesa basi waje wazi na kusema kuwa ni nani exactly aliye behind hilo neno TISS na hiyo account au benki ni ipi hapa ilitumika kupekea mapesa yote haya. Na kama watatumia vitisho kama walivyompa Slaa kuwa asijadili hili swala kwa vile ni la usalama wa taifa basi watuambie pia ni nani walio behind na huo usalama wa taifa (TISS) wanaojaribu kuuficha hapa.

Last time walizani wameshinda walivyoanza kumkejeli Slaa katika hili. Kwa sasa document zilizokusanywa ni nyingi zaidi na unaona hata huyo gavana mpya ameanza kuwaita waandishi wa habari na kutoa ahadi (kama Kikwete) kuwa sasa atashughulikia suala la DeepGreen (soma ccm) na Tangold (soma ufisadi).

......
 
Ufisadi wa usalama wa taifa umewafanya kuwa mambumbumbu hata wasijue kuwa TISS inawahusu wao na kuitumia kila sehemu kwa vile walivyozoea. Fisadi mwingine wa ccm ameitafsiri hiyo TISS ambayo wewe unaiita Tanzania Inter-bank Service system kama Tanzania Internal Surveillance system.

Hii ni game ya maneno na so far kila mtu anaweza kuwaka lake kufunika TISS. Kuhusu attention na usalama wa taifa labda nikuulize wewe wa Ohio utueleze kilichotokea kwako miaka ile ulipokuwa mtawa katika kanisa la katoliki la boston

Hapa nakumbuka watu walipokuwa wakijaribu kukwepa kuamini kuwa UKIMWI upo wakaleta tafsiri ya neno "AIDS" wakasema is just an "AMERICAN IDEA of DISCOURAGING SEX" lakini ukimwi ukawa na uko pale pale. Maneno haya jargon utatafsiri unavyotaka lakini ukweli uko palepele, rejea maelezo ya Zakia Meghji kwamba aliambiwa asaini kwa kuwa fedha hizo ni za usalama wa taifa. Tatizo ni kwamba tunaposikia neno Usalama wa Taifa hutuogofya sana kana kwamba nchi iko vitani kwa hiyo huwi huru kuhoji.
 
Re: Usalama wa Taifa (TISS) kumejaa wezi na mafisadi

--------------------------------------------------------------------------------

Quote: fiSADIST
Katika vitu ambavyo viliondoa credibility ya Slaa na mafisadi wa ngono wenzake kwenye donor community, kwa wasomi na wafanyabiashara ni kutangaza kwenye hiyo dossier kwamba neno TISS kwenye transactions walizoona maana yake ni Tanzania Intelligence and Security Service. Hata teller pale Mwanga Community Bank atakwamba TISS kwenye banking jargon manake ni Tanzania Inter-bank Services System. Usalama wa taifa is so incompetent lakini sio kwenye kiwango cha kuandika TISS kwenye transactions, labda wataandika Kagoda Agriculture.

Halafu mpenzi, unajikuza sana kutangaza vita na usalama wa taifa kwasababu they are incompetent as to know kwamba upo Ohio. Na pili who the f are you to deserve their attention?

Kaka elimu muhimusana then wanataka tuwape kazi BOT

Now look at these disapointed fellows trying to change the topic.
Mwafrika wa Kike mwaka huu watashikwa vibaya hawa mafisadi. this is purerly Money laundering.
 
Wamiliki wa makampuni haya ni watu wa karibu na Mkurugenzi Mkuu wa Zamani wa Usalama wa Taifa. Exellent Services Limited-- Emil Samaya Peter Sabas na Elisifa Ngowi na Clyton Marcketing Ltd ya Edwin Mtoi na Elisifa Ngowi.... Huyu Elisifa yuko karibu mno nna Cornel Apson na makampuni haya mawili yamo katika list ya EPA
 
Wamiliki wa makampuni haya ni watu wa karibu na Mkurugenzi Mkuu wa Zamani wa Usalama wa Taifa. Exellent Services Limited-- Emil Samaya Peter Sabas na Elisifa Ngowi na Clyton Marcketing Ltd ya Edwin Mtoi na Elisifa Ngowi.... Huyu Elisifa yuko karibu mno nna Cornel Apson na makampuni haya mawili yamo katika list ya EPA


BILA KUSAHAU KUWA MTOTO WA APSON NDIYE ALIYEPEWA TENDA YA KUJENGA BENKI KUU ZANZIBAR

na kuonyesha kuwa like Father like son

walitaka kutapeli kwa kuimport POLISH LABORERS toka UK ili ionekane kuwa kazi inafanywa na wazungu professional!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom