Kipofu wa kujitakia wewe!Acha upotoshaji chombo hiki ni huru na hakina maslahi yoyote na CCM umejipachika kwenye chombo ili tuamini andiko lako la kuwa na wewe ni mmoja wa wana chombo kiacheni kifanye kazi sake kwa maslahi mapama ya Taifa hili
Kwani lazima u comment?Unataka TISS wawe upande wa wapinzani ambao ni wasaliti wa nchi yetu hasa Chadema wanaoshirikiana na maadui zetu wa nje? Unaona wanavyofurahia kukamatwa kwa ndege zetu huko nje? Uliona walivyokuwa wanashangilia magaidi waliokuwa wanauwa wananchi wa Kibiti? Wapinzani ni maadui wa TZ hivyo TISS hawawezi kuwa upande wao. Washauri kwanza hao wapinzani waache usaliti kwanza kwa nchi yao!
Hapo kunakitu umeniongezea!.Pengine Kigezo mojawapo ili kuwa mwanausalama ni kuwa ccm damudamu sasa utawatenganishaje?[emoji38][emoji38]
Nimekueleza mfano mdogo walivyosaidia katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa kuanzia uandikishaji, vetting ya wagombea wa CCM na wakati wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa!.Mtoa taarifa andiko lako limejaa hisia za uchama kuliko fact, hujaeleza wamesaidiaje na maeneo gani?
Nadhani huu ndio ukweli wenyewe, lakini ninachojiuliza huo mfumo wanaotumia bado unasaidia Taifa letu kwa kipindi hiki au ulikuwa unasaidia sana kipindi kile cha ujamaa na mfumo wa chama kimoja?.Ni ngumu tumefata mfumo Wa ujamaa chama ndo umiliki dola.Kazi ya tiss,polisi,nk ni kulinda chama.Mfumo wa magharibi dollar hailindi maslai ya chama bali dola ulinda nchi
We jamaa, hujaelewa wapi mbona umepewa mfano ijapo yanayofanyika ya kutia aibu ni mengi wanayoyafahamu lakini hawachukui hatua!.Mtoa taarifa andiko lako limejaa hisia za uchama kuliko fact, hujaeleza wamesaidiaje na maeneo gani?
Sahihi hilo naanza kuliona!.Tiss wengi ni uvccm watoto wa makada hivyo ni ngumu kuipata professionalism tofauti na wenzetu wao uchagua smart people
Tueleze ilivyo saidia kuokoa bilions of money kwenye escrow account kama Ben Mkapa alivyokili?.Mwandishi wa taarifa hii ni mpotoshaji TISS ni taasisi yenye weledi na ina heshima kubwa duniani kwa utendaji wake uliotukuka na inaendesha shughuli zake pasipo kufungamana na upande wowote bali inatizama maslahi ya Taifa pekee.
Sawa ni mtizamo wako na tunaheshimu lakini kuna mahala katika andiko lako umeonyesha kama uko karibu na taasisi hii, sasaa kwanini hauwashauri na kuwapa mawazo yako mazuri huko? nami ni mtazamo wangu.Wana JamiiForums "msema kweli ni mpenzi ni mpenzi wa Mungu", hapo awali kabla sijawa karibu na Taasisi hii TISS nilijua na kuamini kuwa TISS ni washauri wa mambo ya kitaifa kwa maslahi ya Taifa na sio kwa maslahi ya CCM au kikundi cha watu fulani.
Niseme ukweli, nimeumia kujua kuwa wamekuwa wakijua uovu unaofanywa na CCM na kundi lake lakini hawachukui hatua kwa maslahi ya Taifa lao, jamii yao, ndugu zao na vizazi vyao wakiwa wamekwisha tangulia mbele ya haki.
Hivi ni kweli bado mpo kwa maslahi ya Taifa, kama ni kweli bado mpo kwa maslahi ya Taifa inakuwaje haya yanayopoteza mwelekeo wa Taifa letu yanafanyika mkijua, hamshauri au kuzuia yasifanyike kwa maslahi ya Taifa letu?
Nimeangilia mwenendo wa baadhi ya watumishi wetu katika ushiriki wa chaguzi zilizopita za Serikali za Mitaa, kweli nimeanza kuamini kuwa mpo sasa hivi kwa maslahi ya CCM na sio maslahi ya Taifa letu?
Naomba kuuliza tena, hivi vyama vya upinzani na wapinzani wapo kwa maslahi ya Taifa letu?, na kama wapo kwa maslahi ya Taifa letu kwa nini wanafanyiwa haya maovu na CCM lakini hamuwashauri nini cha kufanya kuondokana na changamoto zinazo wakuta kwa maslahi ya Taifa letu kama mnavyofanya kwa CCM?
Au ni lini mmewahi kushauri au saidia vyama vya upinzani kama mnavyo shauri na kusaidia CCM? Nasema hayo kwasababu ninajua na nimeona mlivyosaidia CCM kuanzia uandikishaji, vetting ya wagombea wa CCM na zoezi la uchaguzi, nk.
Nashauri tuachaneni au tuvunjeni ndoa na CCM vinginevyo tutaendelea kupoteza heshima ya Taasisi yetu tuliyojijengea ndani na nje ya Taifa letu, lakini ndoto zetu kama Taifa tutachelewa kuzifikia.
Hebu tuige kwa Taasisi kama zetu za Marekani, Izrael wanavyo handle issue za kitaifa maana wao hawafungamani na chama cha siasa au kikundi chochote, wao wanaangalia maslahi ya Taifa lao tu.
Nimtazamo wangu tu kwa issue za kitaifa, naomba mnivumilie sijui mitazamo yenu juu ya Taasisi yetu ya TISS kwa masuala ya Kitaifa.
Inasikitisha sana pale vyombo vya kitaifa tena vizito vinapochagua kuwa kikundi ndani ya chama cha siasaWana JamiiForums "msema kweli ni mpenzi ni mpenzi wa Mungu", hapo awali kabla sijawa karibu na Taasisi hii TISS nilijua na kuamini kuwa TISS ni washauri wa mambo ya kitaifa kwa maslahi ya Taifa na sio kwa maslahi ya CCM au kikundi cha watu fulani.
Niseme ukweli, nimeumia kujua kuwa wamekuwa wakijua uovu unaofanywa na CCM na kundi lake lakini hawachukui hatua kwa maslahi ya Taifa lao, jamii yao, ndugu zao na vizazi vyao wakiwa wamekwisha tangulia mbele ya haki.
Hivi ni kweli bado mpo kwa maslahi ya Taifa, kama ni kweli bado mpo kwa maslahi ya Taifa inakuwaje haya yanayopoteza mwelekeo wa Taifa letu yanafanyika mkijua, hamshauri au kuzuia yasifanyike kwa maslahi ya Taifa letu?
Nimeangilia mwenendo wa baadhi ya watumishi wetu katika ushiriki wa chaguzi zilizopita za Serikali za Mitaa, kweli nimeanza kuamini kuwa mpo sasa hivi kwa maslahi ya CCM na sio maslahi ya Taifa letu?
Naomba kuuliza tena, hivi vyama vya upinzani na wapinzani wapo kwa maslahi ya Taifa letu?, na kama wapo kwa maslahi ya Taifa letu kwa nini wanafanyiwa haya maovu na CCM lakini hamuwashauri nini cha kufanya kuondokana na changamoto zinazo wakuta kwa maslahi ya Taifa letu kama mnavyofanya kwa CCM?
Au ni lini mmewahi kushauri au saidia vyama vya upinzani kama mnavyo shauri na kusaidia CCM? Nasema hayo kwasababu ninajua na nimeona mlivyosaidia CCM kuanzia uandikishaji, vetting ya wagombea wa CCM na zoezi la uchaguzi, nk.
Nashauri tuachaneni au tuvunjeni ndoa na CCM vinginevyo tutaendelea kupoteza heshima ya Taasisi yetu tuliyojijengea ndani na nje ya Taifa letu, lakini ndoto zetu kama Taifa tutachelewa kuzifikia.
Hebu tuige kwa Taasisi kama zetu za Marekani, Izrael wanavyo handle issue za kitaifa maana wao hawafungamani na chama cha siasa au kikundi chochote, wao wanaangalia maslahi ya Taifa lao tu.
Nimtazamo wangu tu kwa issue za kitaifa, naomba mnivumilie sijui mitazamo yenu juu ya Taasisi yetu ya TISS kwa masuala ya Kitaifa.
Hivi kama kweli kabisa unaakili timamu, huyu kiongozi anayetuongoza sasa sio adui kwa taifa letu kweli? matendo yake hayaliangamizi taifa?Unataka TISS wawe upande wa wapinzani ambao ni wasaliti wa nchi yetu hasa Chadema wanaoshirikiana na maadui zetu wa nje? Unaona wanavyofurahia kukamatwa kwa ndege zetu huko nje? Uliona walivyokuwa wanashangilia magaidi waliokuwa wanauwa wananchi wa Kibiti? Wapinzani ni maadui wa TZ hivyo TISS hawawezi kuwa upande wao. Washauri kwanza hao wapinzani waache usaliti kwanza kwa nchi yao!
Yaani haujui boss wa TISS anateuliwa na nani
Wewe huwezi kuwa karibu na idara nyeti kama hii ukaja kuharisha humuhapo awali kabla sijawa karibu na Taasisi hii TISS nilijua na kuamini kuwa TISS ni washauri wa mambo ya kitaifa kwa maslahi ya Taifa na sio kwa maslahi ya CCM au kikundi cha watu fulani.
Usitumie jina ililojijengea Zamani sasa hivi TISS mmmmhMwandishi wa taarifa hii ni mpotoshaji TISS ni taasisi yenye weledi na ina heshima kubwa duniani kwa utendaji wake uliotukuka na inaendesha shughuli zake pasipo kufungamana na upande wowote bali inatizama maslahi ya Taifa pekee.