NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
MLETA UZI UMECHELEWA SANA!!!WAKATI SASA TISS WANAFANYA MPANGO WA KUONGEZA MHULA UWE WA BUNGE LA MIAKA SABA?TENA WANAFUATA MATAKWA YA JIWE BADALA JIWE NDO AFUATE MATAKWA YAO!!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taasisi inayoundwa na UVCCM kwa 85% inawezaje kuacha kuitumikia ccm ?Wana JamiiForums "msema kweli ni mpenzi ni mpenzi wa Mungu", hapo awali kabla sijawa karibu na Taasisi hii TISS nilijua na kuamini kuwa TISS ni washauri wa mambo ya kitaifa kwa maslahi ya Taifa na sio kwa maslahi ya CCM au kikundi cha watu fulani.
Niseme ukweli, nimeumia kujua kuwa wamekuwa wakijua uovu unaofanywa na CCM na kundi lake lakini hawachukui hatua kwa maslahi ya Taifa lao, jamii yao, ndugu zao na vizazi vyao wakiwa wamekwisha tangulia mbele ya haki.
Hivi ni kweli bado mpo kwa maslahi ya Taifa, kama ni kweli bado mpo kwa maslahi ya Taifa inakuwaje haya yanayopoteza mwelekeo wa Taifa letu yanafanyika mkijua, hamshauri au kuzuia yasifanyike kwa maslahi ya Taifa letu?
Nimeangilia mwenendo wa baadhi ya watumishi wetu katika ushiriki wa chaguzi zilizopita za Serikali za Mitaa, kweli nimeanza kuamini kuwa mpo sasa hivi kwa maslahi ya CCM na sio maslahi ya Taifa letu?
Naomba kuuliza tena, hivi vyama vya upinzani na wapinzani wapo kwa maslahi ya Taifa letu?, na kama wapo kwa maslahi ya Taifa letu kwa nini wanafanyiwa haya maovu na CCM lakini hamuwashauri nini cha kufanya kuondokana na changamoto zinazo wakuta kwa maslahi ya Taifa letu kama mnavyofanya kwa CCM?
Au ni lini mmewahi kushauri au saidia vyama vya upinzani kama mnavyo shauri na kusaidia CCM? Nasema hayo kwasababu ninajua na nimeona mlivyosaidia CCM kuanzia uandikishaji, vetting ya wagombea wa CCM na zoezi la uchaguzi, nk.
Nashauri tuachaneni au tuvunjeni ndoa na CCM vinginevyo tutaendelea kupoteza heshima ya Taasisi yetu tuliyojijengea ndani na nje ya Taifa letu, lakini ndoto zetu kama Taifa tutachelewa kuzifikia.
Hebu tuige kwa Taasisi kama zetu za Marekani, Izrael wanavyo handle issue za kitaifa maana wao hawafungamani na chama cha siasa au kikundi chochote, wao wanaangalia maslahi ya Taifa lao tu.
Nimtazamo wangu tu kwa issue za kitaifa, naomba mnivumilie sijui mitazamo yenu juu ya Taasisi yetu ya TISS kwa masuala ya Kitaifa.
Utamdanganya bwege gani humu ?Acha upotoshaji chombo hiki ni huru na hakina maslahi yoyote na CCM umejipachika kwenye chombo ili tuamini andiko lako la kuwa na wewe ni mmoja wa wana chombo kiacheni kifanye kazi sake kwa maslahi mapama ya Taifa hili
Acha ushamba, mashirika yote ya ujasusi duniani sponsor wao ni raisi wa nchi Ila wote wanafuata katiba zao na sheria ,awapendelei chama cha raisi na baadhi ya nchi ukileta ujinga wanakuondoa madarakani.Sponsor wao ni Mkuu wa chama na nchi. Acha kulalamika
Acha ushamba, mashirika yote ya ujasusi duniani sponsor wao ni raisi wa nchi Ila wote wanafuata katiba zao na sheria ,awapendelei chama cha raisi na baadhi ya nchi ukileta ujinga wanakuondoa madarakani.
Hapa kwetu katiba ndio hovyo ,huko nyuma walikuwa wanaitwa special branch tawi la ccm na kazi yao kubwa ni kulinda dola na ccm.
Kama kuna wasaliti wa nchi hii basi ccm ni no 1,mafisadi papa na majizi yote sugu yapo ccm waliouza migodi na kuuwa viwanda yote yapo ccm mikataba tata yote imeingiwa na maccm wàla si chadema au cuf tatizo mnatumia sana ujinga wa mtanzania kujificha nyuma ya upinzani.Unataka TISS wawe upande wa wapinzani ambao ni wasaliti wa nchi yetu hasa Chadema wanaoshirikiana na maadui zetu wa nje? Unaona wanavyofurahia kukamatwa kwa ndege zetu huko nje? Uliona walivyokuwa wanashangilia magaidi waliokuwa wanauwa wananchi wa Kibiti? Wapinzani ni maadui wa TZ hivyo TISS hawawezi kuwa upande wao. Washauri kwanza hao wapinzani waache usaliti kwanza kwa nchi yao!
Mkuu humuoni Mabeyo kageuzwa kuwa katibu mkuu wa ccm? Ziara nyingi za jiwe naye yupo kana kwamba anafuatilia utekelezaji wa ilani ya ccm.
Hicho chombo kipo kwa ajili ya usalama wa taifa kama kinavyojiita, sidhani kama wapo chini ya ccm pengine labda unavyoona wapo karibu na Rais unaona kama nawao ni ccm ila baadae watakaposhika dola wapinzani pia utabadilika na kusema ni chadema au Act. Hivyo tuache kuwachafua jamani kama hatujui kazi zao zinafanyikaje tuachane nao kwani kazi wanaoifanya ni kubwa na nzito mno,sisi wananchi tunahitaji amani na sivinginevyo na wao watakuwa wanasimamia hapo.Wana JamiiForums "msema kweli ni mpenzi ni mpenzi wa Mungu", hapo awali kabla sijawa karibu na Taasisi hii TISS nilijua na kuamini kuwa TISS ni washauri wa mambo ya kitaifa kwa maslahi ya Taifa na sio kwa maslahi ya CCM au kikundi cha watu fulani.
Niseme ukweli, nimeumia kujua kuwa wamekuwa wakijua uovu unaofanywa na CCM na kundi lake lakini hawachukui hatua kwa maslahi ya Taifa lao, jamii yao, ndugu zao na vizazi vyao wakiwa wamekwisha tangulia mbele ya haki.
Hivi ni kweli bado mpo kwa maslahi ya Taifa, kama ni kweli bado mpo kwa maslahi ya Taifa inakuwaje haya yanayopoteza mwelekeo wa Taifa letu yanafanyika mkijua, hamshauri au kuzuia yasifanyike kwa maslahi ya Taifa letu?
Nimeangilia mwenendo wa baadhi ya watumishi wetu katika ushiriki wa chaguzi zilizopita za Serikali za Mitaa, kweli nimeanza kuamini kuwa mpo sasa hivi kwa maslahi ya CCM na sio maslahi ya Taifa letu?
Naomba kuuliza tena, hivi vyama vya upinzani na wapinzani wapo kwa maslahi ya Taifa letu?, na kama wapo kwa maslahi ya Taifa letu kwa nini wanafanyiwa haya maovu na CCM lakini hamuwashauri nini cha kufanya kuondokana na changamoto zinazo wakuta kwa maslahi ya Taifa letu kama mnavyofanya kwa CCM?
Au ni lini mmewahi kushauri au saidia vyama vya upinzani kama mnavyo shauri na kusaidia CCM? Nasema hayo kwasababu ninajua na nimeona mlivyosaidia CCM kuanzia uandikishaji, vetting ya wagombea wa CCM na zoezi la uchaguzi, nk.
Nashauri tuachaneni au tuvunjeni ndoa na CCM vinginevyo tutaendelea kupoteza heshima ya Taasisi yetu tuliyojijengea ndani na nje ya Taifa letu, lakini ndoto zetu kama Taifa tutachelewa kuzifikia.
Hebu tuige kwa Taasisi kama zetu za Marekani, Izrael wanavyo handle issue za kitaifa maana wao hawafungamani na chama cha siasa au kikundi chochote, wao wanaangalia maslahi ya Taifa lao tu.
Nimtazamo wangu tu kwa issue za kitaifa, naomba mnivumilie sijui mitazamo yenu juu ya Taasisi yetu ya TISS kwa masuala ya Kitaifa.
Mjinga kweli wewe! Kama wapinzani wanatekeleza yote uliyoyataja Tena wakiwa ndani ya nchi yenye vyombo imara vya ulinzi na usalama basi wapinzani wapo vizuri kuliko vyombo vyenyewe! Na Kama wapo imara walitakiwa wajue mkulima alikuwa amejipangaje baada ya hukumu ya SA kwani wapo kila ubalozi sio! Kiri tu kuwa mmejazana kiccm na kindugu bila elimu na ueledi wa kazi ya usalama! Nakazia hivi, tiss umekosa ueledi na mbinu mkakati kwani imemezwa na siasa za ccm eti ndiyo mwajiri na paymaster wao badala ya umma wa walipakodi! Tiss inahitaji mabadiliko makubwa mno!Unataka TISS wawe upande wa wapinzani ambao ni wasaliti wa nchi yetu hasa Chadema wanaoshirikiana na maadui zetu wa nje? Unaona wanavyofurahia kukamatwa kwa ndege zetu huko nje? Uliona walivyokuwa wanashangilia magaidi waliokuwa wanauwa wananchi wa Kibiti? Wapinzani ni maadui wa TZ hivyo TISS hawawezi kuwa upande wao. Washauri kwanza hao wapinzani waache usaliti kwanza kwa nchi yao!
waga nashangaa sana idara kujaa watu wa CCM na waganga wa jadiWana JamiiForums "msema kweli ni mpenzi ni mpenzi wa Mungu", hapo awali kabla sijawa karibu na Taasisi hii TISS nilijua na kuamini kuwa TISS ni washauri wa mambo ya kitaifa kwa maslahi ya Taifa na sio kwa maslahi ya CCM au kikundi cha watu fulani.
Niseme ukweli, nimeumia kujua kuwa wamekuwa wakijua uovu unaofanywa na CCM na kundi lake lakini hawachukui hatua kwa maslahi ya Taifa lao, jamii yao, ndugu zao na vizazi vyao wakiwa wamekwisha tangulia mbele ya haki.
Hivi ni kweli bado mpo kwa maslahi ya Taifa, kama ni kweli bado mpo kwa maslahi ya Taifa inakuwaje haya yanayopoteza mwelekeo wa Taifa letu yanafanyika mkijua, hamshauri au kuzuia yasifanyike kwa maslahi ya Taifa letu?
Nimeangilia mwenendo wa baadhi ya watumishi wetu katika ushiriki wa chaguzi zilizopita za Serikali za Mitaa, kweli nimeanza kuamini kuwa mpo sasa hivi kwa maslahi ya CCM na sio maslahi ya Taifa letu?
Naomba kuuliza tena, hivi vyama vya upinzani na wapinzani wapo kwa maslahi ya Taifa letu?, na kama wapo kwa maslahi ya Taifa letu kwa nini wanafanyiwa haya maovu na CCM lakini hamuwashauri nini cha kufanya kuondokana na changamoto zinazo wakuta kwa maslahi ya Taifa letu kama mnavyofanya kwa CCM?
Au ni lini mmewahi kushauri au saidia vyama vya upinzani kama mnavyo shauri na kusaidia CCM? Nasema hayo kwasababu ninajua na nimeona mlivyosaidia CCM kuanzia uandikishaji, vetting ya wagombea wa CCM na zoezi la uchaguzi, nk.
Nashauri tuachaneni au tuvunjeni ndoa na CCM vinginevyo tutaendelea kupoteza heshima ya Taasisi yetu tuliyojijengea ndani na nje ya Taifa letu, lakini ndoto zetu kama Taifa tutachelewa kuzifikia.
Hebu tuige kwa Taasisi kama zetu za Marekani, Izrael wanavyo handle issue za kitaifa maana wao hawafungamani na chama cha siasa au kikundi chochote, wao wanaangalia maslahi ya Taifa lao tu.
Nimtazamo wangu tu kwa issue za kitaifa, naomba mnivumilie sijui mitazamo yenu juu ya Taasisi yetu ya TISS kwa masuala ya Kitaifa.
Sass, Kama hata kuandika neno la kiswahili kwa ufasaha linakushinda, ni kitu gani jingine unachokiweza?Ukikuwa utaelewa sasa endelea na masomo kwanza
Mkuu wao wenyewe wananjaa sana tu, hizo nafasi zao wakizipoteza hawana hata uwezo.wa kufungua biashara ya genge.Wana JamiiForums "msema kweli ni mpenzi ni mpenzi wa Mungu", hapo awali kabla sijawa karibu na Taasisi hii TISS nilijua na kuamini kuwa TISS ni washauri wa mambo ya kitaifa kwa maslahi ya Taifa na sio kwa maslahi ya CCM au kikundi cha watu fulani.
Niseme ukweli, nimeumia kujua kuwa wamekuwa wakijua uovu unaofanywa na CCM na kundi lake lakini hawachukui hatua kwa maslahi ya Taifa lao, jamii yao, ndugu zao na vizazi vyao wakiwa wamekwisha tangulia mbele ya haki.
Hivi ni kweli bado mpo kwa maslahi ya Taifa, kama ni kweli bado mpo kwa maslahi ya Taifa inakuwaje haya yanayopoteza mwelekeo wa Taifa letu yanafanyika mkijua, hamshauri au kuzuia yasifanyike kwa maslahi ya Taifa letu?
Nimeangilia mwenendo wa baadhi ya watumishi wetu katika ushiriki wa chaguzi zilizopita za Serikali za Mitaa, kweli nimeanza kuamini kuwa mpo sasa hivi kwa maslahi ya CCM na sio maslahi ya Taifa letu?
Naomba kuuliza tena, hivi vyama vya upinzani na wapinzani wapo kwa maslahi ya Taifa letu?, na kama wapo kwa maslahi ya Taifa letu kwa nini wanafanyiwa haya maovu na CCM lakini hamuwashauri nini cha kufanya kuondokana na changamoto zinazo wakuta kwa maslahi ya Taifa letu kama mnavyofanya kwa CCM?
Au ni lini mmewahi kushauri au saidia vyama vya upinzani kama mnavyo shauri na kusaidia CCM? Nasema hayo kwasababu ninajua na nimeona mlivyosaidia CCM kuanzia uandikishaji, vetting ya wagombea wa CCM na zoezi la uchaguzi, nk.
Nashauri tuachaneni au tuvunjeni ndoa na CCM vinginevyo tutaendelea kupoteza heshima ya Taasisi yetu tuliyojijengea ndani na nje ya Taifa letu, lakini ndoto zetu kama Taifa tutachelewa kuzifikia.
Hebu tuige kwa Taasisi kama zetu za Marekani, Izrael wanavyo handle issue za kitaifa maana wao hawafungamani na chama cha siasa au kikundi chochote, wao wanaangalia maslahi ya Taifa lao tu.
Nimtazamo wangu tu kwa issue za kitaifa, naomba mnivumilie sijui mitazamo yenu juu ya Taasisi yetu ya TISS kwa masuala ya Kitaifa.
Asiyefurahi ndege kukamatwa ni Mjinga na manafiki.Kama wewe haufurahii kukamatwa kwa ndege basi ni mjinga, mtu makini anayependa haki hufurahi anapoona anayedaiwa analazimishwa kulipa deni, yule mkulima ni kiumbe na kila siku inavyokwenda anazeeka na mwisho atafariki na akifariki serikali itashangilia kwa kutokuwepo mtu wa kumlipa kwa uzembe wa mdai kufariki wakati mikakati ya kulipa imekamilika! Mswahili hakosi neno.
Unataka TISS wawe upande wa wapinzani ambao ni wasaliti wa nchi yetu hasa Chadema wanaoshirikiana na maadui zetu wa nje? Unaona wanavyofurahia kukamatwa kwa ndege zetu huko nje? Uliona walivyokuwa wanashangilia magaidi waliokuwa wanauwa wananchi wa Kibiti? Wapinzani ni maadui wa TZ hivyo TISS hawawezi kuwa upande wao. Washauri kwanza hao wapinzani waache usaliti kwanza kwa nchi yao!