Usalama wa Taifa (TISS) kaeni kando na CCM, mnachafuka

Humu jf ukiwa makini utagundua vi Tiss vya humu.
hio kazi uweled uliishia kwa mwinyi .kwanza walikuwa hawatambuliki. sasa .sasa hivi kwenye kundi la watu rahisi kuwatambu wao
 
Tiss hawana faida yoyote na taifa hili, kuna mambo yanafanyika Tanzania huwezi amini yaani, Dunderhead, tabulalasa, bipolar disorder, wagonjwa wa akili wanapata madaraka makubwa ya nchi hii na tiss wapo?
 
Tiss hawana faida yoyote na taifa hili, kuna mambo yanafanyika Tanzania huwezi amini yaani, Dunderhead, tabulalasa, bipolar disorder, wagonjwa wa akili wanapata madaraka makubwa ya nchi hii na tiss wapo?
Mmmmh leo nimecheka sana, watu mnafikilia mengi sana kulingana na hali tuliyonayo!.
 
Summary: TISS imetusaliti waTanzania kwa kuamua kumpenda na kumlinda mtu mmoja na kuacha aumize mfumo wa uchumi wa nchi na hapo hapo kuumiza waTanzania wengi.
Njaa,mbaya wao wanashiba wanaangalia shiba yao we hata ukiathirika wanashida ganu
 
Hivi ni kweli bado mpo kwa maslahi ya Taifa, kama ni kweli bado mpo kwa maslahi ya Taifa inakuwaje haya yanayopoteza mwelekeo wa Taifa letu yanafanyika mkijua, hamshauri au kuzuia yasifanyike kwa maslahi ya Taifa letu?

Jr[emoji769]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…