KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
hongera, mimi nilikuwa jambazi la darasa!We ndo kama mimi hapa 😜😅na darasani nilikua namba moja kwa kusoma vizuri 🤪🤪
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hongera, mimi nilikuwa jambazi la darasa!We ndo kama mimi hapa 😜😅na darasani nilikua namba moja kwa kusoma vizuri 🤪🤪
Hapana, kwanini umeuliza hivyo.?Wewe ndo Dr. Mariposa?
Nothing, I just want to enjoy a genuine love story between male and Female not some LGBTQ charade.Itakusaidia nini mkuu😄
Kuiba nini 😜hongera, mimi nilikuwa jambazi la darasa!
Oukay,.Nothing, I just want to enjoy a genuine love story between male and Female not some LGBTQ charade.
chochote kitakachokaa mbele yangu!, hata wewe ukizubaa nakuiba!Kuiba nini 😜
Itakua labda katunga tu storyNi KE huyo ...
usipende kuingilia mambo yasiyokuhusu utakuja kung'atwa mgongo uchakae!
Mimi huwezi kuniiba labda kingine chochotechochote kitakachokaa mbele yangu!, hata wewe ukizubaa nakuiba!
Nina utaratibu wa kutafuta kwanza hili neno kabla sijasoma hizi hadithi. Nikiliona huwa naipuuza hadithi yenyewe.Itaendelea
Sawasawa☺️Nawaahidi story itaisha chap, kwa kua sio ya kutunga basi tulieni wapenzi wangu sio tu muenjoy bali mjifunze pia
Umeuliza kitu ambacho kiko dhahiri.Hilo swali ni vyema angejibu yeye mwenyewe, na sio kama ulivyofanya.
Teh teh hata mie hua sipendi ila maandishi yakiwa marefu sana yanachosha kusomaNina utaratibu wa kutafuta kwanza hili neno kabla sijasoma hizi hadithi. Nikiliona huwa naipuuza hadithi yenyewe.
Kwani we ni mgeni jamani?ndio ni Ke,ila alishaweka wazi hisia zake ni kwa Ke.Siku zote najuaga wewe ni mwanamke🤔
Ndo nimejua leo.Kwani we ni mgeni jamani?ndio ni Ke,ila alishaweka wazi hisia zake ni kwa Ke.