Usaliti ulivyogharimu maisha ya watu niliowapenda

Acha maigizo. Astaghafulilah ya nini wakati upo bampa to bampa na story.

Lengo la mleta mada ni kuifanya jamii ivutiwe na upande aliopo, na ndio maana anajaribu kunomalize vitu
Naunga mkono hoja yako
 
Bora nimekujua leo maana kila siku maswali ya kujiuliza mwenyewe yalikuwa hayaishi, na urembo wote huu boss na huna bwana! Kumbe ndio iko hivi.
Ni mimi mlinzi wako.
 
Huyu hakuwa mtu wa kawaida huyu
 
🍷 aisee kastori katamu kanasahaulisha madeni ya vikoba 😅😅😅😝
 
Nilijua ni ke😳
Kwani hamna ke wanaotamani kufunua sketi za wenzao hasa wawe wazurii watapata taabu haswa!

Mdogo wangu mmoja wa kufikia kaja dar kwa kazi zake tuu hapa na pale.....

Mimi ni mtu mmoja mtulivu sana na mkimya hasa ninaookuwa na watu wengi ama wageni wageni.....

Yule binti akanisoma naye ndo tabia kama zangu japo jinsia tofaut

Tulivyo zoeana akaniuliza siku moja ety Tomboy ndo nn ? Mimi nilicheka sana nikamuuliza umekutana na nni? Akawa kama kapanic

Nikamtuliza then nikamjibu ni mwanamke mwenye swaga za kiume nni oyaah oyaah kma zote!

Ndo akaniambia Jana Kuna mdada wakati yupo restaurant kamfata ..... anamwambia ni mzurii, kamwelewa sjui hivi mara vile....

Nikamwambia kaa mbali naye..... Huyo atakuwa lesb nikampa darasa maake dogo hata style zetu za chuma mboga ukiongea anaona msamiati mpya

Japo katoka bush she's cute aseeh,, white, tall medium, ana hips flani... Hivo mzee
 
Izi ishu za kusagana sio jambo geni kabisa huku kitaa especially kwa hawa dada zetu wa kaskazini ni kitu cha kawaida sana na sasaiv idadi yao ni kubwa sana.

%kubwa ya wadada wanaoitana "Babe" "my other half" sweet nininini sijui kwenye simu au wanaolala kitanda kimoja hususan hostel au huku mtaani ni wanasagana💯 na ni kitu ambacho nishafanyia utafiti na nikahitimisha way long ago.

Leta maneno Dr. Mariposa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…