Usaliti ulivyogharimu maisha ya watu niliowapenda

Tunatamanije na utu Uzima huu πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Si ndo hapo sasa.!! Humu wote watu wazima hakuna mtoto wa kushawishiwa upuuzi hayo yatakuwa ni matamanio yake tyuu.!! 😹🀣🀣
 
Fungua kanisa upige sadaka 😹😹
 
Hahaha,
Yes, we are naturally polygamous.

Ila sasa huyo uliyem quote siyo mwanaume, ni mdada
 
Nikikumbuka miaka ya nyuma nimeupambania sana huu nchezo kwa sasa angalau kwa mwaka ni mara 3 hadi 4
Mpk sasa una makombe mangapi? 😹😹
Vipi sasa mnacheza ngazi ya mkoa au taifa?? 🀣😹
 
Sasa mahubiri unamletea nani hapa? 😹😹
Wewe huna pepo ya kutupeleka wala moto wa kutuchoma, jambo muhimu nakushauri fungua kanisa πŸ€£πŸ˜ΉπŸ˜ΉπŸ‘‹
Unajua Kuna vitu mpaka mtu kuwa humu naamini anataka kujifunza..... zaidi ya anavyotaka kuwa

Kuna mtu alifoka uzi ufutwe nikamuuliza ili iweje ety unachochea mapenzi ya jinsia moja ! Hivi miaka hii yangu 25+ nijifunze kuliwa ? ama kula mtu wa jinsi yangu ? ama kama ni ke, ?

Ikitokea hapo tukio case ya kusema umetekwa itakuwa either tamaa za pesa, ulevi, kuharakia watu usio wajua, ama ulitaka kufanya kwakua mzazi wako Hana ule uhuru wa kukukagua km ulivyo kuwa under 18.......

Watulie atoe story Kuna ya ku note hapa wengi tuna na wana watoto wa kike kwa wakiume...... Unapata la kumshauri mwanao ........

Kuna binti katoka shuleni juz likizo hii anasoma shule moja ya wasichana mkoa wa pwani anaelezea wenzie mabinti wanavyofanya lesb issue.....

Huku wazazi wakiona watoto ni saint Mary kumbe ni mkondo ule ule.......

Tuwe wapole tupate somo hapa...... kwako Tajiri wa Sanga
 
Mbona Dr Mwenyewe anasimulia kwa adabu na Busara zote na hakuna mahali katukana au hakuna mahali ametuita kwa lazima 😜😜tumejileta wenyewe hapa.

Nyie mnaopinga kwa nini mmesoma uzi πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Msihukumu nanyi mtahukumiwa.
Usitoe kibanzi kwenye jicho la ndugu yako……………..
 
Utoto
 
Wanatafuta sifa za kijinga na utakatifu wasiokuwa nao 😹😹
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…