Usaliti ulivyogharimu maisha ya watu niliowapenda

Haya mambo ya mapenzi ya jinsia moja nilikuwa nasikia tuuh na kuona kwene movies .... ktk uhalisia wa maisha yetu na kupitia story hii & comments ni jambo la kumshukuru MUNGU kama hutajua mengi ktk dunia hii!!!
 
Hata sijasoma najua ni pumba tu.!!
Muhimu nataka kujua mkeo amefikia wapi mwambie ananichelewesha nataka nimtoe cheche fasta niendelee na mambo mengine.!!

Au km vipi msindikize awahi kufika 😹🀣😸😸
Husomi maana unajua ukweli unauma sawa kima??....kuhusu demu wangu akili aliyokuwa nayo ana Mambo mengiii yakufanya, Na nahisi unamuonea wivu kwa sababu ni KE kamili sio kama ww uliye left group sawa kima??.....maana Kila saa mke wangu!! Mke wangu!!!....unamuonea wivu kima sio??......yy ni real woman ni tofauti na ww sawa??
 
Tumejua ulisoma moja ya vyuo vilivyopo porini Sana hapa nchini, cha pili kumbe nawe umehusika kusaga wasagaji
 
Kwanza mbona sikukuona au ulikuja na ID nyengine?
Ila kile kipindi jamani nilipokea meseji hadi macho yakawa hayaoni na wengine wakawa wanalalamika siwajibu,
JF members nimewavulia kofiaπŸ™ŒπŸ»
Aiseeeee kumbe kuna tenda ilitangazwa ila wahuni wakanyuti?πŸ˜„πŸ˜ƒ
 
AiseeeπŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜„πŸ˜€
 
Unanichosha km hutaki kuleta mlupo wako kakojoe ulale..!!
 
[emoji122][emoji122]
 
Kkoo muhimu upate goli kwanza, mtaji sio issue uaminifu wako tu tunakupa sample unapiga cha juu unaniletea pesa yangu.!!

Au si umwambie shem akuwezeshe mahi 😜🀭😹😹
Hivi magoli yanapatikana kweli maana watu ni wengi na malipo kwa mwezi yana range bei gani?, shemu wako yeye anatoa ahadi tuu utekelezaji ni sifuri πŸ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…