Usaliti ulivyogharimu maisha ya watu niliowapenda

Usaliti ulivyogharimu maisha ya watu niliowapenda

Haya mambo ya mapenzi ya jinsia moja nilikuwa nasikia tuuh na kuona kwene movies .... ktk uhalisia wa maisha yetu na kupitia story hii & comments ni jambo la kumshukuru MUNGU kama hutajua mengi ktk dunia hii!!!
 
Hata sijasoma najua ni pumba tu.!!
Muhimu nataka kujua mkeo amefikia wapi mwambie ananichelewesha nataka nimtoe cheche fasta niendelee na mambo mengine.!!

Au km vipi msindikize awahi kufika 😹🤣😸😸
Husomi maana unajua ukweli unauma sawa kima??....kuhusu demu wangu akili aliyokuwa nayo ana Mambo mengiii yakufanya, Na nahisi unamuonea wivu kwa sababu ni KE kamili sio kama ww uliye left group sawa kima??.....maana Kila saa mke wangu!! Mke wangu!!!....unamuonea wivu kima sio??......yy ni real woman ni tofauti na ww sawa??
 
hii kitu imenikumbusha mbali kidogo

kuna kipindi nipo chuo nilikua namiliki bonge moja la pisi (chuo kizima hakukua na pisi yenye quality kufikia iyo pisi yangu kwa ule mwaka tuloripoti sisi kuanzia 1st - 3rd year) sasa bhana tulivoingia 2nd year kuna rafiki yake alimcheki iyo pisi yangu akawa anaomba kuna mgeni wake anakuja kuanza 1st year ampe hifadhi ndani ya siku kadhaa muda anafanya usajili then akishapata boom ataenda kutafuta room apange. huyo mgeni alivokuja mimi ndo nilienda kumpokea stendi maana aliwasili usiku wa manane, staki kumwelezea sana ila alikua kabarikiwa uzuri bhana (aliwahi kuwa miss mkoa X)

muda wote anakaa kwa huyo mpenzi wangu nilikua namnyemelea kiaina, nilikua naiba muda natoka nae out ile kishkaji ili mpenzi wangu asishtukie so kuna siku tupo tunapata moja baridi moja moto kumbe bia haziwezi alilewa sana akaanza kunikubatia mara kuniita majina ya mahaba na kunifanyia stuffs za ajabuajabu kibao uzalendo ukanishinda nikaamua kwenda kumaliza kazi kwangu then nikamrudisha kulala kwa huyo mpenzi wangu japo kishingo upande sana maana alinifungukia kunambia kuwa mpenzi wangu huwa anamlazimisha kufanya iyo michezo kila ifikapo usiku ambapo huyo mgeni alimkatalia kitu ambacho kiliwawekea bifu mpaka wakawa hawaongeleshani so ikanibidi nimwazime kiasi cha hela akapange ili boom likitoka anirudishie maana alnambia hawezi kuendelea kukaa pale ila baadae nilikuja kugundua intimacy baina yao haikuwa ya kawaida kwani walikuja kupatana sana na mara nyingi walikua wanatembeleana usiku endapo sipo around siku iyo.

sasa leo pia kuna ex wangu mwingine kanicheki anamuulizia huyo mpenzi wangu (sasaiv ni baby mama wangu) anadai kammiss na blaablaa kibao ilhali walishagazinguana kitambo na sababu ni iyoyo ya kusagana, it seems walisalitiana apo katikati mpaka ikapelekea kublockiana kila sehemu na kusemana vibaya kwa watu ikabidi nimjibu tu kuwa hata mimi sipo intact nae kwa muda sasa na namba zake sina nilishafuta. huyu sitaki kumwelezea sana maana iyo michezo kaanza tangu sekondari kulingana na nilivosimuliwa na rafiki yake aliekuwa mpenzi wangu

izo ni scenarios chache kati ya nyingi nilizokutana nazo enzi izo chuo, ila nilichokuja kugundua ni kuwa mahusiano ya hao lesbians ni yana very strong bond ambayo imejawa na wivu na maumivu makubwa sana endapo mmoja atakuwa heartbroken compared na bond iliyopo kati ya mwanaume na mwanamke na wahusika wakubwa ni hawa bff
Tumejua ulisoma moja ya vyuo vilivyopo porini Sana hapa nchini, cha pili kumbe nawe umehusika kusaga wasagaji
 
Kwanza mbona sikukuona au ulikuja na ID nyengine?
Ila kile kipindi jamani nilipokea meseji hadi macho yakawa hayaoni na wengine wakawa wanalalamika siwajibu,
JF members nimewavulia kofia🙌🏻
Aiseeeee kumbe kuna tenda ilitangazwa ila wahuni wakanyuti?😄😃
 
Hata mie sijafikia kwenye ass to mouth, nimeishia kwenye threesome, demu yupi wa kibongo atakubali umfanyie hivyo labda Utafte malaya, umlipe pesa ndefu, mmh au labda Utafte malesbian wenye fantasy hio.

Ila wazeiya unajua kuna wadada wanapenda kunyonya tigo za wanaume, kuna afisa utamu mmoja moshi mjini nilimlipa tsh elf 4 nimnyonye tigo tu kwa dakika chache bila ku sex nae, yeye akanipa ofa ya kuninyonya dushe mpaka nikojoe (bure), akaniuliza kama anaweza kuninyonya 0713 nikamkatalia. Ila nlim-time vizuri coz kwa kumuona tu nlijua yeye ni mgeni na ndo ilikuwa mara yake ya Kwanza kujiuza, Nika take advantage ya ugeni wake mzabzab Mzee wa kupambania
Aiseee😃😄😄😀
 
Husomi maana unajua ukweli unauma sawa kima??....kuhusu demu wangu akili aliyokuwa nayo ana Mambo mengiii yakufanya, Na nahisi unamuonea wivu kwa sababu ni KE kamili sio kama ww uliye left group sawa kima??.....maana Kila saa mke wangu!! Mke wangu!!!....unamuonea wivu kima sio??......yy ni real woman ni tofauti na ww sawa??
Unanichosha km hutaki kuleta mlupo wako kakojoe ulale..!!
 
Wakuu kwanza leo ndio nimejua kua nimetimiza miaka 10 jamii forum, mnipigie makofi tafadhaliiii[emoji3060][emoji3060][emoji1787]
Okay, nashare na ninyi hadithi hii ya kweli iliyonitokea mimi mwenyewe, hua naumia sana kila nikiwaza kwa ujinga wangu nilivyohatarisha mahusiano yangu na kuharibu maisha ya huyu binti,

Mwaka 2020, nilienda kwenye semina ya vijana juu ya uelewa wa Afya ya Akili, kulikua kuna taasisi nyingi zilialikwa ikiwemo na sisi, basi muda wa kupata chakula cha mchana nikamuona binti mmoja mrembo amekaa meza ya peke yake anakula taratiibu, akilini nikahisi anajitenga kwa hiyo nilibeba chakula changu na kuwaacha wenzangu wanaelekea kukaa meza nyingine nikaenda kukaa na yule binti, nilimsamlimia na kumuuliza kama ninaweza kukaa akanikaribisha kwa tabasamu zuri, basi tukaanza kupiga story za hapa na pale hadi tulipomaliza kula tukaagana na kila mmoja akarejea alipokaa awali, kiukweli mimi sikumtilia maanani tena,
Semina ilivyoisha wakati najiandaa kuondoka yule binti akaja mbio na kuniomba namba ya simu, nilisita kidogo akadai ana shida ya ushauri basi nikampa chap nikaondoka,
Nilivyofika home mida ya saa moja jioni sms ikaingia muhusika akajitambulisha anaitwa LILY (sio jina halisi) tulikutana kwenye semina hapo ndipo mawasiliano yalipoanza rasmi,

Nitajaribu kuifupisha maana sina kipaji cha uandishi,
Mimi na Lily tukawa marafiki sana, mimi nilimchukulia kama mdogo wangu (alikua chuo mwaka wa pili) huku yeye akitengeneza hisia za mapenzi kwangu licha ya kujua nipo kwenye mahusiano,

Siku moja akanipigia simu niende kwake alikua anaumwa sana, nakumbuka jioni baada ya kumaliza kazi nikanunua matunda na mazaga mengine nikaenda kumuona mdogo wangu mgonjwa, ilikua mara ya kwanza kufika kwake, alikua amepanga chumba master na jiko, alifurahi sana kuniona kila mara alisema hakuamini kama ningeenda, nakumbuka alivyoifakamia chocolate niliyomletea, anapenda sana chocolate, nilikaa kama masaa mawili nikaaga, akaniomba aoge kisha anisindikize japo nje tu, nikasema poa, alipotoka kuoga dah! hata sielewi ilikuaje nikajikuta namsaliti babe wangu [emoji24][emoji24] pia nikanasa kwenye mtego mbaya sana ambao unanitesa hadi leo, just one mistake [emoji1316].......

Mnisamehe siwezi kuandika yote hapa itakua ndefu sana itawaboa.

Itaendelea
[emoji122][emoji122]
 
Kkoo muhimu upate goli kwanza, mtaji sio issue uaminifu wako tu tunakupa sample unapiga cha juu unaniletea pesa yangu.!!

Au si umwambie shem akuwezeshe mahi 😜🤭😹😹
Hivi magoli yanapatikana kweli maana watu ni wengi na malipo kwa mwezi yana range bei gani?, shemu wako yeye anatoa ahadi tuu utekelezaji ni sifuri 😆
 
Back
Top Bottom