Usaliti ulivyogharimu maisha ya watu niliowapenda

Usaliti ulivyogharimu maisha ya watu niliowapenda

JamiiForums ifikie sehemu muwe mnaangalia na nyuzi za kuziacha ziende hewani, huu uzi naona unawatamanisha wale wanaoonekana na i'ds za kike kujaribu mapenzi ya jinsia moja.

Sioni kama kuna sababu yoyote ya kuacha Baadhi ya replies za members ziendelee kuwepo.

Jitahidi kufuta Baadhi ya replies zinatoa muongozo wa kujifunza mapenzi ya jinsia moja.
 
JamiiForums ifikie sehemu muwe mnaangalia na nyuzi za kuziacha ziende hewani, huu uzi naona unawatamanisha wale wanaoonekana na i'ds za kike kujaribu mapenzi ya jinsia moja.

Sioni kama kuna sababu yoyote ya kuacha Baadhi ya replies za members ziendelee kuwepo.

Jitahidi kufuta Baadhi ya replies zinatoa muongozo wa kujifunza mapenzi ya jinsia moja.
Baba mchungaji umepotea sio huku, njia ya peponi ni mbele hukoo km unapandisha juu utalikuta jukwaa la maadili na dini 😹😹😹

Nyie fake Pastor’s wa humu mkafungue makanisa huko, haya reply zifutwe wewe km nani?? 🤣😹😹
Tuachie story yetu iishe ndo mlete nongwa zenu hapa..!!
 
Baba mchungaji umepotea sio huku, njia ya peponi ni mbele hukoo km unapandisha juu utalikuta jukwaa la maadili na dini 😹😹😹

Nyie fake Pastor’s wa humu mkafungue makanisa huko, haya reply zifutwe wewe km nani?? 🤣😹😹
Tuachie story yetu iishe ndo mlete nongwa zenu hapa..!!
Koma wewe Mi sio mchungaji.
 
Baba mchungaji umepotea sio huku, njia ya peponi ni mbele hukoo km unapandisha juu utalikuta jukwaa la maadili na dini 😹😹😹

Nyie fake Pastor’s wa humu mkafungue makanisa huko, haya reply zifutwe wewe km nani?? 🤣😹😹
Tuachie story yetu iishe ndo mlete nongwa zenu hapa..!!
Tunatamanije na utu Uzima huu 😅😅😅
 
Sehemu ya kuandika maoni hupajui?? 😹😹

Manyanza hi 👋🤣
Hata kama una kovu kifuani ukavaa bra nzuri au pamba kali utatoka nje na watu watakusifia lakini ukirudi ndani utaivua ile bra na nguo zako za thamani bado kovu lako kifuani litaonekana. Kama umenielewa yote lakini kama hujanielewa nitakutafuta nikupe darsa kidogo
 
Lily ana balaa 😹😹
Ila wakina Lily wengi wasagaji sijui kwann??
Kuna Lily mmoja room mate wangu alikuwa na tabia za hovyo nilikuwa nikitoka kuoga anatulia anipige wezere likiwa kwenye khanga ilioshikana na maji basi anafurahi mwenyewe 🤣

Na mimi nilivyo na masihara namtingishia namwambia ongeza kibao kingine 🤣
Basi anajisonya huku anasikitika
kuna mtu kadindisha, punguza sauti mkuu
 
Haya haya wale wazee wa dm naona mmlivyonuna. duh ila kumbe huyu dr kumbe si rizk😑😮‍💨
 
Mwaka mmoja ni mrefu sana kwa mtu kubadilika iwe kwa uzuri au kwa ubaya dear, wala haihitaji miaka mingi kuchora tattoo au kuvuta bangi, hapo niliposkip ni kwanini alijibadilisha hivyo, ili afanane na bae wangu, yeye ana muonekano wa masculine pia ana tattoos nyingi ikiwemo jina langu

Umejua kunichekesha walai, ndo ukomee ila pole 🤣🤣🤣
Wewe ni mwanamke
 
Back
Top Bottom