Usaliti wa Zitto na umuhimu wa Zitto kwa watanzania

Usaliti wa Zitto na umuhimu wa Zitto kwa watanzania

Amejinasibu kukosoa juu ya mkataba wa Kabanga Nickel ambapo anadai serikali iliingia mkataba na kampuni ya Lz Nickel kwa kuwapa faida ya mabil ya Usd wao bila kufanya utafiti lakini amepuuzwa na wananchi.

Baada ya mgao wa maji kuanza akakosoa serikali ya hayati Magufuli kuacha kutekeleza mradi wa kuzalisha maji wa Kidunda. Na hapa ndio akadai kuwa chanzo cha mgao wa maji,lakini pia amepuuzwa.

Mbona siku hizi hana ushawishi kama alivyokuwa hapoa awali akiibuwa kashfa za Buzwagi hadi Karamagi akajiudhuru? Mbona hata wapinzani wenzake wanamuona msaliti?
Muulize mrundi mwenzako
 
Ukosoaji wake huwa wa kuitia rushwa .ACCACIA wanajua Sana yeye na Tundu Lisu Wala rushwa wakubwa.Wakipewa wanaufyata wanaanza kutetea na kutishia MIGA

Kifupi aliondolewa uenyekiti kamati ya Bunge ya fedha za mashirika ya umma yaani PAC sababu hiyo hiyo ya nipeni pesa vinginevyo nawalipua bungeni Mla rushwa Sana huyo
 
Ukosoaji wake huwa wa kuitia rushwa .ACCACIA wanajua Sana yeye na Tundu Lisu Wala rushwa wakubwa.Wakipewa wanaufyata wanaanza kutetea na kutishia MIGA

Kifupi alipndolewa uenyekiti kamati ya Bunge ya fedha za mashirika ya umma yaani PAC sababu hiyo ya nipeni pesa vinginevyo nawalipua bungeni Mla rushwa Sana huyo
Ahaaaa
 
Chadema ndio wamwitao msaliti binafsi bado tunamwita mpinzani.
 
Akinusa harufu ya pesa mahala ndio hugeukia huko, nadhani pua yake sasa hivi imeshanusa LNG naona ameshageukia huko, na alivyo na ushirikiano na waziri husika mwenye tamaa ya pesa wale ni kuwaangalia kwa makini sana.
 
Ukosoaji wake huwa wa kuitia rushwa .ACCACIA wanajua Sana yeye na Tundu Lisu Wala rushwa wakubwa.Wakipewa wanaufyata wanaanza kutetea na kutishia MIGA

Kifupi alipndolewa uenyekiti kamati ya Bunge ya fedha za mashirika ya umma yaani PAC sababu hiyo hiyo ya nipeni pesa vinginevyo nawalipua bungeni Mla rushwa Sana huyo
Umeandika upupu mtupu
 
Akinusa harufu ya pesa mahala ndio hugeukia huko, nadhani pua yake sasa hivi imeshanusa LNG naona ameshageukia huko, na alivyo na ushirikiano na waziri husika mwenye tamaa ya pesa wale ni kuwaangalia kwa makini sana.
Ikibidi ni kuwafunga kifaa maalum cha siri wote wawili ili kufuatilia nyendo zao
 
Akinusa harufu ya pesa mahala ndio hugeukia huko, nadhani pua yake sasa hivi imeshanusa LNG naona ameshageukia huko, na alivyo na ushirikiano na waziri husika mwenye tamaa ya pesa wale ni kuwaangalia kwa makini sana.
Zitto kabwe angekuwa mbali Sana kisiasa ndani ya CCM na ndani ya Chadema ila kupenda vyeo chap chap ili apate vya rushwa na fursa fisadi za haraka haraka zilimponza

Angetulia CCM angekuwa probable candidate wa umakamu wa uraisi mapema tu mfano Magufuli alivyofariki angepewa yeye na sio Mpango .Mzee Mpango so humble Kama angeona Yuko kijana material toka kigoma angemwachia Zitto Kabwe kwani system ilitaka makamu atoke sehemu ya chini Zitto angepewa bila shida ila hayuko patient na anaendekeza njaa na ufisadi Kama January Makamba,Nape na Ndugai.Makamu Raisi angeweza kupewa hata Ndugai lakini hopeless kabisa kinyonga mkubwa
Zitto angepewa ukatibu mkuu Chadema baada ya Dk Slaa kuondoka na kwenda CCM

Vinyonga wote mlioko CCM mjue hamna political future msidhani mbeleni mtaenda Ikulu na mijasho ya kibwege Kama ya Nape kuomba msamaha na mkubaliwe hakuna . Serikali ijayo vinyonga wote tafuteni Cha kufanya nawaeleza mapema mjue.Hanrudi bungeni Wala post yeyote serikalini bila kujali position mlizonazo Sasa hivi
 
Zitto kabwe angekuwa mbali Sana kisiasa ndani ya CCM na ndani ya Chadema ila kupenda vyeo chap chap ili apate vya rushwa na fursa fisadi za haraka haraka zilimponza

Angetulia CCM angekuwa probable candidate wa umakamu wa uraisi mapema tu mfano Magufuli alivyofariki angepewa yeye na sio Mpango .Mzee Mpango so humble Kama angeona Yuko kijana material toka kigoma angemwachia Zitto Kabwe kwani system ilitaka makamu atoke sehemu ya chini Zitto angepewa bila shida ila hayuko patient na anaendekeza njaa na ufisadi Kama January Makamba,Nape na Ndugai.Makamu Raisi angeweza kupewa hata Ndugai lakini hopeless kabisa kinyonga mkubwa
Zitto angepewa ukatibu mkuu Chadema baada ya Dk Slaa kuondoka na kwenda CCM

Vinyonga wote mlioko CCM mjue hamna political future msidhani mbeleni mtaenda Ikulu na mijasho ya kibwege Kama ya Nape kuomba msamaha na mkubaliwe hakuna . Serikali ijayo vinyonga wote tafuteni Cha kufanya nawaeleza mapema mjue.Hanrudi bungeni Wala post yeyote serikalini bila kujali position mlizonazo Sasa hivi
Mbona unatufokea wanaCCM!
 
Amejinasibu kukosoa juu ya mkataba wa Kabanga Nickel ambapo anadai serikali iliingia mkataba na kampuni ya Lz Nickel kwa kuwapa faida ya mabil ya Usd wao bila kufanya utafiti lakini amepuuzwa na wananchi.

Baada ya mgao wa maji kuanza akakosoa serikali ya hayati Magufuli kuacha kutekeleza mradi wa kuzalisha maji wa Kidunda. Na hapa ndio akadai kuwa chanzo cha mgao wa maji,lakini pia amepuuzwa.

Mbona siku hizi hana ushawishi kama alivyokuwa hapoa awali akiibuwa kashfa za Buzwagi hadi Karamagi akajiudhuru? Mbona hata wapinzani wenzake wanamuona msaliti?
Backup aliyokua anaipata kutoka kwa wapinzani wenzake ndo ilikua ikimbeba,.
 
Mbona unatufokea wanaCCM!
Vinyonga mlioko CCM mjiandae sio Siri

Kiongozi Mwana CCM anatakiwa kuwa consistent sio kugeuka geuka Kama kinyonga Kama Zitto Kabwe mwangalia upepo

Huyo Ni CCM maslahi

CCM maslahi hawana political future hata wawe na hela kumzidi Lowasa aliyenunua Chadema au Membe linalojiita kachero bobezi wakati Ni fisaditupwa lenye pesa chafu nyingi lilishindwa kupenya 2015 na mipesa yake yeye na fisadi mwenzie Lowasa

Nyerere aliisuka hi nchi ikasukika

Wataka maslahi chapchap ya kifisadi sio Siri 2025 waandae maji ya kunywa kupunguza presssure timu Nyerere itawapiga mateke Kama midoli ya upepo hawataamini macho yao Kama Aboud Jumbe na Lowasa na Membe nk walivyoshindwa kuamini macho yao

Timu Nyerere iko hewani na itabaki sababu ina succession plan very strong

Wenye madaraka tumikieni wananchi walio wengi please .Short of that hata mpate support ya mataifa ya nje yote mfisadi kitakachowakuta hamtaamini

Akina Zitto Kabwe na Tundu Lisu walikuwa wakifrustate wawekezaji wa nje wakishirikiana na ACACIA management company ya migodi ya kudai rushwa na kifisadi wakiibia main shareholder Barrick na Serikali wakati parent company main shareholder Barrick Wala hakuwa na shida na watanzania kwa lolote Wala serikali na wala hakuhitaji kuhonga kukubalika Kama Barrick

Nchi hi itabaki ya majority wanyonge tu full stop.Matapeli wizara ya madini na nishati wawe CCM au upinzani 2025 mjiandae vinyonga hamtakuwa na nafasi .
 
Back
Top Bottom