Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo unataka kusema mama mwisho 2025!Vinyonga mlioko CCM mjiandae sio Siri
Kiongozi Mwana CCM anatakiwa kuwa consistent sio kugeuka geuka Kama kinyonga Kama Zitto Kabwe mwangalia upepo
Huyo Ni CCM maslahi
CCM maslahi hawana political future hata wawe na hela kumzidi Lowasa aliyenunua Chadema au Membe linalojiita kachero bobezi wakati Ni fisaditupwa lenye pesa chafu nyingi lilishindwa kupenya 2015 na mipesa yake yeye na fisadi mwenzie Lowasa
Nyerere aliisuka hi nchi ikasukika
Wataka maslahi chapchap ya kifisadi sio Siri 2025 waandae maji ya kunywa kupunguza presssure timu Nyerere itawapiga mateke Kama midoli ya upepo hawataamini macho yao Kama Aboud Jumbe na Lowasa na Membe nk walivyoshindwa kuamini macho yao
Timu Nyerere iko hewani na itabaki sababu ina succession plan very strong
Wenye madaraka tumikieni wananchi walio wengi please .Short of that hata mpate support ya mataifa ya nje yote mfisadi kitakachowakuta hamtaamini
Akina Zitto Kabwe na Tundu Lisu walikuwa wakifrustate wawekezaji wa nje wakishirikiana na ACACIA management company ya migodi ya kudai rushwa na kifisadi wakiibia main shareholder Barrick na Serikali wakati parent company main shareholder Barrick Wala hakuwa na shida na watanzania kwa lolote Wala serikali na wala hakuhitaji kuhonga kukubalika Kama Barrick
Nchi hi itabaki ya majority wanyonge tu full stop.Matapeli wizara ya madini na nishati wawe CCM au upinzani 2025 mjiandae vinyonga hamtakuwa na nafasi .
Ni kweli hata Mwenyewe anajitambua.Jamaa mnafiki sana
Sijamtaja usinilishe manenoKwa hiyo unataka kusema mama mwisho 2025!
Kwa hiyo unataka kusema mama mwisho 2025!Vinyonga mlioko CCM mjiandae sio Siri
Kiongozi Mwana CCM anatakiwa kuwa consistent sio kugeuka geuka Kama kinyonga Kama Zitto Kabwe mwangalia upepo
Huyo Ni CCM maslahi
CCM maslahi hawana political future hata wawe na hela kumzidi Lowasa aliyenunua Chadema au Membe linalojiita kachero bobezi wakati Ni fisaditupwa lenye pesa chafu nyingi lilishindwa kupenya 2015 na mipesa yake yeye na fisadi mwenzie Lowasa
Nyerere aliisuka hi nchi ikasukika
Wataka maslahi chapchap ya kifisadi sio Siri 2025 waandae maji ya kunywa kupunguza presssure timu Nyerere itawapiga mateke Kama midoli ya upepo hawataamini macho yao Kama Aboud Jumbe na Lowasa na Membe nk walivyoshindwa kuamini macho yao
Timu Nyerere iko hewani na itabaki sababu ina succession plan very strong
Wenye madaraka tumikieni wananchi walio wengi please .Short of that hata mpate support ya mataifa ya nje yote mfisadi kitakachowakuta hamtaamini
Akina Zitto Kabwe na Tundu Lisu walikuwa wakifrustate wawekezaji wa nje wakishirikiana na ACACIA management company ya migodi ya kudai rushwa na kifisadi wakiibia main shareholder Barrick na Serikali wakati parent company main shareholder Barrick Wala hakuwa na shida na watanzania kwa lolote Wala serikali na wala hakuhitaji kuhonga kukubalika Kama Barrick
Nchi hi itabaki ya majority wanyonge tu full stop.Matapeli wizara ya madini na nishati wawe CCM au upinzani 2025 mjiandae vinyonga hamtakuwa na nafasi .
Sasa mkuu, kama ateendelea kuna kitakachobadilika?Sijamtaja usinilishe maneno
Wabongo bwana, yaani mtu ambaye alifukuzwa Chadema na ndani ya muda mfupi akaanza chama chake cha ACT Wazalendo, akaenda mbali mpaka kumshawishi gwiji la siasa za Zanzibar, Maalim Sefu, kujiunga naye, na sasa wako kwenye SUK wewe bado unamuita failure?? Tayari mwenzio ameshaandika legacy yake my friend.Nyota yake kisiasa ILISHAFIFIA kitambo. Sasa anajitutumua asisahaulike.
Zitto ni mpinzani hasiye na madhara, maccm wanamtumia kuwarubuni watzAmejinasibu kukosoa juu ya mkataba wa Kabanga Nickel ambapo anadai serikali iliingia mkataba na kampuni ya Lz Nickel kwa kuwapa faida ya mabil ya Usd wao bila kufanya utafiti lakini amepuuzwa na wananchi.
Baada ya mgao wa maji kuanza akakosoa serikali ya hayati Magufuli kuacha kutekeleza mradi wa kuzalisha maji wa Kidunda. Na hapa ndio akadai kuwa chanzo cha mgao wa maji,lakini pia amepuuzwa.
Mbona siku hizi hana ushawishi kama alivyokuwa hapoa awali akiibuwa kashfa za Buzwagi hadi Karamagi akajiudhuru? Mbona hata wapinzani wenzake wanamuona msaliti?
Muone huyu shoga alichoandikaSababu kubwa ni kukosana na Mbowe na kisha kuendelea kung'aa kisiasa.
Ndio maana misukule ya Mbowe haijawahi kushusha silaha chini.
Wote wanaokosana na Mbowe huwa wanapotea ika yeye imekuwa ngumu.
ZZK ni mpinzani wa MCHONGO.Amejinasibu kukosoa juu ya mkataba wa Kabanga Nickel ambapo anadai serikali iliingia mkataba na kampuni ya Lz Nickel kwa kuwapa faida ya mabil ya Usd wao bila kufanya utafiti lakini amepuuzwa na wananchi.
Baada ya mgao wa maji kuanza akakosoa serikali ya hayati Magufuli kuacha kutekeleza mradi wa kuzalisha maji wa Kidunda. Na hapa ndio akadai kuwa chanzo cha mgao wa maji,lakini pia amepuuzwa.
Mbona siku hizi hana ushawishi kama alivyokuwa hapoa awali akiibuwa kashfa za Buzwagi hadi Karamagi akajiudhuru? Mbona hata wapinzani wenzake wanamuona msaliti?
Siongelei mtu Tanzania itabaki salama for goodKwa hiyo unataka kusema mama mwisho 2025!
Sasa mkuu, kama ateendelea kuna kitakachobadilika?
Kuna kitu kimekukaa shingoni lakini hutaki kukiweka wazi. Mimi nimekuelewa mkuu, nhoja tuone itakavyokuwa. Muda ni mwalimu mzuri. Tuombe uzima.Siongelei mtu Tanzania itabaki salama for good
Nyerere aliacha sussesion plan ya miaka 100
Hawa wakioko hata wachemke Sio big deal kuna back ita take care 2025 things will be ok wako priobation period wakishindwa out halina mjadala wote kuanzia serikalini , bungeni na mahakamani Kama hawatasimamia interest za nchi za wanyonge ambao ndio wengi wapaki mabegi kabisa 2025 watafute kwa kwenda
Umetoka kupulizwa na makengeza sasa, umewakaaa
Dunia nzima Ni nchi mbili tu zenye succession plan ya miaka 100 ni China na Tanzania tuKwa hiyo unataka kusema mama mwisho 2025!
Lakini haiondoi usaliti wake siyo kwa Chama tu bali hata kwa nchi. Wasaliti pia huandika na kuacha historia zao za kisaliti.Wabongo bwana, yaani mtu ambaye alifukuzwa Chadema na ndani ya muda mfupi akaanza chama chake cha ACT Wazalendo, akaenda mbali mpaka kumshawishi gwiji la siasa za Zanzibar, Maalim Sefu, kujiunga naye, na sasa wako kwenye SUK wewe bado unamuita failure?? Tayari mwenzio ameshaandika legacy yake my friend.
Ulaya ndio wanaweza ila si Afrika hasa Tanzania ya CCM HAIWEZEKNIkibidi ni kuwafunga kifaa maalum cha siri wote wawili ili kufuatilia nyendo zao
Kweli maana ccm ndiyo inabariki huo ushenziUlaya ndio wanaweza ila si Afrika hasa Tanzania ya CCM HAIWEZEKN