Ushabiki wa Simba na Yanga umewapumbaza Watanganyika

Ushabiki wa Simba na Yanga umewapumbaza Watanganyika

Ngongo

Platinum Member
Joined
Sep 20, 2008
Posts
20,654
Reaction score
35,887
Heshima sana wanajamvi,

Katika miaka ya karibuni (labda 2020 - 2024) umekuwepo ushabiki mkubwa wa mpira baina ya club mbili kubwa Simba na Dar Young Africa.

Ushabiki wa mpira, ngoma, kwaya, sarakasi, sana saana nyinginezo si jambo baya hasa katika kuburudisha na kuboresha afya ya akili.

Nimeanza kubaini kupitia ushabiki wa Simba na Yanga limezaliwa tatizo lingine jipya, vijana hawajui au hawataki kufahamu kuhusu nchi yao.
Hawajui Bandari zimeuzwa kwa Waarabu.
Hawajui Uwanja wa ndege wa Kimatiafa Kilimanjaro umeuzwa.
Hawajui Ngorngoro imeuzwa kwa waarabu.
Hawajui Zanzibar inaitawala Tanganyika (Tanzania Bara)
Hawajui ardhi ya nchi yao Tanganyika inauzwa kwa wageni.
Hawajui lolote kuhusu nchi yao.

Wakilala wakiamka Simba Day, Yanga Day huu upuuzi wa hizi team umewadumaza vijana wengi wa Kitanganyika badala ya kufikiri kuhusu nchi yao inavyoporwa kama wenzao wa Kenya wao wanakuambia "UBAYA UBWELA" siku wakistuka watakuta kila kitu kimeuzwa.

Ngongo kwa sasa Gairo.
 
Hakika hunishindi mimi ninavyochukia ,.kuna broh mmoja yule hata ukimuuliza mkuu wa Mkoa anaitwa nani hajui,kunaendelea nini kimataifa hajui muda woooote yeye ni Yaaaanga eeenh Yangaaa akipiga nyimbo ni za Yanga akiwasha tv anataka habari za yanga akipiga stori yanga akiingia you tube anamsikiliza Manara tuuuh nachukia mbaya yani
 
Hizo timu ni project ya CCM ndiyo maana mchakato wa mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji yanasusua
Inawezekana Vijana hawajui chochote kitaifa na kimataifa.Ukimuuliza mashariki ya kati kinajiri nini hawajui.Ukiwauliza nini sababu za maandamano Kenya hawajui ukimdadisi zaidi atakwambia CHADEMA wamehamia Kenya.

Kwa hakika Tanganyika ina kizazi cha ajabu kweli kweli.
 
Heshima sana wanajamvi,

Katika miaka ya karibuni ( labda 2020 - 2024) umekuwepo ushabiki mkubwa wa mpira baina ya Club mbili kubwa Simba Na Dar Young Africa.

Ushabiki wa mpira,ngoma,kwaya,sarakasi,sana saana nyinginezo si jambo baya hasa katika kuburudisha na kuboresha afya ya akili.

Nimeanza kubaini kupitia ushabiki wa Simba na Yanga limezaliwa tatizo lingine jipya,Vijana hawajui au hawataki kufahamu kuhusu nchi yao.
Hawajui Bandari zimeuzwa kwa Waarabu.
Hawajui Uwanja wa ndege wa Kimatiafa Kilimanjaro umeuzwa.
Hawajui Ngorngoro imeuzwa kwa waarabu.
Hawajui Zanzibar inaitawala Tanganyika (Tanzania Bara)
Hawajui Ardhi ya nchi yao Tanganyika inauzwa kwa wageni.
Hawajui lolote kuhusu nchi yao.
Wakilala wakiamka Simba day,Yanga day huu upuuzi wa hizi team umewadumaza vijana wengi wa kiTanganyika badala ya kufikiri kuhusu nchi yao inavyoporwa kama wenzao wa Kenya wao wanakuambia "UBAYA UBWELA" siku wakistuka watakuta kila kitu kimeuzwa.

Ngongo kwasasa Gairo.
Siku hizi Wanasemaga Ubaya Ubwela 😳👍
 
Heshima sana wanajamvi,

Katika miaka ya karibuni ( labda 2020 - 2024) umekuwepo ushabiki mkubwa wa mpira baina ya Club mbili kubwa Simba Na Dar Young Africa.

Ushabiki wa mpira,ngoma,kwaya,sarakasi,sana saana nyinginezo si jambo baya hasa katika kuburudisha na kuboresha afya ya akili.

Nimeanza kubaini kupitia ushabiki wa Simba na Yanga limezaliwa tatizo lingine jipya,Vijana hawajui au hawataki kufahamu kuhusu nchi yao.
Hawajui Bandari zimeuzwa kwa Waarabu.
Hawajui Uwanja wa ndege wa Kimatiafa Kilimanjaro umeuzwa.
Hawajui Ngorngoro imeuzwa kwa waarabu.
Hawajui Zanzibar inaitawala Tanganyika (Tanzania Bara)
Hawajui Ardhi ya nchi yao Tanganyika inauzwa kwa wageni.
Hawajui lolote kuhusu nchi yao.
Wakilala wakiamka Simba day,Yanga day huu upuuzi wa hizi team umewadumaza vijana wengi wa kiTanganyika badala ya kufikiri kuhusu nchi yao inavyoporwa kama wenzao wa Kenya wao wanakuambia "UBAYA UBWELA" siku wakistuka watakuta kila kitu kimeuzwa.

Ngongo kwasasa Gairo.
Sasa hivi hata ule uvumi wa mauaji ya watoto umefunikwa na simba day na yanga day.

Niliwahi kusema humu labda kizazi kinachozaliwa kuanzia 2020 na kuendeleq kikiwa watu wazima ndio kije kilete mabadiliko lakini so vizazi vya kabla ya hapo.

Mimi binafsi inaweza kuwa hizo timu zinacheza wala hata sijui kuwa leo kuna mrchi zao. Ukiniambia nikutajie hata wachezaji watatu wa hizo timu siwajui. Lakini mambo ya siasa na kinachoendelea dunia nzima ninajua.
 
Umeniwahi nilitaka kuanzisha uzi kama huu huu!

Nadhani pia kinachosababisha wengi hasa vijana kutojua lolote linalowahusu ni ELIMU vijana Wakenya ni wasomi! wanajua Generation Z tulitakiwa tutendewe nini kitaifa, sisi tunajua ubaya ubwela
 
Hakika hunishindi mimi ninavyochukia ,.kuna broh mmoja yule hata ukimuuliza mkuu wa Mkoa anaitwa nani hajui,kunaendelea nini kimataifa hajui muda woooote yeye ni Yaaaanga eeenh Yangaaa akipiga nyimbo ni za Yanga akiwasha tv anataka habari za yanga akipiga stori yanga akiingia you tube anamsikiliza Manara tuuuh nachukia mbaya yani
Juzi nimewapa makavu live kwenye gari wakapanic.Walianzisha mjadala kwenye daladala ujinga tu
 
Ni woga jombaa, hata wewe nje ya hii fake id huna lolote unalofanya huko uraiani, fanya tofauti ufyekwe.

Shida ndo iko hapo, vitisho vinaanza tangu huko juu, wa juu anamtisha/kumlipa wa chini. Vyomba vya habari vinalipwa au vinatishwa au vyote kwa pamoja. Na vyombo vya habari ndo wapasha habari namba moja nchini, watakachopromote ndo hicho kinaaminiwa na kukaa akilini mwa umma.

Wahadithiane nini habari zilizopo redioni ni hizo simba na yanga. Ona media za kenya zilivyokua zinareport bila woga, media gani bongo inaweza hayo bila kufungiwa usajili na kupewa mikesi lukuki?

Watu hawana uelewa, watu hawana elimu. Usiwalaumu bure tu.
 
Hakika hunishindi mimi ninavyochukia ,.kuna broh mmoja yule hata ukimuuliza mkuu wa Mkoa anaitwa nani hajui,kunaendelea nini kimataifa hajui muda woooote yeye ni Yaaaanga eeenh Yangaaa akipiga nyimbo ni za Yanga akiwasha tv anataka habari za yanga akipiga stori yanga akiingia you tube anamsikiliza Manara tuuuh nachukia mbaya yani
Wako wengi sana wa hivyo
 
Umeniwahi nilitaka kuanzisha uzi kama huu huu!

Nadhani pia kinachosababisha wengi hasa vijana kutojua lolote linalowahusu ni ELIMU vijana Wakenya ni wasomi! wanajua Generation Z tulitakiwa tutendewe nini kitaifa, sisi tunajua ubaya ubwela
Mkuu uko sahihi sana elimu kabisaa huyo broh naheshimiana nae sana ila elimu hana. Jana tumekaa ofisini kuna katv huwa mara nyingi naangalia bbc news au aljazeera nione maostaadhi wakitafunwa vichogo duh broh kapaniki huyoo "Manara ana press leo weka sijui tv nini huko nilichukia balaa alafu mshipa wa aibu wanakua hawana.

Ukiwasahihisha utasikia "atakua simba huyu" yani kero vibaya mnooo
 
Mimi binafsi inaweza kuwa hizo timu zinacheza wala hata sijui kuwa leo kuna mrchi zao. Ukiniambia nikutajie hata wachezaji watatu wa hizo timu siwajui. Lakini mambo ya siasa na kinachoendelea dunia nzima ninajua.
Nani kakuuliza kama unajua au hujui...???
 
Heshima sana wanajamvi,

Katika miaka ya karibuni ( labda 2020 - 2024) umekuwepo ushabiki mkubwa wa mpira baina ya Club mbili kubwa Simba Na Dar Young Africa.

Ushabiki wa mpira,ngoma,kwaya,sarakasi,sana saana nyinginezo si jambo baya hasa katika kuburudisha na kuboresha afya ya akili.

Nimeanza kubaini kupitia ushabiki wa Simba na Yanga limezaliwa tatizo lingine jipya,Vijana hawajui au hawataki kufahamu kuhusu nchi yao.
Hawajui Bandari zimeuzwa kwa Waarabu.
Hawajui Uwanja wa ndege wa Kimatiafa Kilimanjaro umeuzwa.
Hawajui Ngorngoro imeuzwa kwa waarabu.
Hawajui Zanzibar inaitawala Tanganyika (Tanzania Bara)
Hawajui Ardhi ya nchi yao Tanganyika inauzwa kwa wageni.
Hawajui lolote kuhusu nchi yao.
Wakilala wakiamka Simba day,Yanga day huu upuuzi wa hizi team umewadumaza vijana wengi wa kiTanganyika badala ya kufikiri kuhusu nchi yao inavyoporwa kama wenzao wa Kenya wao wanakuambia "UBAYA UBWELA" siku wakistuka watakuta kila kitu kimeuzwa.

Ngongo kwasasa Gairo.
Sio vijana tu, hata watu wazima wakiweko wabunge.
Ningekuwa na Mamlaka mimi ningezifutilia mbali hizo Yanga na Simba
 
Back
Top Bottom