ndolelejiUduhe
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,837
- 3,027
Hata wazee nao eti wanasema Ubaya Ubwela 😱🤦🏽♂️😅Juzi nimewapa makavu live kwenye gari wakapanic.Walianzisha mjadala kwenye daladala ujinga tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata wazee nao eti wanasema Ubaya Ubwela 😱🤦🏽♂️😅Juzi nimewapa makavu live kwenye gari wakapanic.Walianzisha mjadala kwenye daladala ujinga tu
Hii nchi tabu sana wa kwetu.Ubaya
Bwaaah bwahaaa nimecheka kwa nguvu vibaya. Ole wako sasa umuambie apunguze huo ushabiki, aangalie mambo ya msingi, huo ugomvi wake utajua hujui.Hakika hunishindi mimi ninavyochukia ,.kuna broh mmoja yule hata ukimuuliza mkuu wa Mkoa anaitwa nani hajui,kunaendelea nini kimataifa hajui muda woooote yeye ni Yaaaanga eeenh Yangaaa akipiga nyimbo ni za Yanga akiwasha tv anataka habari za yanga akipiga stori yanga akiingia you tube anamsikiliza Manara tuuuh nachukia mbaya yani
Wewe fuatilia hata kwenye vyombo vya habari utashangaa chambuzi za michezo zinapewa vipindi vingi sana na muda mrefu utafikiri hii nchi uchumi wake unategemea mpira.Heshima sana wanajamvi,
Katika miaka ya karibuni ( labda 2020 - 2024) umekuwepo ushabiki mkubwa wa mpira baina ya Club mbili kubwa Simba Na Dar Young Africa.
Ushabiki wa mpira,ngoma,kwaya,sarakasi,sana saana nyinginezo si jambo baya hasa katika kuburudisha na kuboresha afya ya akili.
Nimeanza kubaini kupitia ushabiki wa Simba na Yanga limezaliwa tatizo lingine jipya,Vijana hawajui au hawataki kufahamu kuhusu nchi yao.
Hawajui Bandari zimeuzwa kwa Waarabu.
Hawajui Uwanja wa ndege wa Kimatiafa Kilimanjaro umeuzwa.
Hawajui Ngorngoro imeuzwa kwa waarabu.
Hawajui Zanzibar inaitawala Tanganyika (Tanzania Bara)
Hawajui Ardhi ya nchi yao Tanganyika inauzwa kwa wageni.
Hawajui lolote kuhusu nchi yao.
Wakilala wakiamka Simba day,Yanga day huu upuuzi wa hizi team umewadumaza vijana wengi wa kiTanganyika badala ya kufikiri kuhusu nchi yao inavyoporwa kama wenzao wa Kenya wao wanakuambia "UBAYA UBWELA" siku wakistuka watakuta kila kitu kimeuzwa.
Ngongo kwasasa Gairo.
Bora ushabiki wa simba na yanga uwaliwaze, tatizo ni jamii yetu kushindwa kuhoji wakipata akili watahojiHeshima sana wanajamvi,
Katika miaka ya karibuni ( labda 2020 - 2024) umekuwepo ushabiki mkubwa wa mpira baina ya Club mbili kubwa Simba Na Dar Young Africa.
Ushabiki wa mpira,ngoma,kwaya,sarakasi,sana saana nyinginezo si jambo baya hasa katika kuburudisha na kuboresha afya ya akili.
Nimeanza kubaini kupitia ushabiki wa Simba na Yanga limezaliwa tatizo lingine jipya,Vijana hawajui au hawataki kufahamu kuhusu nchi yao.
Hawajui Bandari zimeuzwa kwa Waarabu.
Hawajui Uwanja wa ndege wa Kimatiafa Kilimanjaro umeuzwa.
Hawajui Ngorngoro imeuzwa kwa waarabu.
Hawajui Zanzibar inaitawala Tanganyika (Tanzania Bara)
Hawajui Ardhi ya nchi yao Tanganyika inauzwa kwa wageni.
Hawajui lolote kuhusu nchi yao.
Wakilala wakiamka Simba day,Yanga day huu upuuzi wa hizi team umewadumaza vijana wengi wa kiTanganyika badala ya kufikiri kuhusu nchi yao inavyoporwa kama wenzao wa Kenya wao wanakuambia "UBAYA UBWELA" siku wakistuka watakuta kila kitu kimeuzwa.
Ngongo kwasasa Gairo.
Yaani mi jitu muda wote ni mipira tu, haiwazi mambo mengine juu ya hatima ya maisha, yao.Hizo timu ni project ya CCM ndiyo maana mchakato wa mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji yanasusua
Wakati wafanyabiashara wa kariakoo wangoma chama alisajiliwa yanga. Kuna mech ya Simba na yanga iliahirishwa palipangwa kuwa na mechi ya Simba na yanga iliahirishwa. Siku ambayo kulHeshima sana wanajamvi,
Katika miaka ya karibuni ( labda 2020 - 2024) umekuwepo ushabiki mkubwa wa mpira baina ya Club mbili kubwa Simba Na Dar Young Africa.
Ushabiki wa mpira,ngoma,kwaya,sarakasi,sana saana nyinginezo si jambo baya hasa katika kuburudisha na kuboresha afya ya akili.
Nimeanza kubaini kupitia ushabiki wa Simba na Yanga limezaliwa tatizo lingine jipya,Vijana hawajui au hawataki kufahamu kuhusu nchi yao.
Hawajui Bandari zimeuzwa kwa Waarabu.
Hawajui Uwanja wa ndege wa Kimatiafa Kilimanjaro umeuzwa.
Hawajui Ngorngoro imeuzwa kwa waarabu.
Hawajui Zanzibar inaitawala Tanganyika (Tanzania Bara)
Hawajui Ardhi ya nchi yao Tanganyika inauzwa kwa wageni.
Hawajui lolote kuhusu nchi yao.
Wakilala wakiamka Simba day,Yanga day huu upuuzi wa hizi team umewadumaza vijana wengi wa kiTanganyika badala ya kufikiri kuhusu nchi yao inavyoporwa kama wenzao wa Kenya wao wanakuambia "UBAYA UBWELA" siku wakistuka watakuta kila kitu kimeuzwa.
Ngongo kwasasa Gairo.
Ghafla laaa mechi ya maridiano mbowe na mwigulu wanagonga julwaan.Yaani mi jitu muda wote ni mipira tu, haiwazi mambo mengine juu ya hatima ya maisha, yao.
Tangu kitambo sana. Na matapeli ya ccm yanatumia umbumbumbu wa mashabiki wa soka kuwa-brain wash zaidi.Heshima sana wanajamvi,
Katika miaka ya karibuni ( labda 2020 - 2024) umekuwepo ushabiki mkubwa wa mpira baina ya Club mbili kubwa Simba Na Dar Young Africa.
Na media houses zinatumika kama propaganda machines!Yaani mi jitu muda wote ni mipira tu, haiwazi mambo mengine juu ya hatima ya maisha, yao.
Wenye elimu duni ni mtaji wa ccm!Umeniwahi nilitaka kuanzisha uzi kama huu huu!
Nadhani pia kinachosababisha wengi hasa vijana kutojua lolote linalowahusu ni ELIMU vijana Wakenya ni wasomi! wanajua Generation Z tulitakiwa tutendewe nini kitaifa, sisi tunajua ubaya ubwela
Ili kuwachanganya zaidi wananunua kila goli Mil 5 au 10Heshima sana wanajamvi,
Katika miaka ya karibuni ( labda 2020 - 2024) umekuwepo ushabiki mkubwa wa mpira baina ya Club mbili kubwa Simba Na Dar Young Africa.
Ushabiki wa mpira,ngoma,kwaya,sarakasi,sana saana nyinginezo si jambo baya hasa katika kuburudisha na kuboresha afya ya akili.
Nimeanza kubaini kupitia ushabiki wa Simba na Yanga limezaliwa tatizo lingine jipya,Vijana hawajui au hawataki kufahamu kuhusu nchi yao.
Hawajui Bandari zimeuzwa kwa Waarabu.
Hawajui Uwanja wa ndege wa Kimatiafa Kilimanjaro umeuzwa.
Hawajui Ngorngoro imeuzwa kwa waarabu.
Hawajui Zanzibar inaitawala Tanganyika (Tanzania Bara)
Hawajui Ardhi ya nchi yao Tanganyika inauzwa kwa wageni.
Hawajui lolote kuhusu nchi yao.
Wakilala wakiamka Simba day,Yanga day huu upuuzi wa hizi team umewadumaza vijana wengi wa kiTanganyika badala ya kufikiri kuhusu nchi yao inavyoporwa kama wenzao wa Kenya wao wanakuambia "UBAYA UBWELA" siku wakistuka watakuta kila kitu kimeuzwa.
Ngongo kwasasa Gairo.
Media houses ni kama Yale makanisa ya upako! Zina maelekezo kuwa-brain wash wadanganyika!Ni woga jombaa, hata wewe nje ya hii fake id huna lolote unalofanya huko uraiani, fanya tofauti ufyekwe..
Shida ndo iko hapo, vitisho vinaanza tangu huko juu, wa juu anamtisha/kumlipa wa chini. Vyomba vya habari vinalipwa au vinatishwa au vyote kwa pamoja..
Na vyombo vya habari ndo wapasha habari namba moja nchini, watakachopromote ndo hicho kinaaminiwa na kukaa akilini mwa umma.
Wahadithiane nini habari zilizopo redioni ni hizo simba na yanga.
Ona media za kenya zilivyokua zinareport bila woga, media gani bongo inaweza hayo bila kufungiwa usajili na kupewa mikesi lukuki??
Watu hawana uelewa, watu hawana elimu. Usiwalaumu bure tu.
Samia kesho ata shine sana!Simba Day tomorrow 😀😀