Ushabiki wa Simba na Yanga umewapumbaza Watanganyika

Ushabiki wa Simba na Yanga umewapumbaza Watanganyika

Hakika hunishindi mimi ninavyochukia ,.kuna broh mmoja yule hata ukimuuliza mkuu wa Mkoa anaitwa nani hajui,kunaendelea nini kimataifa hajui muda woooote yeye ni Yaaaanga eeenh Yangaaa akipiga nyimbo ni za Yanga akiwasha tv anataka habari za yanga akipiga stori yanga akiingia you tube anamsikiliza Manara tuuuh nachukia mbaya yani
Bwaaah bwahaaa nimecheka kwa nguvu vibaya. Ole wako sasa umuambie apunguze huo ushabiki, aangalie mambo ya msingi, huo ugomvi wake utajua hujui.
 
Heshima sana wanajamvi,

Katika miaka ya karibuni ( labda 2020 - 2024) umekuwepo ushabiki mkubwa wa mpira baina ya Club mbili kubwa Simba Na Dar Young Africa.

Ushabiki wa mpira,ngoma,kwaya,sarakasi,sana saana nyinginezo si jambo baya hasa katika kuburudisha na kuboresha afya ya akili.

Nimeanza kubaini kupitia ushabiki wa Simba na Yanga limezaliwa tatizo lingine jipya,Vijana hawajui au hawataki kufahamu kuhusu nchi yao.
Hawajui Bandari zimeuzwa kwa Waarabu.
Hawajui Uwanja wa ndege wa Kimatiafa Kilimanjaro umeuzwa.
Hawajui Ngorngoro imeuzwa kwa waarabu.
Hawajui Zanzibar inaitawala Tanganyika (Tanzania Bara)
Hawajui Ardhi ya nchi yao Tanganyika inauzwa kwa wageni.
Hawajui lolote kuhusu nchi yao.
Wakilala wakiamka Simba day,Yanga day huu upuuzi wa hizi team umewadumaza vijana wengi wa kiTanganyika badala ya kufikiri kuhusu nchi yao inavyoporwa kama wenzao wa Kenya wao wanakuambia "UBAYA UBWELA" siku wakistuka watakuta kila kitu kimeuzwa.

Ngongo kwasasa Gairo.
Wewe fuatilia hata kwenye vyombo vya habari utashangaa chambuzi za michezo zinapewa vipindi vingi sana na muda mrefu utafikiri hii nchi uchumi wake unategemea mpira.
 
Heshima sana wanajamvi,

Katika miaka ya karibuni ( labda 2020 - 2024) umekuwepo ushabiki mkubwa wa mpira baina ya Club mbili kubwa Simba Na Dar Young Africa.

Ushabiki wa mpira,ngoma,kwaya,sarakasi,sana saana nyinginezo si jambo baya hasa katika kuburudisha na kuboresha afya ya akili.

Nimeanza kubaini kupitia ushabiki wa Simba na Yanga limezaliwa tatizo lingine jipya,Vijana hawajui au hawataki kufahamu kuhusu nchi yao.
Hawajui Bandari zimeuzwa kwa Waarabu.
Hawajui Uwanja wa ndege wa Kimatiafa Kilimanjaro umeuzwa.
Hawajui Ngorngoro imeuzwa kwa waarabu.
Hawajui Zanzibar inaitawala Tanganyika (Tanzania Bara)
Hawajui Ardhi ya nchi yao Tanganyika inauzwa kwa wageni.
Hawajui lolote kuhusu nchi yao.
Wakilala wakiamka Simba day,Yanga day huu upuuzi wa hizi team umewadumaza vijana wengi wa kiTanganyika badala ya kufikiri kuhusu nchi yao inavyoporwa kama wenzao wa Kenya wao wanakuambia "UBAYA UBWELA" siku wakistuka watakuta kila kitu kimeuzwa.

Ngongo kwasasa Gairo.
Bora ushabiki wa simba na yanga uwaliwaze, tatizo ni jamii yetu kushindwa kuhoji wakipata akili watahoji
 
Ukienda masokoni mada ni Mpira,kwenye daladala mada ni mpira.
 
Heshima sana wanajamvi,

Katika miaka ya karibuni ( labda 2020 - 2024) umekuwepo ushabiki mkubwa wa mpira baina ya Club mbili kubwa Simba Na Dar Young Africa.

Ushabiki wa mpira,ngoma,kwaya,sarakasi,sana saana nyinginezo si jambo baya hasa katika kuburudisha na kuboresha afya ya akili.

Nimeanza kubaini kupitia ushabiki wa Simba na Yanga limezaliwa tatizo lingine jipya,Vijana hawajui au hawataki kufahamu kuhusu nchi yao.
Hawajui Bandari zimeuzwa kwa Waarabu.
Hawajui Uwanja wa ndege wa Kimatiafa Kilimanjaro umeuzwa.
Hawajui Ngorngoro imeuzwa kwa waarabu.
Hawajui Zanzibar inaitawala Tanganyika (Tanzania Bara)
Hawajui Ardhi ya nchi yao Tanganyika inauzwa kwa wageni.
Hawajui lolote kuhusu nchi yao.
Wakilala wakiamka Simba day,Yanga day huu upuuzi wa hizi team umewadumaza vijana wengi wa kiTanganyika badala ya kufikiri kuhusu nchi yao inavyoporwa kama wenzao wa Kenya wao wanakuambia "UBAYA UBWELA" siku wakistuka watakuta kila kitu kimeuzwa.

Ngongo kwasasa Gairo.
Wakati wafanyabiashara wa kariakoo wangoma chama alisajiliwa yanga. Kuna mech ya Simba na yanga iliahirishwa palipangwa kuwa na mechi ya Simba na yanga iliahirishwa. Siku ambayo kul
Yaani mi jitu muda wote ni mipira tu, haiwazi mambo mengine juu ya hatima ya maisha, yao.
Ghafla laaa mechi ya maridiano mbowe na mwigulu wanagonga julwaan.
 
Heshima sana wanajamvi,

Katika miaka ya karibuni ( labda 2020 - 2024) umekuwepo ushabiki mkubwa wa mpira baina ya Club mbili kubwa Simba Na Dar Young Africa.
Tangu kitambo sana. Na matapeli ya ccm yanatumia umbumbumbu wa mashabiki wa soka kuwa-brain wash zaidi.
Watu wana matatizo chungu mbovu lakini wapo radhi kuandamana kupinga madudu ndani ya timu zao kulikoni kupinga maovu kwenye siasa za Taifa!
 
Umeniwahi nilitaka kuanzisha uzi kama huu huu!

Nadhani pia kinachosababisha wengi hasa vijana kutojua lolote linalowahusu ni ELIMU vijana Wakenya ni wasomi! wanajua Generation Z tulitakiwa tutendewe nini kitaifa, sisi tunajua ubaya ubwela
Wenye elimu duni ni mtaji wa ccm!
 
Heshima sana wanajamvi,

Katika miaka ya karibuni ( labda 2020 - 2024) umekuwepo ushabiki mkubwa wa mpira baina ya Club mbili kubwa Simba Na Dar Young Africa.

Ushabiki wa mpira,ngoma,kwaya,sarakasi,sana saana nyinginezo si jambo baya hasa katika kuburudisha na kuboresha afya ya akili.

Nimeanza kubaini kupitia ushabiki wa Simba na Yanga limezaliwa tatizo lingine jipya,Vijana hawajui au hawataki kufahamu kuhusu nchi yao.
Hawajui Bandari zimeuzwa kwa Waarabu.
Hawajui Uwanja wa ndege wa Kimatiafa Kilimanjaro umeuzwa.
Hawajui Ngorngoro imeuzwa kwa waarabu.
Hawajui Zanzibar inaitawala Tanganyika (Tanzania Bara)
Hawajui Ardhi ya nchi yao Tanganyika inauzwa kwa wageni.
Hawajui lolote kuhusu nchi yao.
Wakilala wakiamka Simba day,Yanga day huu upuuzi wa hizi team umewadumaza vijana wengi wa kiTanganyika badala ya kufikiri kuhusu nchi yao inavyoporwa kama wenzao wa Kenya wao wanakuambia "UBAYA UBWELA" siku wakistuka watakuta kila kitu kimeuzwa.

Ngongo kwasasa Gairo.
Ili kuwachanganya zaidi wananunua kila goli Mil 5 au 10
 
Ni woga jombaa, hata wewe nje ya hii fake id huna lolote unalofanya huko uraiani, fanya tofauti ufyekwe..

Shida ndo iko hapo, vitisho vinaanza tangu huko juu, wa juu anamtisha/kumlipa wa chini. Vyomba vya habari vinalipwa au vinatishwa au vyote kwa pamoja..
Na vyombo vya habari ndo wapasha habari namba moja nchini, watakachopromote ndo hicho kinaaminiwa na kukaa akilini mwa umma.

Wahadithiane nini habari zilizopo redioni ni hizo simba na yanga.
Ona media za kenya zilivyokua zinareport bila woga, media gani bongo inaweza hayo bila kufungiwa usajili na kupewa mikesi lukuki??

Watu hawana uelewa, watu hawana elimu. Usiwalaumu bure tu.
Media houses ni kama Yale makanisa ya upako! Zina maelekezo kuwa-brain wash wadanganyika!
 
Tanzania ina raia zaidi ya milioni sitini, Sina hakika kama ni jambo rahisi kutaka kuwapangia watu wote hao nini wafanye au wasifanye.

Kama hilo ndio jambo wanaloona linawapa furaha waache wafurahie. Kula si ni juu yao wenyewe?
 
Back
Top Bottom