Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Aibu kwa vijana.
Kijana hajui chochote zaidi ya ubaya ubwela
Kijana hajui chochote zaidi ya ubaya ubwela
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mtoa hoja akili ndogo sana, huu ni ujinga tu ulioandika hapaHeshima sana wanajamvi,
Katika miaka ya karibuni ( labda 2020 - 2024) umekuwepo ushabiki mkubwa wa mpira baina ya Club mbili kubwa Simba Na Dar Young Africa.
Ushabiki wa mpira,ngoma,kwaya,sarakasi,sana saana nyinginezo si jambo baya hasa katika kuburudisha na kuboresha afya ya akili.
Nimeanza kubaini kupitia ushabiki wa Simba na Yanga limezaliwa tatizo lingine jipya,Vijana hawajui au hawataki kufahamu kuhusu nchi yao.
Hawajui Bandari zimeuzwa kwa Waarabu.
Hawajui Uwanja wa ndege wa Kimatiafa Kilimanjaro umeuzwa.
Hawajui Ngorngoro imeuzwa kwa waarabu.
Hawajui Zanzibar inaitawala Tanganyika (Tanzania Bara)
Hawajui Ardhi ya nchi yao Tanganyika inauzwa kwa wageni.
Hawajui lolote kuhusu nchi yao.
Wakilala wakiamka Simba day,Yanga day huu upuuzi wa hizi team umewadumaza vijana wengi wa kiTanganyika badala ya kufikiri kuhusu nchi yao inavyoporwa kama wenzao wa Kenya wao wanakuambia "UBAYA UBWELA" siku wakistuka watakuta kila kitu kimeuzwa.
Ngongo kwasasa Gairo.
Heshima kwako MkuuHeshima sana wanajamvi,
Katika miaka ya karibuni ( labda 2020 - 2024) umekuwepo ushabiki mkubwa wa mpira baina ya Club mbili kubwa Simba Na Dar Young Africa.
Ushabiki wa mpira,ngoma,kwaya,sarakasi,sana saana nyinginezo si jambo baya hasa katika kuburudisha na kuboresha afya ya akili.
Nimeanza kubaini kupitia ushabiki wa Simba na Yanga limezaliwa tatizo lingine jipya,Vijana hawajui au hawataki kufahamu kuhusu nchi yao.
Hawajui Bandari zimeuzwa kwa Waarabu.
Hawajui Uwanja wa ndege wa Kimatiafa Kilimanjaro umeuzwa.
Hawajui Ngorngoro imeuzwa kwa waarabu.
Hawajui Zanzibar inaitawala Tanganyika (Tanzania Bara)
Hawajui Ardhi ya nchi yao Tanganyika inauzwa kwa wageni.
Hawajui lolote kuhusu nchi yao.
Wakilala wakiamka Simba day,Yanga day huu upuuzi wa hizi team umewadumaza vijana wengi wa kiTanganyika badala ya kufikiri kuhusu nchi yao inavyoporwa kama wenzao wa Kenya wao wanakuambia "UBAYA UBWELA" siku wakistuka watakuta kila kitu kimeuzwa.
Ngongo kwasasa Gairo.
Kesho Yako si kufa acha ujinga wewe ndio mjingaYaani leo vijiweni ni habari ya yanga na simba na hawajuwi kesho yao ....hata diko la mchana ni shida aiseeeh Ujinga umetukuka..
Wengi wamekuwa kama Mazezeta!Hata wazee nao eti wanasema Ubaya Ubwela 😱🤦🏽♂️😅
Pole! Sikujua naongea na mtoto. Yawezekana umasikini wako mechanical na ushabiki wa kidwanzi...Ushamba unao wewe unaodhani sisi tunaoshabikia timu za kariakoo tunafaidi sana. Wewe umesaidia vipi timu ya kijiji kwenu?.
Nimekulia mtaa wa shaban robert nyumbani kwetu ni pale walipojenga ule ukumbi wa JNCC miaka ya nyuma palikuwa na veterenary pembeni yake ndio nilipoishi kuanzia mwaka 1978.
Historia za maisha yetu zinatufanya tuzipende Simba na Yanga. Mpuuzi ni wewe unayelaumu watu wanaopenda mpira kana kwamba ndio waliokuletea huo umaskini wako.
Mpira na siasa kwa Tanzania huwezi kuvitenganisha. Wanasiasa wanalijua hilo na SSH keshaanza kampeni zile pana za kutafuta kura za 2024-25.Pole! Sikujua naongea na mtoto. Yawezekana umasikini wako mechanical na ushabiki wa kidwanzi...
Anyway, jana niliona Mama Samia anawapigia simu mkiwa uwanjani basi mkaridhiiika mwenyewe kumbe nyuma ya pazia anawapiga tu Malimbukeni nyie
Watanzania wanachotaka ni amani tu ili wafanye shuhuri zao,Heshima sana wanajamvi,
Katika miaka ya karibuni ( labda 2020 - 2024) umekuwepo ushabiki mkubwa wa mpira baina ya Club mbili kubwa Simba Na Dar Young Africa.
Ushabiki wa mpira,ngoma,kwaya,sarakasi,sana saana nyinginezo si jambo baya hasa katika kuburudisha na kuboresha afya ya akili.
Nimeanza kubaini kupitia ushabiki wa Simba na Yanga limezaliwa tatizo lingine jipya,Vijana hawajui au hawataki kufahamu kuhusu nchi yao.
Hawajui Bandari zimeuzwa kwa Waarabu.
Hawajui Uwanja wa ndege wa Kimatiafa Kilimanjaro umeuzwa.
Hawajui Ngorngoro imeuzwa kwa waarabu.
Hawajui Zanzibar inaitawala Tanganyika (Tanzania Bara)
Hawajui Ardhi ya nchi yao Tanganyika inauzwa kwa wageni.
Hawajui lolote kuhusu nchi yao.
Wakilala wakiamka Simba day,Yanga day huu upuuzi wa hizi team umewadumaza vijana wengi wa kiTanganyika badala ya kufikiri kuhusu nchi yao inavyoporwa kama wenzao wa Kenya wao wanakuambia "UBAYA UBWELA" siku wakistuka watakuta kila kitu kimeuzwa.
Ngongo kwasasa Gairo.
Heshima sana wanajamvi,
Katika miaka ya karibuni ( labda 2020 - 2024) umekuwepo ushabiki mkubwa wa mpira baina ya Club mbili kubwa Simba Na Dar Young Africa.
Ushabiki wa mpira,ngoma,kwaya,sarakasi,sana saana nyinginezo si jambo baya hasa katika kuburudisha na kuboresha afya ya akili.
Nimeanza kubaini kupitia ushabiki wa Simba na Yanga limezaliwa tatizo lingine jipya,Vijana hawajui au hawataki kufahamu kuhusu nchi yao.
Hawajui Bandari zimeuzwa kwa Waarabu.
Hawajui Uwanja wa ndege wa Kimatiafa Kilimanjaro umeuzwa.
Hawajui Ngorngoro imeuzwa kwa waarabu.
Hawajui Zanzibar inaitawala Tanganyika (Tanzania Bara)
Hawajui Ardhi ya nchi yao Tanganyika inauzwa kwa wageni.
Hawajui lolote kuhusu nchi yao.
Wakilala wakiamka Simba day,Yanga day huu upuuzi wa hizi team umewadumaza vijana wengi wa kiTanganyika badala ya kufikiri kuhusu nchi yao inavyoporwa kama wenzao wa Kenya wao wanakuambia "UBAYA UBWELA" siku wakistuka watakuta kila kitu kimeuzwa.
Ngongo kwasasa Gairo.
Hakuna kilichouzwa wala kitakachouzwa, tujilaumu sisi wenyewe na tabia zetu za uvivu na wizi mkubwa kila tunapopewa kuendesha mashirika. Hatuna kabisa nidhamu ya uendeshaji halafu tunakuwa wepesi kunyooshea vidole viongozi wenye maono ya kutaka kuyatoa haya mashirika kwenye hatua mmoja na kuyasogeza mbele zaidi.Heshima sana wanajamvi,
Katika miaka ya karibuni (labda 2020 - 2024) umekuwepo ushabiki mkubwa wa mpira baina ya club mbili kubwa Simba na Dar Young Africa.
Ushabiki wa mpira, ngoma, kwaya, sarakasi, sana saana nyinginezo si jambo baya hasa katika kuburudisha na kuboresha afya ya akili.
Nimeanza kubaini kupitia ushabiki wa Simba na Yanga limezaliwa tatizo lingine jipya, vijana hawajui au hawataki kufahamu kuhusu nchi yao.
Hawajui Bandari zimeuzwa kwa Waarabu.
Hawajui Uwanja wa ndege wa Kimatiafa Kilimanjaro umeuzwa.
Hawajui Ngorngoro imeuzwa kwa waarabu.
Hawajui Zanzibar inaitawala Tanganyika (Tanzania Bara)
Hawajui ardhi ya nchi yao Tanganyika inauzwa kwa wageni.
Hawajui lolote kuhusu nchi yao.
Wakilala wakiamka Simba Day, Yanga Day huu upuuzi wa hizi team umewadumaza vijana wengi wa Kitanganyika badala ya kufikiri kuhusu nchi yao inavyoporwa kama wenzao wa Kenya wao wanakuambia "UBAYA UBWELA" siku wakistuka watakuta kila kitu kimeuzwa.
Ngongo kwa sasa Gairo.
Huu upumbavu umedumaza akili za vijana wa Tanganyika kabisa, hawafikirii maendeleo ya nchi yetu, changamoto gani zipo wazijadili namna ya kuzitatua, midahao vyuo vikuu haipo kutwa kucha wanaongelea Yanga, Simba na kubeti lakini general knowledge hawana. Tunatengeneza taifa la kipumbavu kabisa lisilokuwa na muelekeo wowote. Nchi yetu bado kuna maeneo mengi hayana barabara tena mbaya zaidi yapo katikati ya majiji kama vile barabara ya kutoka Mkuyuni kupitia Mahina Kanyerere Nyangulugulu hadi Mwatex Jijini Mwanza, huduma za maji safi maeneo ya Nyegezi, Mkolani, Igoma, Kisesa Jijini Mwanza. Huduma ya upatikanaji wa madawa mahospitalini ni changamoto kubwa pia lakini vijana hawayajadili hayo wamekalia Simba Day, Wiki ya Mwananchi, magoli ya mama hadi wengine wanataka kutoana roho kwa ushabiki wa kijinga usiokuwa na tija.Heshima sana wanajamvi,
Katika miaka ya karibuni (labda 2020 - 2024) umekuwepo ushabiki mkubwa wa mpira baina ya club mbili kubwa Simba na Dar Young Africa.
Ushabiki wa mpira, ngoma, kwaya, sarakasi, sana saana nyinginezo si jambo baya hasa katika kuburudisha na kuboresha afya ya akili.
Nimeanza kubaini kupitia ushabiki wa Simba na Yanga limezaliwa tatizo lingine jipya, vijana hawajui au hawataki kufahamu kuhusu nchi yao.
Hawajui Bandari zimeuzwa kwa Waarabu.
Hawajui Uwanja wa ndege wa Kimatiafa Kilimanjaro umeuzwa.
Hawajui Ngorngoro imeuzwa kwa waarabu.
Hawajui Zanzibar inaitawala Tanganyika (Tanzania Bara)
Hawajui ardhi ya nchi yao Tanganyika inauzwa kwa wageni.
Hawajui lolote kuhusu nchi yao.
Wakilala wakiamka Simba Day, Yanga Day huu upuuzi wa hizi team umewadumaza vijana wengi wa Kitanganyika badala ya kufikiri kuhusu nchi yao inavyoporwa kama wenzao wa Kenya wao wanakuambia "UBAYA UBWELA" siku wakistuka watakuta kila kitu kimeuzwa.
Ngongo kwa sasa Gairo.
Na sasa tuna Mpango wa kuwapa wewekezaji wa kuwa saidia , ili timu ziweze kufanya vizuri zaidi.Heshima sana wanajamvi,
Katika miaka ya karibuni (labda 2020 - 2024) umekuwepo ushabiki mkubwa wa mpira baina ya club mbili kubwa Simba na Dar Young Africa.
Ushabiki wa mpira, ngoma, kwaya, sarakasi, sana saana nyinginezo si jambo baya hasa katika kuburudisha na kuboresha afya ya akili.
Nimeanza kubaini kupitia ushabiki wa Simba na Yanga limezaliwa tatizo lingine jipya, vijana hawajui au hawataki kufahamu kuhusu nchi yao.
Hawajui Bandari zimeuzwa kwa Waarabu.
Hawajui Uwanja wa ndege wa Kimatiafa Kilimanjaro umeuzwa.
Hawajui Ngorngoro imeuzwa kwa waarabu.
Hawajui Zanzibar inaitawala Tanganyika (Tanzania Bara)
Hawajui ardhi ya nchi yao Tanganyika inauzwa kwa wageni.
Hawajui lolote kuhusu nchi yao.
Wakilala wakiamka Simba Day, Yanga Day huu upuuzi wa hizi team umewadumaza vijana wengi wa Kitanganyika badala ya kufikiri kuhusu nchi yao inavyoporwa kama wenzao wa Kenya wao wanakuambia "UBAYA UBWELA" siku wakistuka watakuta kila kitu kimeuzwa.
Ngongo kwa sasa Gairo.
Heshima sana wanajamvi,
Katika miaka ya karibuni (labda 2020 - 2024) umekuwepo ushabiki mkubwa wa mpira baina ya club mbili kubwa Simba na Dar Young Africa.
Ushabiki wa mpira, ngoma, kwaya, sarakasi, sana saana nyinginezo si jambo baya hasa katika kuburudisha na kuboresha afya ya akili.
Nimeanza kubaini kupitia ushabiki wa Simba na Yanga limezaliwa tatizo lingine jipya, vijana hawajui au hawataki kufahamu kuhusu nchi yao.
Hawajui Bandari zimeuzwa kwa Waarabu.
Hawajui Uwanja wa ndege wa Kimatiafa Kilimanjaro umeuzwa.
Hawajui Ngorngoro imeuzwa kwa waarabu.
Hawajui Zanzibar inaitawala Tanganyika (Tanzania Bara)
Hawajui ardhi ya nchi yao Tanganyika inauzwa kwa wageni.
Hawajui lolote kuhusu nchi yao.
Wakilala wakiamka Simba Day, Yanga Day huu upuuzi wa hizi team umewadumaza vijana wengi wa Kitanganyika badala ya kufikiri kuhusu nchi yao inavyoporwa kama wenzao wa Kenya wao wanakuambia "UBAYA UBWELA" siku wakistuka watakuta kila kitu kimeuzwa.
Ngongo kwa sasa Gairo.
Napishana na coaster nyingi zinaelekea Dar eti Simba Day.
Hakika hunishindi mimi ninavyochukia ,.kuna broh mmoja yule hata ukimuuliza mkuu wa Mkoa anaitwa nani hajui,kunaendelea nini kimataifa hajui muda woooote yeye ni Yaaaanga eeenh Yangaaa akipiga nyimbo ni za Yanga akiwasha tv anataka habari za yanga akipiga stori yanga akiingia you tube anamsikiliza Manara tuuuh nachukia mbaya yani
Hizo timu ni project ya CCM ndiyo maana mchakato wa mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji yanasusua
Inawezekana Vijana hawajui chochote kitaifa na kimataifa.Ukimuuliza mashariki ya kati kinajiri nini hawajui.Ukiwauliza nini sababu za maandamano Kenya hawajui ukimdadisi zaidi atakwambia CHADEMA wamehamia Kenya.
Kwa hakika Tanganyika ina kizazi cha ajabu kweli kweli.
Uchawi wa CCM/Mafisadi wa mali za umma upo kwenye muvi, Simba & yanga na Mwenge.
Sasa hivi hata ule uvumi wa mauaji ya watoto umefunikwa na simba day na yanga day.
Niliwahi kusema humu labda kizazi kinachozaliwa kuanzia 2020 na kuendeleq kikiwa watu wazima ndio kije kilete mabadiliko lakini so vizazi vya kabla ya hapo.
Mimi binafsi inaweza kuwa hizo timu zinacheza wala hata sijui kuwa leo kuna mrchi zao. Ukiniambia nikutajie hata wachezaji watatu wa hizo timu siwajui. Lakini mambo ya siasa na kinachoendelea dunia nzima ninajua.
Umeniwahi nilitaka kuanzisha uzi kama huu huu!
Nadhani pia kinachosababisha wengi hasa vijana kutojua lolote linalowahusu ni ELIMU vijana Wakenya ni wasomi! wanajua Generation Z tulitakiwa tutendewe nini kitaifa, sisi tunajua ubaya ubwela
Juzi nimewapa makavu live kwenye gari wakapanic.Walianzisha mjadala kwenye daladala ujinga tu
Mkuu uko sahihi sana elimu kabisaa huyo broh naheshimiana nae sana ila elimu hana. Jana tumekaa ofisini kuna katv huwa mara nyingi naangalia bbc news au aljazeera nione maostaadhi wakitafunwa vichogo duh broh kapaniki huyoo "Manara ana press leo weka sijui tv nini huko nilichukia balaa alafu mshipa wa aibu wanakua hawana.
Ukiwasahihisha utasikia "atakua simba huyu" yani kero vibaya mnooo
Ukitaka kuwatawala watu wa kawaida,wape mkate na michezo.Yaani wakila mikate na kushiba,wape michezo waburudike,hawata jadili mambo ya msingi ya taifa lao.
Inaumiza na inakera sana. Juzi niliona JamiiForums uzi kuhusu Russia na Ukraine una trend sana. Nikauliza mbona hatujali yanayoendelea kwetu tunajadilo ya watu tu. Niliishia kukejeliwa.Sio vijana tu, hata watu wazima wakiweko wabunge.
Ningekuwa na Mamlaka mimi ningezifutilia mbali hizo Yanga na Simba