Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maninaaaa ndo wewe kumbe ..acha usumbufu wako 😂😂😂😂😂😂😂😂FOO 😂😂😂
Neno maisha tu kwa karne ya 21 tafsiri yake ni Siasa na uchumi, Saizi hata ukienda kuoga mtoni unakatazwa, unaambiwa unaharibu vyanzo vya maji 😀Mfumo wa maisha ni mpana sana!
Tusilazimishane wote kuwaza siasa na uchumi pekee.
Mambo ya kijamii tunayapenda pia
Miaka yote Usimba na Uyanga unatumika kisiasaKwa nchi yetu ushabiki wa Yanga na Simba ni wa miaka na miaka!
Sema kwa kizazi hiki umepitiliza mno mpaka inaboa!
Kumuachia MUNGU masuala kama haya ni kumkosea sana. Ingekuwa anashughulika nayo angeshatatua ya Israel na Palestine.Mungu anawaona na atatenda na hawatakuwa na peace of mind maisha yao yote kama hawatafanya vile vinavyostahili kutendewa Wananchi wa Nchi hii na mali Asili zao walizobarikiwa na Mungu wa Mbinguni !!
They will have to bear it in their minds kwamba Mungu yupo na anawaona na pia anawasikia !!
Nimeelewa vizuri ila lazima ujue pia sio kila mtu ni mshabiki wa siasa na hii hoja ya kila siku bandari imeuzwa ni hoja dhaifu na wazi ushabiki wa upande fulani. Watu wanajuwa madhaifu ya serikali na chama tawala lakini pia wanajuwa vizuri ni bora ya hawa kuliko wale. Ndio maana nimesema wa Tanzania sio watu wanaopenda fujo ni hulka yetu, hatufanani na nchi yoyote Africa hapa hawa majirani zetu tu hatufanani nao.Nadhani hujaelewa msingi wa joja zangu.
Suluhisho nini kifanyike mkuu manake ni hatari kwa kweli.Heshima sana wanajamvi,
Katika miaka ya karibuni ( labda 2020 - 2024) umekuwepo ushabiki mkubwa wa mpira baina ya Club mbili kubwa Simba Na Dar Young Africa.
Ushabiki wa mpira,ngoma,kwaya,sarakasi,sana saana nyinginezo si jambo baya hasa katika kuburudisha na kuboresha afya ya akili.
Nimeanza kubaini kupitia ushabiki wa Simba na Yanga limezaliwa tatizo lingine jipya,Vijana hawajui au hawataki kufahamu kuhusu nchi yao.
Hawajui Bandari zimeuzwa kwa Waarabu.
Hawajui Uwanja wa ndege wa Kimatiafa Kilimanjaro umeuzwa.
Hawajui Ngorngoro imeuzwa kwa waarabu.
Hawajui Zanzibar inaitawala Tanganyika (Tanzania Bara)
Hawajui Ardhi ya nchi yao Tanganyika inauzwa kwa wageni.
Hawajui lolote kuhusu nchi yao.
Wakilala wakiamka Simba day,Yanga day huu upuuzi wa hizi team umewadumaza vijana wengi wa kiTanganyika badala ya kufikiri kuhusu nchi yao inavyoporwa kama wenzao wa Kenya wao wanakuambia "UBAYA UBWELA" siku wakistuka watakuta kila kitu kimeuzwa.
Ngongo kwasasa Gairo.
Ongezea na burudani,wabongo sshv nawafananisha na wakongoKwa habari ya mpira, hili taifa limeharibika. Magroup ya WhatsApp hata ya kikazi, ni mpira mwanzo mwisho.
Mpira ni cover kubwa sana na eneo kuu la propaganda Duniani!Kwanza hata huwa siwaelewi wanazungumzia nini.
"Oyaa mwanangu jana simba wamekiwasha"........ "oyaa mwaka huu Yanga noma"
Ndo nini yaani, mimi mbona hata sielewagi wanachoongea?? Hata huo mpira wenyewe nikijaribu kuangalia naona makorokocho matupu.
Nimejitahidi kuwaelewa wanazungumziaga nini lakini nashindwa! I have used all my intellectual power trying to understand their rubbish but i DON'T seem to get it.
Wako kama MAZOMBI fulani yenye mabetri kichwani...
Cc: DR Mambo Jambo Nyani Ngabu min -me NAMBA MOJA AJAYE NCHINI mshamba_mwingine Poor Brain FaizaFoxy Kiranga Lamomy Extrovert dronedrake Mzee wa kupambania Mufti kuku The Infinity
Ni ajabu na kweliTangu kitambo sana. Na matapeli ya ccm yanatumia umbumbumbu wa mashabiki wa soka kuwa-brain wash zaidi.
Watu wana matatizo chungu mbovu lakini wapo radhi kuandamana kupinga madudu ndani ya timu zao kulikoni kupinga maovu kwenye siasa za Taifa!
Kweli!Huna mamlaka na waacheni vijana watulize akili zao kwenye ushabiki wa mpira, kero ni nyingi na wakiendelea kuzifikiria tutatengeneza kundi kubwa la wenda wazimu huko mitaani.
Hawana pesa, hawana michongo ya kuingiza pato na bado wakiushabikia mpira mnakuja na makelele yetu ya kuwalalamikia wakati hamna uwezo wowote wa kuwapunguzia machungu yao.
Acheni upuuzi huu.
Majuzi kulikuwa na mashindano ya pikipiki kwenye viwanja vya Laki laki Arusha... Yaani ilikuwa ni party ya vijana wa mihadarati, makahaba na chokoraa... Yaani uhuru ulipitiliza!Kweli!
Na hiyo ndo furaha ya CCM. Wanajua kabisa kina Mbowe, Lisu, Zito hawana uwezo wa kufanya mageuzi wao bila vijana. CCM imewashika vijana papaya, hawawezi tena kuwasikiza kina Zito. Wao wakilala wakiamka ni Yanga, Simba, Kubeti, Diamond na Wema baaaaas
Wanaoupenda mpira TZ ni zaidii ya milioni 30 kati ya milioni 60.Kweli!
Na hiyo ndo furaha ya CCM. Wanajua kabisa kina Mbowe, Lisu, Zito hawana uwezo wa kufanya mageuzi wao bila vijana. CCM imewashika vijana papaya, hawawezi tena kuwasikiza kina Zito. Wao wakilala wakiamka ni Yanga, Simba, Kubeti, Diamond na Wema baaaaas
Ww ambae hujapumzika umemsaidia nn taifaHeshima sana wanajamvi,
Katika miaka ya karibuni ( labda 2020 - 2024) umekuwepo ushabiki mkubwa wa mpira baina ya Club mbili kubwa Simba Na Dar Young Africa.
Ushabiki wa mpira,ngoma,kwaya,sarakasi,sana saana nyinginezo si jambo baya hasa katika kuburudisha na kuboresha afya ya akili.
Nimeanza kubaini kupitia ushabiki wa Simba na Yanga limezaliwa tatizo lingine jipya,Vijana hawajui au hawataki kufahamu kuhusu nchi yao.
Hawajui Bandari zimeuzwa kwa Waarabu.
Hawajui Uwanja wa ndege wa Kimatiafa Kilimanjaro umeuzwa.
Hawajui Ngorngoro imeuzwa kwa waarabu.
Hawajui Zanzibar inaitawala Tanganyika (Tanzania Bara)
Hawajui Ardhi ya nchi yao Tanganyika inauzwa kwa wageni.
Hawajui lolote kuhusu nchi yao.
Wakilala wakiamka Simba day,Yanga day huu upuuzi wa hizi team umewadumaza vijana wengi wa kiTanganyika badala ya kufikiri kuhusu nchi yao inavyoporwa kama wenzao wa Kenya wao wanakuambia "UBAYA UBWELA" siku wakistuka watakuta kila kitu kimeuzwa.
Ngongo kwasasa Gairo.
Nmeongia dar toka juzi nkijuwa jana naonana na mtu mitaa ta tabata anipe vifaa fulani,kumpigia asubuhi aka niambie kaenda simba day leo namcheki tena ananiambia kafunga ofisi wenzake wameenda siku ya mwananchi....nkaambia nyie ni maf@l kbsaSimba na Yanga ni Ugonjwa mkubwa sana kwa sasa...unaweza kuweza Tozo yeyote wasisikie maumivu kwa sababu ya mpira...
Sawa,leo nendeni mkatambulishwe azz k na mobetoWanaoupenda mpira TZ ni zaidii ya milioni 30 kati ya milioni 60.
Wanaopiga kura na kujishughulisha na siasa za uchaguzi hawazidi milioni 10 nchi nzima.
Kuna zaidi ya vijana wenye nguvu za kufanya kazi milioni 20 wasiojua Mbowe anafanana vipi na maisha yao yanaendelea bila ya kufuatilia ulaghai wa wanasiasa.
Jifunze kuheshimu faragha za watu kuliko kujifanya wewe ni mpangaji wa maisha yao ya kila siku. Kwenda Uwanjani wanajua pesa wamepata wapi na hawana haja ya kuja kukuomba wewe uwaruhusu wafuatilie mpira!.
Achana na hizi akili za kinoko, za kishamba.
Unataka unalotaka wewe ndiyo liwe-POLEHeshima sana wanajamvi,
Katika miaka ya karibuni ( labda 2020 - 2024) umekuwepo ushabiki mkubwa wa mpira baina ya Club mbili kubwa Simba Na Dar Young Africa.
Ushabiki wa mpira,ngoma,kwaya,sarakasi,sana saana nyinginezo si jambo baya hasa katika kuburudisha na kuboresha afya ya akili.
Nimeanza kubaini kupitia ushabiki wa Simba na Yanga limezaliwa tatizo lingine jipya,Vijana hawajui au hawataki kufahamu kuhusu nchi yao.
Hawajui Bandari zimeuzwa kwa Waarabu.
Hawajui Uwanja wa ndege wa Kimatiafa Kilimanjaro umeuzwa.
Hawajui Ngorngoro imeuzwa kwa waarabu.
Hawajui Zanzibar inaitawala Tanganyika (Tanzania Bara)
Hawajui Ardhi ya nchi yao Tanganyika inauzwa kwa wageni.
Hawajui lolote kuhusu nchi yao.
Wakilala wakiamka Simba day,Yanga day huu upuuzi wa hizi team umewadumaza vijana wengi wa kiTanganyika badala ya kufikiri kuhusu nchi yao inavyoporwa kama wenzao wa Kenya wao wanakuambia "UBAYA UBWELA" siku wakistuka watakuta kila kitu kimeuzwa.
Ngongo kwasasa Gairo.