kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Ushindi wa timu yako unanoga na kufurahisha sana kama ukiwa mwanachama hai. Iko siku wanachama hai watapata gawio la fedha mbali na lile gawio la sasa la furaha viwanjani. Mpira ni pesa twendeni tukakate kadi za timu zetu ili nasi tuwe sehemu kamili ya uendeshaji wa timu zetu. Ukiwa mwanachama hai hata dua zako zitakubaliwa.
Ushabiki oyaoya tu kwenye luninga ni janga kwa timu yako.
Ushabiki oyaoya tu kwenye luninga ni janga kwa timu yako.