Ushahidi CHADEMA inatumiwa na TICTS kukwamisha uboreshaji wa bandari

Shareholder mkubwa wa TICTS Karamagi ni kada wa CCM. Kama unaposema ni kweli kwa nini hakamatwi. Usiwafanye Watanzania ni mbumbumbu.
 
Adani Ports Advances Global Expansion Plans With Prospective Deal At Dar Es Salaam Port In Tanzania
 
Watu hawaikatai DP WORD.
Ila wanakataa hayo mavipengele ya kuitawala nchi ya Tanganyika badala ya kushuka contena wakianza na Bandari ya Daresalaam.
Hizo Bandari zote za Bahari na Maziwa zinawahusu nini hadi waandike wao ndio wawe wamiliki miaka yote?

DP WORD wanataka pesa zao ili wasitishe huu mkataba.
Kubadilisha hawataki tena.
Wapeni pesa zao mlizozichukua ili kuwahakikishia waitawale Tanganyika.
Nyie akina Msukuma Toroli.

Mumemuingiza chaka rahisi wetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…